donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
- Thread starter
- #41
dadAngu upo? mpwa wangu hajambo?Cha uroho
dadAngu upo? mpwa wangu hajambo?Cha uroho
dadAngu upo? mpwa wangu hajambo?
slama heri ya mwaka mpyHatujambo Alhamdulillah za kwako
slama heri ya mwaka mpy
kilwa road pb mkuuJamani wakuu sehemu gani ntapata kitimoto safi, changa,tamu yenye mvuto?
Kijiwe changu cha zamani wanazingua now full kurost vitmoto vilivyozeeka no ladha!
Dah! Kumbe unatumia pombe... Supu kama hyo kwa sisi wala maji unaitia pilipili nyingi unaifakamia unanunua maji makubwa ya Kilimanjaro makubwa ya baridi unayatandika hapo hang over yote kwishaTena ni kitamu sana, hapo kwenye supu unaongeza pilipili, hang over unaiaga.