Hatuwezi kuzuia ulimwengu usigawanyike pande mbili

Jul 13, 2021
5
4
Na:Abdull Najad Faiq

Heshimu mawazo yangu nitaheshimu mawazo yako tushindane kwa hoja, ndivyo ninavyoweza kuianza makala hii

Ulimwengu tulio nao umeshapitia katika zama nyingi tofauti tangia zama za ujinga katika bara la Ulaya hadi zama za kustarabika, mapinduzi ya viwanda, vita ya kwanza na ya pili ya dunia hadi hali iliyopo hivi sasa

Ulimwengu wa nchi za Magharib ulianza kujitambua na kuamua upande wao baada tu ya kumalizika vita ya pili ya dunia vilivyoanza 1939-1945 na baada ya kuundwa kwa taasisi ya League of Nations mnamo mwaka 1920-1946 ili kuhakikisha amani na usalama duniani hususan kwa nchi za Ulaya ambazo zilikua na migogoro na zilizokumbwa na vita kwa kipindi hicho kabla ya kubadilishwa jina na kuitwa UN(Umoja wa Mataifa)

Taifa la Marekani lilibuka kuwa super power of the world baada tu ya kumaliza kwa vita ya pili ya dunia kutokana na kwamba halikuathirika na vita zote mbili badala yake lilifanya biashara na nchi mbali mbali wakati wa vita ikiwemo kuziuzia na kuzikopesha nchi zile bidhaa za chakula pamoja na zana za kivita,hii ilipelekea pia Marekani kuwa na sauti dhidi ya nchi za Ulaya sababu nchi nyingi zilikua zina madeni ya Marekani hivyo ikawa ni rahisi kusikizwa hata pale taifa la Marekani lilipozishurutisha nchi duniani kukomesha biashara ya utumwa

Hapo mwanzoni taifa la Marekani lilijengea sifa na heshma kubwa duniani kutokana na kusimamia sera yake ya haki na amani duniani hali iliyopelekea nchi nyingi za Afrika ambazo zilikua zikipigania uhuru wake kwenda kuomba msaada kwa Marekani

Ila ulimwengu ulikuja kugeuka na kuhitaji mabadiliko pale tu taifa la Marekani lilipokuja kupoteza mwelekeo wake wa kusimamia haki duniani na kujikuta wao ndio wavunjifu wa haki na ndio mwanzo wa kuzidondosha serikali mbali mbali madarakani duniani pale tu walipokataa kulinda maslahi yao

Miongoni mwa serikali ambazo Marekani aliweza kuzidondosha ni pamoja na serikali ya Sadam Hussein wa Iraq,Muamar Gadaf wa Libya,Mullah wa wa Afghanistan kabla ya Marekani kushindwa vibaya nchini Afghanistan na kulazimika kuwaondosha wanajeshi wake mwaka 2021 kufuatia uvamizi wao wa kijeshi nchini humo tangu mwaka 2001

Undumi lakuwili wa Marekani pamoja na washirika wake nchi za ulaya ndiyo sababu iliyopelekea leo hii ulimwengu kuhitaji kugawanywa pande mbili na kuwa na nguvu mbili tofauti mfano uanzishwaji wa jumiaya ya BRICS pamoja na mkakati wa kuanzisha mfumo mpya wa malipo na kuachana na ule mfumo ulioanzishwa na nchi za magharibi yaani SWIFT unaotumiwa na bank mbali mbali duniani,Afrika nayo inajiandaa kuanzisha mfumo wake wa malipo utakao julikana kama PAPSS ambao utatumia sarafu za nchi za Afrika na kuachana na matumizi ya Dolla ya Marekani hii ni dalili nyengine inayothibitisha kwamba ulimwengu hauhitaji kuburuzwa na nchi za magharibi tena

Vilipotokea vita baina ya serikali ya Gadafi na vikosi vya waasi Marekani ilisimama na waasi wa Libya na kuwasaidia kumdumaza Gadafi kwa kuweka no fly zone,onyo ambalo linazuia kusiwepo mashambulizi yoyote ya anga kwa majeshi ya Gadafi hali ambayo ilimpelekea Gadafi kurudi nyuma kinguvu hadi kuuwawa,swali la kujiuliza ni nani aliyekua nyuma ya waasi wale?

