The ONE thing you Love Most!

The ONE thing you Love Most!

Bei mbaya sijakupata hapa Mkuu.... lol.

sentensi ya 1: nilikua nikimwuliza lucky_c_pesa anitajie tukio lolote muhimu kwake ambalo ali-show compassionate

sentensi ya 2: what i love most bout me, am such honest
 
sentensi ya 1: nilikua nikimwuliza lucky_c_pesa anitajie tukio lolote muhimu kwake ambalo ali-show compassionate

sentensi ya 2: what i love most bout me, am such honest


Asante kwa feedbak Mkuu....

Honesty in a person is a great thing... Keep it up!!
 
umewahi kukutana na brutal honesty???????lol
sometimes its better to sugercoating words....lol

Aaah Boss unaniangusha bana. Kwa jinsi ulivyoiunda hiyo sentensi "sugarcoat" ndiyo sahihi. "Sugarcoating" siyo sahihi.
 
ashadii my smile watu huwa wananikubali kwa ilo ni strength yangu kwa mambo mengi
ningekuwa na furaha nadhani lingetoka zaidi basi tu......
Hicho tu ndicho kilichinifanya nikupende..with me utakuwa na furaha tu. Usiwe na mashaka bebii wangu
 
lol...................talking of brutal honesty...

Ebana jana ulinikosha sana na somo ulilokuwa unawapa jamaa kuhusiana na mambo ya assets na liabilities. Yaani utadhani ulichukua darasa langu la Macroeconomics!
 
Ebana jana ulinikosha sana na somo ulilokuwa unawapa jamaa kuhusiana na mambo ya assets na liabilities. Yaani utadhani ulichukua darasa langu la Macroeconomics!

ha haaa
halafu alikimbia..

nilitaka nije kwenye people as a liability...lol
so far yeye Rejao anaweza kuwa ni a liability oficin kwake...lol

na how watu wa aina hiyo wana' shughulikiwa' lol
 
umewahi kukutana na brutal honesty???????lol
sometimes its better to sugercoating words....lol


Kwanza nilimuuliza swali akanijibu... then on top of that akanielewesha hivo i think ni ile Sweet honesty....lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom