MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Duh..Hii supu ni chafu!
Tena ni kitamu sana, hapo kwenye supu unaongeza pilipili, hang over unaiaga.Hiko chakula kinaliwa na binadamu kweli?
Mbona kichafu hivyo?
Mkuu umeniwahi, wengine wameshapiga kama hizo utafikiri hawajui supu ya utumbo inakuwaje.Watu humu wanajifanya matawi ya juu eti supu chafu tupieni zenu safi zisizo na ladha.
Mkia hauna tofauti na kongoro lazima uchomwe uparuriwe kabla ya kupikwa au wenzetu mkichinja mbuzi miguu na vichwa mnatupa? JF watu kwa kujifanya matajiri! mkuu wewe hiyo supu kula tupo na wengine tunaokula hao mabishoo kivyao.Mkuu umeniwahi, wengine wameshapiga kama hizo utafikiri hawajui supu ya utumbo inakuwaje.
Achana nao tatizo wengi ni "wanamaigizo" wanatudharau watu wa sehemu km Mabibo wkt kwao wanashindia ndondoWatu humu wanajifanya matawi ya juu eti supu chafu tupieni zenu safi zisizo na ladha.
Kwa taarifa yako hiyo inaitwa makwasukwasuHiyo ni supu? Dah! Una ujasiri
Nenda zako New Africa HotelHiko chakula kinaliwa na binadamu kweli?
Mbona kichafu hivyo?
Hangover inatibiwa na vyakula vichafu?Tena ni kitamu sana, hapo kwenye supu unaongeza pilipili, hang over unaiaga.
Hang over ni upotevu wa electrolytes kwenye mwili baada ya kunywa na kupass urine mara nyingi, ndiyo maana unajisikia kunywa supu ya chumvi au milkshake. Kuhusu supu kuwa chafu hilo sina uhakika, ninaona ni supu ya mchesho wa kitu kama utumbo au kongoro.Hangover inatibiwa na vyakula vichafu?
Haya bhana. Enjoy that 'dirty' meal.Hang over ni upotevu wa electrolytes kwenye mwili baada ya kunywa na kupass urine mara nyingi, ndiyo maana unajisikia kunywa supu ya chumvi au milkshake. Kuhusu supu kuwa chafu hilo sina uhakika, ninaona ni supu ya mchesho wa kitu kama utumbo au kongoro.
Du kambale! .New africa hotel wanaiona kwa nje tu .Nenda zako New Africa Hotel
Sisi huku Mabibo tunakula hadi kambale
Watu humu wanajifanya matawi ya juu eti supu chafu tupieni zenu safi zisizo na ladha.
Uswahilini rahaDu kambale! .New africa hotel wanaiona kwa nje tu .
nashukuru mkuu kweli we mama kubwwMkia hauna tofauti na kongoro lazima uchomwe uparuriwe kabla ya kupikwa au wenzetu mkichinja mbuzi miguu na vichwa mnatupa? JF watu kwa kujifanya matajiri! mkuu wewe hiyo supu kula tupo na wengine tunaokula hao mabishoo kivyao.