Ulimwengu wa magharibi umekua hauupi uzito ubinadam wa nchi za Afrika na Asia kama vile inavyo yapa uzito matukio yanayo athir nchi zao mfano Ukrain inapokea misaada ya kijeshi na pesa ili kupigana vita na Urusi lakini katu Congo haijawahi kupata hata robo ya msaada huo ili kuwasambaratisha waasi wa M23 wanao waua wananchi zaidi ya kupelekewa vikosi vya umoja wa mataifa viende vikaibe rasilimali na kutuliza mvutano

Hakuna tofauti kati ya waasi wa Libya waliokua wakiungwa mkono na Marekani na wanamgambo wa Hamas isopkua ni ndogo tu waasi wa Libya walipigana kupindua serikali na wanamgambo wa Hamas wanapigana kusimamia uhuru wa nchi ya dhidi ya kukaliwa kimabavu na Israel

Daima nitakubaliana na kila hoja inayotupeleka katika haki kwa wote bila ubaguzi duniani lasivyo hunabudi kukubaliana na mimi kwamba NILAZIMA ULIMWENGU UGAWANYWE KATIKA PANDE MBILI.
 
MAREKANI NDANI YA BIBLIA:

Taifa la Marekani lilitabiliwa ktk kitabu cha UFUNUO 13
"Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
Mwana-Kondoo, akanena kama joka." UFUNUO 13:11-18.
Chukua ufunguo wa maneno haya ki unabii:
1. Mnyama maana yake ni ufalme au utawala wa kisiasa (DANIELI 7:17)

2. Maji ni sehemu ya dunia inayokaliwa na watu (UFUNUO 17:15)

3. Nchi ni sehemu ya dunia isiyokaliwa na watu (kinyume cha maji ya UFUNUO 17:15)

4. Pembe yenye kilemba (crown) ni utawala mdogo au jimbo (Ufunuo 13:1)

5. Pembe isiyo na kilemba ni itikadi (Ideology)

6. Joka ni Shetani (Ufunuo 12:9)
Basi, Biblia ktk Ufunuo 13 imetaja wanyama wawili kwa maana ya tawala mbili. Ufunuo 13:1 anaanza kwa
kumwelezea mnyama aliyeibuka toka baharini, mnyama (utawala) alikuwa na majimbo 10 ya Ulaya. Yaani huu ni
utawala wa Roman Empire uliokuwa na majimbo 10 nayo ni:

1.Alamanni-Ujerumani

2.Burgundians-Uswisi

3.Franks-Ufaransa

4.Lombards-Italia

5.Saxons-Uingereza

6.Suevi-Ureno

7.Visigoths-Hispania

8.Heruli-Haipo

9.Ostrogoths-Haipo

10.Vandals-Haipo
NB: Hapo ambapo nimeandika "haipo" ni pembe ambazo ziling'olewa na moja ya pembe iliyoibuka (DANIELI 7:8).


Na utawala huo wa mnyama wa kwanza (Ile pembe iliyoibuka) wa Ufunuo 13 ulikoma mwaka 1798 ambao
kiongozi wao mkuu wa utawala huo uliong'oa pembe tatu aliuawa akiwa mateka kule Ufaransa.


Mnyama wa pili: MAREKANI.
Katika kipindi hicho cha kuisha utawala wa mnyama wa kwanza mwaka 1798, taifa la Marekani linaibuka kutoka
ktk "nchi". Amerika inaitwa nchi kwa sababu katika historia ya kale kisiwa hicho hakikuwa kikikaliwa na mataifa,
walikuwepo wawindaji wachache (Red Indians) na baadae wakimbizi wa mateso ya kidini kwa watu walioshikilia
misingi ya Biblia walikimbilia huko kujificha kuuawa (UFUNUO 12:6, WAEBRANIA 11:37).
Baadae karne ya 17 wakaanza kuwa taifa. Mwaka 1776 Marekani likawa taifa huru, mwaka 1787 likatengeneza
katiba yake, Bill of Rights 1791, na likatambulika kimataifa mwaka 1798 baada ya mkutano na azimio la Virginia
(General Assembly of Virginia 1798). Hakuna taifa ambalo lilivaa sifa zote zilizotajwa ktk Ufunuo 13:11
isipokuwa ni Marekani tu.
********************************


Marekani atanena kama Joka,maana yake kama ambavyo shetani anaongoza tawala na mtu mmoja mmoja
kumwasi Mungu, hivyo ktk SIKU SI NYINGI ZIJAZO Marekani itawalazimisha watu kuabudu kinyume na hitaji la
Mungu, lkn pia kinyume na katiba yao ambayo imejengwa juu ya itikadi mbili yaani pembe mbili zilizotajwa ktk
Ufunuo 13:11 (Civil and Religious Liberty) au "government without a king" and "Church without a Pope". Kwa hiyo katiba ya Marekani imejengwa juu ya itikadi hizo mbili hadi leo.


