Would you mind sharing?? Please.....
duh nn ndie asha d?
lol hiyo ndio aljuununi fuununi..lol
Bei mbaya sijakupata hapa Mkuu.... lol.
sentensi ya 1: nilikua nikimwuliza lucky_c_pesa anitajie tukio lolote muhimu kwake ambalo ali-show compassionate
sentensi ya 2: what i love most bout me, am such honest
Asante kwa feedbak Mkuu....
Honesty in a person is a great thing... Keep it up!!
umewahi kukutana na brutal honesty???????lol
sometimes its better to sugercoating words....lol
Hicho tu ndicho kilichinifanya nikupende..with me utakuwa na furaha tu. Usiwe na mashaka bebii wanguashadii my smile watu huwa wananikubali kwa ilo ni strength yangu kwa mambo mengi
ningekuwa na furaha nadhani lingetoka zaidi basi tu......
Aaah Boss unaniangusha bana. Kwa jinsi ulivyoiunda hiyo sentensi "sugarcoat" ndiyo sahihi. "Sugarcoating" siyo sahihi.
lol...................talking of brutal honesty...
Ebana jana ulinikosha sana na somo ulilokuwa unawapa jamaa kuhusiana na mambo ya assets na liabilities. Yaani utadhani ulichukua darasa langu la Macroeconomics!
umewahi kukutana na brutal honesty???????lol
sometimes its better to sugercoating words....lol