Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
- Thread starter
- #101
Fair question...tatizo hawa ndugu zetu UONGO wao wanalazimisha.
..yaani ukiwashtukia unakuwa ADUI yao na wanaweza kukudhuru.
..kitu kingine Mama Samia alisema Magufuli alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo kwa miaka karibu 10.
..kwanini wananchi hawakuelezwa ukweli huo, wanakuja kuambiwa wakati kiongozi amekufa?
Lakini pia hapo nadhani kuna suala la privacy pia. At what point does it start to be too intrusive?
Je, wananchi wanapaswa waelezwe kila tatizo la kiafya alonalo Rais wao? Kwa hiyo na sasa tuambiwe kila tatizo la kiafya alilonalo Mama Samia?
Sioni haja hiyo.
Ila, kuufahamisha umma kama Rais amelazwa ni suala ambalo raia wanastahili kulijua.