Ndiyo maana hivi majuzi Trump alipotaka kuwazuia waislamu in kuingia USA wanasheria kwa kuitetea katiba
walimpinga na akashindwa na huo mpango wake. Hata hivyo, mda haujatimia tu, ukitimia Marekani italazimisha
watu wote kusali siku moja (SUNDAY LAW), ikianzia kitaifa na badae kimataifa chini ya sababu za kiuchumi,
ugaidi na zingine.


Mda si mwingi yatatimia hayo, akiwalazimisha atakuwa anamfanyia "sanamu" yule mnyama
wa kwanza wa Ufunuo 13. Yaani anafanya kitu ambacho kilishakuwepo kabla, hiyo ndiyo maana halisi ya
sanamu kwa muktadha wa UFUNUO 13:12.
Watakaopinga kwa maana ya kuabudu tofauti na Jumapili, watauawa (UFUNUO 13:15) na kutawekwa mfumo
ambao utazuia wasiokubaliana na amri ya Sunday Law wasiuze wala kununua (UFUNUO 13:17). Na ktk kipindi
hicho, utakapokubaliana tu na amri hiyo tayari utakuwa umepokea alama isiyoonekana aidha ktk mkono wa kulia
au ktk uso (UFUNUO 13:16).


Alama hiyo imetajwa kuwa ni 666. Lakini hesabu yake ni lazima itokane na OFFICIAL NAME ya utawala wa
mnyama wa kwanza wa Ufunuo 13 (ambaye sanamu yake itanena). Na ni lazima ilazimishe mambo ya ibada.
Hesabu yake tumeambiwa yeye aliye na akili na aihesabu, maana ni hesabu ya kibinadamu.
Kuna DHANA nyingi duniani zinazojaribu kuelezea maana ya namba 666. Lkn nyingi zinakuwa na mapungufu
mengi tu!...mimi kwa sasa sisemi ni dhana ipi inaelezea ukweli wa namba 666, Mungu akipenda nitawaletea
hesabu hiyo siku nyingine.


Kwa hivyo tupo kwenye kilele cha utawala wa Marekani hapa duniani. Ndiyo maana mnaona leo Marekani
anapeleka majeshi Korea. Lkn hajaanza leo, ameangusha tawala kadha wa kadha aidha yeye mwenyewe au na
washirika wake. Msitegemee nchi yoyote kuishinda marekani, hata kama itarudi nyuma ktk vita yoyote, badae
itasonga mbele na itashinda tu.


Baada ya marekani utawala utakaofuata ni wa Mwana Kondoo Yesu (UFUNUO 14). Unaweza ukajua tupo karibu
na mwisho wa dunia kiasi gani. Basi ikiwa hivyo ndivyo, tujiandaeni si mbali mlango wa rehema utafungwa mara
tu marekani atakapotangaza amri ya kuabudu jumapili, kundi la tulioufahamu ukweli kisha kushupaza shingo
kuufuata tutafungiwa nje.

Utabaki kwa ambao hawajaufahamu ukweli ambao nao injili itawafikia kwa kasi kubwa
kwa mda mfupi nao watafungiwa rehema kisha Yesu ashuke.
Huenda ni wewe umeufahamu ukweli lkn hutaki kuufuata kwa sababu labda za maslahi, heshima au vinginevyo.
Angalia utafungiwa nje na usiokolewe Yesu akija,...udini wa mtawala kama Trump ni kengele kuelekea kutimia
yaliyotabiriwa, huenda asiwe yeye lkn ni lazima itatimia marekani hasa ukizingatia dalili zote zilishatangulia
kutimia, limebaki hilo tu la Marekani, nalo muda si mbali litatimia na Yesu arudi duniani mara ya pili.


