Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
I hope this was a teachable moment.
From it, they will grow through what they went through and do better going forward.
They say if you know better, you do better.
So I’m crossing my fingers that they will publicly acknowledge the error of their ways and promise us to do better and use some common sense in the future. Common sense goes a long way.
And honesty is always the best policy. Just tell people the truth. You don’t have to tell every single solitary detail. Just the basics would suffice.
Ilisikitisha kuona serikali ikishindana na tetesi za mtandaoni ambazo hatimaye zimekuja kudhihirika zilikuwa za kweli.
Watu wa Mtandaoni ambao kimsingi ndo waliokuwa wanatupatia taarifa za hali ya marehemu Rais Magufuli [hata kama kila detail haikuwa sahihi], wamejiongezea heshima ya kuaminika na watu ilhali serikali ikipoteza uaminifu.
Serikali ijayo ya Mama Samia [and I’m rooting for her badly] ina kazi kubwa ya kuirejesha imani hiyo iliyoshuka.
Hivi kwa mfano miezi michache tokea sasa zikitokea tetesi zingine kuhusu jambo nyeti nchini halafu kambi ya akina Kigogo na wenzake wakinzane na upande wa serikali katika kilichotokea au kinachoendelea, unadhani ni nani wananchi wataomwona ndo anasema ukweli?
Serikali ya Tanzania inabidi ibadilike iendane na zama hizi za kidijitali. Haiwezekani tena kuficha ficha mambo halafu mambo hayo yasijipenyeze kwenye umma. Yatapenya tu.
Njia za watu kuwasiliana zipo nyingi mno na ni rahisi sana.
Ni vyema kama kuna jambo linaendelea na ambalo lina maslahi kitaifa, serikali ikawa ndo ya kwanza kulitolea neno jambo hilo ili kuepusha sintofahamu zisizo na ulazima.
Hakukuwa na ugumu wowote ule kwa serikali kusema kuwa Rais Magufuli ni mgonjwa, yuko wapi, na maendeleo ya hali yake ikoje.
Hayo yangefanyika awali na mapema, basi hata waziri mkuu Majaliwa asingekuwa contradicted na Mama Samia siku chache zilizopita.
Badala yake tumeona watu wakinyanyaswa kisa tu wanahabarishana kuhusu kilichomsibu Rais wao, ambaye, mind you, alipata 84% za kura kwenye uchaguzi uliopita!
Waachane na hayo mambo ya kipuuzi yanayozidi kuwapunguzia heshima.
Time to put some respect on the information superhighway’s name.
It is undefeated for a reason.
From it, they will grow through what they went through and do better going forward.
They say if you know better, you do better.
So I’m crossing my fingers that they will publicly acknowledge the error of their ways and promise us to do better and use some common sense in the future. Common sense goes a long way.
And honesty is always the best policy. Just tell people the truth. You don’t have to tell every single solitary detail. Just the basics would suffice.
Ilisikitisha kuona serikali ikishindana na tetesi za mtandaoni ambazo hatimaye zimekuja kudhihirika zilikuwa za kweli.
Watu wa Mtandaoni ambao kimsingi ndo waliokuwa wanatupatia taarifa za hali ya marehemu Rais Magufuli [hata kama kila detail haikuwa sahihi], wamejiongezea heshima ya kuaminika na watu ilhali serikali ikipoteza uaminifu.
Serikali ijayo ya Mama Samia [and I’m rooting for her badly] ina kazi kubwa ya kuirejesha imani hiyo iliyoshuka.
Hivi kwa mfano miezi michache tokea sasa zikitokea tetesi zingine kuhusu jambo nyeti nchini halafu kambi ya akina Kigogo na wenzake wakinzane na upande wa serikali katika kilichotokea au kinachoendelea, unadhani ni nani wananchi wataomwona ndo anasema ukweli?
Serikali ya Tanzania inabidi ibadilike iendane na zama hizi za kidijitali. Haiwezekani tena kuficha ficha mambo halafu mambo hayo yasijipenyeze kwenye umma. Yatapenya tu.
Njia za watu kuwasiliana zipo nyingi mno na ni rahisi sana.
Ni vyema kama kuna jambo linaendelea na ambalo lina maslahi kitaifa, serikali ikawa ndo ya kwanza kulitolea neno jambo hilo ili kuepusha sintofahamu zisizo na ulazima.
Hakukuwa na ugumu wowote ule kwa serikali kusema kuwa Rais Magufuli ni mgonjwa, yuko wapi, na maendeleo ya hali yake ikoje.
Hayo yangefanyika awali na mapema, basi hata waziri mkuu Majaliwa asingekuwa contradicted na Mama Samia siku chache zilizopita.
Badala yake tumeona watu wakinyanyaswa kisa tu wanahabarishana kuhusu kilichomsibu Rais wao, ambaye, mind you, alipata 84% za kura kwenye uchaguzi uliopita!
Waachane na hayo mambo ya kipuuzi yanayozidi kuwapunguzia heshima.
Time to put some respect on the information superhighway’s name.
It is undefeated for a reason.