Nakusihi mpendwa, kwa neema ya Bwana wetu Yesu, na kwa ushirika wa Roho Mtakatifu, amka!!!..inua kichwa
chako! Usijekufungiwa mlango wa rehema, na zaidi hujui hata lini mishale ya mauti itakuchoma! Utalala ukiwa
upande gani? Mfuate Yesu leo, na si kumfuata tu, bali mfuate ktk njia sahihi, njia nyembamba ambayo
waiendeayo ni wachache.


Yesu alikwisha tuonya akisema "Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu,
kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia" LUKA 21:28.

Mungu awabariki mnapotafakari ujumbe huu, amina
 
MAREKANI NDANI YA BIBLIA:

Taifa la Marekani lilitabiliwa ktk kitabu cha UFUNUO 13
"Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
Mwana-Kondoo, akanena kama joka." UFUNUO 13:11-18.
Chukua ufunguo wa maneno haya ki unabii:
1. Mnyama maana yake ni ufalme au utawala wa kisiasa (DANIELI 7:17)

2. Maji ni sehemu ya dunia inayokaliwa na watu (UFUNUO 17:15)

3. Nchi ni sehemu ya dunia isiyokaliwa na watu (kinyume cha maji ya UFUNUO 17:15)

4. Pembe yenye kilemba (crown) ni utawala mdogo au jimbo (Ufunuo 13:1)

5. Pembe isiyo na kilemba ni itikadi (Ideology)

6. Joka ni Shetani (Ufunuo 12:9)
Basi, Biblia ktk Ufunuo 13 imetaja wanyama wawili kwa maana ya tawala mbili. Ufunuo 13:1 anaanza kwa
kumwelezea mnyama aliyeibuka toka baharini, mnyama (utawala) alikuwa na majimbo 10 ya Ulaya. Yaani huu ni
utawala wa Roman Empire uliokuwa na majimbo 10 nayo ni:

1.Alamanni-Ujerumani

2.Burgundians-Uswisi

3.Franks-Ufaransa

4.Lombards-Italia

5.Saxons-Uingereza

6.Suevi-Ureno

7.Visigoths-Hispania

8.Heruli-Haipo

9.Ostrogoths-Haipo

10.Vandals-Haipo
NB: Hapo ambapo nimeandika "haipo" ni pembe ambazo ziling'olewa na moja ya pembe iliyoibuka (DANIELI 7:8).


Na utawala huo wa mnyama wa kwanza (Ile pembe iliyoibuka) wa Ufunuo 13 ulikoma mwaka 1798 ambao
kiongozi wao mkuu wa utawala huo uliong'oa pembe tatu aliuawa akiwa mateka kule Ufaransa.


Mnyama wa pili: MAREKANI.
Katika kipindi hicho cha kuisha utawala wa mnyama wa kwanza mwaka 1798, taifa la Marekani linaibuka kutoka
ktk "nchi". Amerika inaitwa nchi kwa sababu katika historia ya kale kisiwa hicho hakikuwa kikikaliwa na mataifa,
walikuwepo wawindaji wachache (Red Indians) na baadae wakimbizi wa mateso ya kidini kwa watu walioshikilia
misingi ya Biblia walikimbilia huko kujificha kuuawa (UFUNUO 12:6, WAEBRANIA 11:37).
Baadae karne ya 17 wakaanza kuwa taifa. Mwaka 1776 Marekani likawa taifa huru, mwaka 1787 likatengeneza
katiba yake, Bill of Rights 1791, na likatambulika kimataifa mwaka 1798 baada ya mkutano na azimio la Virginia
(General Assembly of Virginia 1798). Hakuna taifa ambalo lilivaa sifa zote zilizotajwa ktk Ufunuo 13:11
isipokuwa ni Marekani tu.
********************************


Marekani atanena kama Joka,maana yake kama ambavyo shetani anaongoza tawala na mtu mmoja mmoja
kumwasi Mungu, hivyo ktk SIKU SI NYINGI ZIJAZO Marekani itawalazimisha watu kuabudu kinyume na hitaji la
Mungu, lkn pia kinyume na katiba yao ambayo imejengwa juu ya itikadi mbili yaani pembe mbili zilizotajwa ktk
Ufunuo 13:11 (Civil and Religious Liberty) au "government without a king" and "Church without a Pope". Kwa hiyo katiba ya Marekani imejengwa juu ya itikadi hizo mbili hadi leo.


Ndiyo maana hivi majuzi Trump alipotaka kuwazuia waislamu in kuingia USA wanasheria kwa kuitetea katiba
walimpinga na akashindwa na huo mpango wake. Hata hivyo, mda haujatimia tu, ukitimia Marekani italazimisha
watu wote kusali siku moja (SUNDAY LAW), ikianzia kitaifa na badae kimataifa chini ya sababu za kiuchumi,
ugaidi na zingine.


Mda si mwingi yatatimia hayo, akiwalazimisha atakuwa anamfanyia "sanamu" yule mnyama
wa kwanza wa Ufunuo 13. Yaani anafanya kitu ambacho kilishakuwepo kabla, hiyo ndiyo maana halisi ya
sanamu kwa muktadha wa UFUNUO 13:12.
Watakaopinga kwa maana ya kuabudu tofauti na Jumapili, watauawa (UFUNUO 13:15) na kutawekwa mfumo
ambao utazuia wasiokubaliana na amri ya Sunday Law wasiuze wala kununua (UFUNUO 13:17). Na ktk kipindi
hicho, utakapokubaliana tu na amri hiyo tayari utakuwa umepokea alama isiyoonekana aidha ktk mkono wa kulia
au ktk uso (UFUNUO 13:16).


Alama hiyo imetajwa kuwa ni 666. Lakini hesabu yake ni lazima itokane na OFFICIAL NAME ya utawala wa
mnyama wa kwanza wa Ufunuo 13 (ambaye sanamu yake itanena). Na ni lazima ilazimishe mambo ya ibada.
Hesabu yake tumeambiwa yeye aliye na akili na aihesabu, maana ni hesabu ya kibinadamu.
Kuna DHANA nyingi duniani zinazojaribu kuelezea maana ya namba 666. Lkn nyingi zinakuwa na mapungufu
mengi tu!...mimi kwa sasa sisemi ni dhana ipi inaelezea ukweli wa namba 666, Mungu akipenda nitawaletea
hesabu hiyo siku nyingine.


Kwa hivyo tupo kwenye kilele cha utawala wa Marekani hapa duniani. Ndiyo maana mnaona leo Marekani
anapeleka majeshi Korea. Lkn hajaanza leo, ameangusha tawala kadha wa kadha aidha yeye mwenyewe au na
washirika wake. Msitegemee nchi yoyote kuishinda marekani, hata kama itarudi nyuma ktk vita yoyote, badae
itasonga mbele na itashinda tu.


Baada ya marekani utawala utakaofuata ni wa Mwana Kondoo Yesu (UFUNUO 14). Unaweza ukajua tupo karibu
na mwisho wa dunia kiasi gani. Basi ikiwa hivyo ndivyo, tujiandaeni si mbali mlango wa rehema utafungwa mara
tu marekani atakapotangaza amri ya kuabudu jumapili, kundi la tulioufahamu ukweli kisha kushupaza shingo
kuufuata tutafungiwa nje.

Utabaki kwa ambao hawajaufahamu ukweli ambao nao injili itawafikia kwa kasi kubwa
kwa mda mfupi nao watafungiwa rehema kisha Yesu ashuke.
Huenda ni wewe umeufahamu ukweli lkn hutaki kuufuata kwa sababu labda za maslahi, heshima au vinginevyo.
Angalia utafungiwa nje na usiokolewe Yesu akija,...udini wa mtawala kama Trump ni kengele kuelekea kutimia
yaliyotabiriwa, huenda asiwe yeye lkn ni lazima itatimia marekani hasa ukizingatia dalili zote zilishatangulia
kutimia, limebaki hilo tu la Marekani, nalo muda si mbali litatimia na Yesu arudi duniani mara ya pili.


Nakusihi mpendwa, kwa neema ya Bwana wetu Yesu, na kwa ushirika wa Roho Mtakatifu, amka!!!..inua kichwa
chako! Usijekufungiwa mlango wa rehema, na zaidi hujui hata lini mishale ya mauti itakuchoma! Utalala ukiwa
upande gani? Mfuate Yesu leo, na si kumfuata tu, bali mfuate ktk njia sahihi, njia nyembamba ambayo
waiendeayo ni wachache.


Yesu alikwisha tuonya akisema "Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu,
kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia" LUKA 21:28.

Mungu awabariki mnapotafakari ujumbe huu, amina
ivi Nyie waamini Dini Mtaacha lini Upuuzi, Biblia na Quran ni Hadithi za kutunga tunga tu kam zile za Form one Za Hawa the Bus driver
 
MAREKANI NDANI YA BIBLIA:

Taifa la Marekani lilitabiliwa ktk kitabu cha UFUNUO 13
"Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
Mwana-Kondoo, akanena kama joka." UFUNUO 13:11-18.
Chukua ufunguo wa maneno haya ki unabii:
1. Mnyama maana yake ni ufalme au utawala wa kisiasa (DANIELI 7:17)

2. Maji ni sehemu ya dunia inayokaliwa na watu (UFUNUO 17:15)

3. Nchi ni sehemu ya dunia isiyokaliwa na watu (kinyume cha maji ya UFUNUO 17:15)

4. Pembe yenye kilemba (crown) ni utawala mdogo au jimbo (Ufunuo 13:1)

5. Pembe isiyo na kilemba ni itikadi (Ideology)

6. Joka ni Shetani (Ufunuo 12:9)
Basi, Biblia ktk Ufunuo 13 imetaja wanyama wawili kwa maana ya tawala mbili. Ufunuo 13:1 anaanza kwa
kumwelezea mnyama aliyeibuka toka baharini, mnyama (utawala) alikuwa na majimbo 10 ya Ulaya. Yaani huu ni
utawala wa Roman Empire uliokuwa na majimbo 10 nayo ni:

1.Alamanni-Ujerumani

2.Burgundians-Uswisi

3.Franks-Ufaransa

4.Lombards-Italia

5.Saxons-Uingereza

6.Suevi-Ureno

7.Visigoths-Hispania

8.Heruli-Haipo

9.Ostrogoths-Haipo

10.Vandals-Haipo
NB: Hapo ambapo nimeandika "haipo" ni pembe ambazo ziling'olewa na moja ya pembe iliyoibuka (DANIELI 7:8).


Na utawala huo wa mnyama wa kwanza (Ile pembe iliyoibuka) wa Ufunuo 13 ulikoma mwaka 1798 ambao
kiongozi wao mkuu wa utawala huo uliong'oa pembe tatu aliuawa akiwa mateka kule Ufaransa.


Mnyama wa pili: MAREKANI.
Katika kipindi hicho cha kuisha utawala wa mnyama wa kwanza mwaka 1798, taifa la Marekani linaibuka kutoka
ktk "nchi". Amerika inaitwa nchi kwa sababu katika historia ya kale kisiwa hicho hakikuwa kikikaliwa na mataifa,
walikuwepo wawindaji wachache (Red Indians) na baadae wakimbizi wa mateso ya kidini kwa watu walioshikilia
misingi ya Biblia walikimbilia huko kujificha kuuawa (UFUNUO 12:6, WAEBRANIA 11:37).
Baadae karne ya 17 wakaanza kuwa taifa. Mwaka 1776 Marekani likawa taifa huru, mwaka 1787 likatengeneza
katiba yake, Bill of Rights 1791, na likatambulika kimataifa mwaka 1798 baada ya mkutano na azimio la Virginia
(General Assembly of Virginia 1798). Hakuna taifa ambalo lilivaa sifa zote zilizotajwa ktk Ufunuo 13:11
isipokuwa ni Marekani tu.
********************************


Marekani atanena kama Joka,maana yake kama ambavyo shetani anaongoza tawala na mtu mmoja mmoja
kumwasi Mungu, hivyo ktk SIKU SI NYINGI ZIJAZO Marekani itawalazimisha watu kuabudu kinyume na hitaji la
Mungu, lkn pia kinyume na katiba yao ambayo imejengwa juu ya itikadi mbili yaani pembe mbili zilizotajwa ktk
Ufunuo 13:11 (Civil and Religious Liberty) au "government without a king" and "Church without a Pope". Kwa hiyo katiba ya Marekani imejengwa juu ya itikadi hizo mbili hadi leo.


Ndiyo maana hivi majuzi Trump alipotaka kuwazuia waislamu in kuingia USA wanasheria kwa kuitetea katiba
walimpinga na akashindwa na huo mpango wake. Hata hivyo, mda haujatimia tu, ukitimia Marekani italazimisha
watu wote kusali siku moja (SUNDAY LAW), ikianzia kitaifa na badae kimataifa chini ya sababu za kiuchumi,
ugaidi na zingine.


Mda si mwingi yatatimia hayo, akiwalazimisha atakuwa anamfanyia "sanamu" yule mnyama
wa kwanza wa Ufunuo 13. Yaani anafanya kitu ambacho kilishakuwepo kabla, hiyo ndiyo maana halisi ya
sanamu kwa muktadha wa UFUNUO 13:12.
Watakaopinga kwa maana ya kuabudu tofauti na Jumapili, watauawa (UFUNUO 13:15) na kutawekwa mfumo
ambao utazuia wasiokubaliana na amri ya Sunday Law wasiuze wala kununua (UFUNUO 13:17). Na ktk kipindi
hicho, utakapokubaliana tu na amri hiyo tayari utakuwa umepokea alama isiyoonekana aidha ktk mkono wa kulia
au ktk uso (UFUNUO 13:16).


Alama hiyo imetajwa kuwa ni 666. Lakini hesabu yake ni lazima itokane na OFFICIAL NAME ya utawala wa
mnyama wa kwanza wa Ufunuo 13 (ambaye sanamu yake itanena). Na ni lazima ilazimishe mambo ya ibada.
Hesabu yake tumeambiwa yeye aliye na akili na aihesabu, maana ni hesabu ya kibinadamu.
Kuna DHANA nyingi duniani zinazojaribu kuelezea maana ya namba 666. Lkn nyingi zinakuwa na mapungufu
mengi tu!...mimi kwa sasa sisemi ni dhana ipi inaelezea ukweli wa namba 666, Mungu akipenda nitawaletea
hesabu hiyo siku nyingine.


Kwa hivyo tupo kwenye kilele cha utawala wa Marekani hapa duniani. Ndiyo maana mnaona leo Marekani
anapeleka majeshi Korea. Lkn hajaanza leo, ameangusha tawala kadha wa kadha aidha yeye mwenyewe au na
washirika wake. Msitegemee nchi yoyote kuishinda marekani, hata kama itarudi nyuma ktk vita yoyote, badae
itasonga mbele na itashinda tu.


Baada ya marekani utawala utakaofuata ni wa Mwana Kondoo Yesu (UFUNUO 14). Unaweza ukajua tupo karibu
na mwisho wa dunia kiasi gani. Basi ikiwa hivyo ndivyo, tujiandaeni si mbali mlango wa rehema utafungwa mara
tu marekani atakapotangaza amri ya kuabudu jumapili, kundi la tulioufahamu ukweli kisha kushupaza shingo
kuufuata tutafungiwa nje.

Utabaki kwa ambao hawajaufahamu ukweli ambao nao injili itawafikia kwa kasi kubwa
kwa mda mfupi nao watafungiwa rehema kisha Yesu ashuke.
Huenda ni wewe umeufahamu ukweli lkn hutaki kuufuata kwa sababu labda za maslahi, heshima au vinginevyo.
Angalia utafungiwa nje na usiokolewe Yesu akija,...udini wa mtawala kama Trump ni kengele kuelekea kutimia
yaliyotabiriwa, huenda asiwe yeye lkn ni lazima itatimia marekani hasa ukizingatia dalili zote zilishatangulia
kutimia, limebaki hilo tu la Marekani, nalo muda si mbali litatimia na Yesu arudi duniani mara ya pili.


Nakusihi mpendwa, kwa neema ya Bwana wetu Yesu, na kwa ushirika wa Roho Mtakatifu, amka!!!..inua kichwa
chako! Usijekufungiwa mlango wa rehema, na zaidi hujui hata lini mishale ya mauti itakuchoma! Utalala ukiwa
upande gani? Mfuate Yesu leo, na si kumfuata tu, bali mfuate ktk njia sahihi, njia nyembamba ambayo
waiendeayo ni wachache.


Yesu alikwisha tuonya akisema "Basi mambo hayo yaanzapo kutokea, changamkeni, mkaviinue vichwa vyenu,
kwa kuwa ukombozi wenu umekaribia" LUKA 21:28.

Mungu awabariki mnapotafakari ujumbe huu, amina
Dunia haina mwisho,,wewe/sisi ndio tuna mwisho!!
 
Back
Top Bottom