The House of Kikwete: What went wrong?

The House of Kikwete: What went wrong?

Hii ni dalili kuwa watu wamemiss Utawala wa JK

Mmeshindwa kumsema JPM kwa sababu atawatandika mnamrukia JK kwa sababu ya upole wake!

Wewe unaisema Familia ya JK kuwa iko hohehahe, ulitaka waibe?

Kina Makongoro wamekaa Ikulu nyundo 24 lakini siyo Matajiri na wala hawana influence yoyote sembuse Kina Riz1 waliokaa nyundo 10 tu?

Bro..hujaelewa maksudi ya huu uzi. Kwa aliye uelewa..ni uzi very interesting na kufikirisha sana. Unakufanya ufikirie political strategies na alliances za wanasiasa wetu. Read (behind or between?) the lines.
 
Daaah.. kuna ukweli hv..!! Legacy ya JK katika future family siioni...!! Mtoto aliesoma vema and who will be atleast next JK hakuna..!!

So, JK future Legacy imefutika...!!

Akina Miraji kama mission town tu kwa kweli...!!

But kwa akili za kiswahili swahili, hawajali, watasema wameshachuma sanaaaaaa...
And that is what BLACK MIND is all about...!!

Maisha leo kwako, kesho kwangu....

Today, Lowassa ndio yuko on front pages za kila gazeti...!! Ana make Headlines... news... daily...!!

Maisha ni safari... ukianguka, simamaa, twendeee... twendeee... Hakuna kulia..!!

kweli lowasa sasa anamake headline,za kupelekwa station polisi ha ha ha ha..
Bavicha msinivunje mbavu jamani aaah ha ha ha
 
Bro..hujaelewa maksudi ya huu uzi. Kwa aliye uelewa..ni uzi very interesting na kufikirisha sana. Unakufanya ufikirie political strategies na alliances za wanasiasa wetu. Read (behind or between?) the lines.
so what is the use of starting a thread peoples cant understand what you are talking about?
 
Ktk mambo ya family mkapa unamuonea, Nyerere alikuwa mjamaa so umaskini.kwake ilikua joho ya heshima....

Back to JK harakati zote zile zake na mwanamfalme kaishia kuvuna mabua?
ha ha ha,bavicha kwa vitimbwi hamjambo,kwahiyo nyerere umasikini kwake ndo heshima,ok,what about mkapa,ana pesa sawa,ana mtoto hata diwani katika system kweli?.
 
kweli lowasa sasa anamake headline,za kupelekwa station polisi ha ha ha ha..
Bavicha msinivunje mbavu jamani aaah ha ha ha

Nitake radhi, mm sio BAVICHA..!! Usipoomba radhi nakugeuza jiwe.. huko huko uliko..!! Omba radhi hapa hapa..!!
 
kweli lowasa sasa anamake headline,za kupelekwa station polisi ha ha ha ha..
Bavicha msinivunje mbavu jamani aaah ha ha ha
Alifungwa Mandela sembuse Lowassa kwenda polisi kwa miguu yake?

Wangapi wamekaa nyuma ya nondo na kuibukia kuwa marais?
 
Hatumsemi vibaya au kumhukumu no!!

Tunaongelea tu jinsi Jakaya alivyofutika ktk power coridors za nchi hii!!

Yaani ilitegemewa awe na most influential family in this country but hali ni tofauti!!
Jamani mnatazamia afanyeje? Ikiwa mtangulizi wake kambana pia mrithi wake naye kabana hata hafurukuti Mzee wa watu, kubadilisha watendaji wote aliowateua kabla hajatoka unadhani kumemuathili kiasi gani? Acha Maisha yaendelee jinsi yalivyo.
 
jk.jpg
jk.jpg
 
ha ha ha,bavicha kwa vitimbwi hamjambo,kwahiyo nyerere umasikini kwake ndo heshima,ok,what about mkapa,ana pesa sawa,ana mtoto hata diwani katika system kweli?.
Nimekwambia mambo ya familia kwa Mkapa nitamuonea sizungumzi chochote.

Nyerere alikua mjamaa, na umaskini kwa wajamaa ni taji ya ushindi!!
 
Angalizo:
Greek tragedy
(ɡriːk ˈtrædʒədɪ)
Definitions
Collins English Dictionary
noun(in ancient Greek theatre) a play in which the protagonist, usually a man of importance andoutstanding personal qualities, falls to disaster through the combination of a personal failing and circumstances with which he cannot deal



But legacy and succession are vital to explaining what happened next....

1. Jakaya Kikwete alikuwa ni rais mwenye bahati ya kupendwa na kupewa goodwill na wananchi. In the end nadhani mnajua alivyokuwa compromised na icing on the cake ni kuwa in 10 years alizokaa madarakani hakuwahi kuwa na proper succession planning ndani na nje ya chama zaidi ya kumweka mbele waziri Membe kinyume na alama za nyakati kuwa Membe hakubaliki ndani na nje ya chama. Ushaidi ni namna ambayo alivyokuwa obsessed na anyone but Edward(Lowassa), ikapelekea Ben Mkapa kuona how flawed JK alivyo na kumzidi kete na kumweka candidate wake, the one and only John Pombe Magufuli. In otherwords, its almost 20 years since Mkapa kaondoka lakini watu wake aliowaweka kwenye strategic positions bado wapo na anaendelea kutengeneza empire yake. Jakaya on the otherhand alishindwa kutengeneza leaders kama yeye na sidhani kama ana mikakati ya kufanya hivyo hata nje ya madaraka. Sasa hivi tazama watu wake wa karibu ni wale wale waliokuwa wana mislead alipokuwa madarakani. Anajaribu kuji reinvent as international statesman wakati hapa on the ground ameshindwa kuwa statesman wa kupatanisha Zanzibar na mambo ya maendeleo ndani ya nchi.

Assumption moja kubwa na mbovu inayofanywa hapa ni kwamba Kikwete ni leader.

Kikwete si leader, ni usurper. Ni pretender. Ndiyo maana Mnyika akamuita "dhaifu".

Ukielewa hili, wala hutashangaa kwa nini kashindwa kumuweka successor wake na kwa nini Mkapa kaweza kumuweka wake.

By the way, hata Mkapa naye hakuweza kumuweka successor wake. Ingawa in his case, kwa sababu alimputa Kikwete kwa msaada wa Nyerere, inaonekana it was only right ampishe Kikwete, the then "president in waiting".

So one can say kwamba Mkapa alikuwa hajapata nafasi ya kumuweka successor wake, akampisha Kikwete kwa sababu kiukweli alichukua urais sehemu ambayo Kikwete alitakiwa kuwa rais, na sasa ndiyo Mkapa kapata nafasi ya kumuweka successor wake.

Kwa hiyo Kikwete naye kama ana ubavu na uhai, anaweza kupata nafasi ya kumuweka "successor" wake 2025.

The mere mention of that year sends shivers.


2. Salma Kikwete. Huyu mama ni mtu ambaye namkubali na nitaendelea kumkubali kwani pamoja na kuwa mwalimu lakini alitumia influence aliyonayo kuanzisha WAMA Foundation ambayo naming itakuwa imefanya makubwa mengi japo kwa miaka 10 ilitakiwa iwe kubwa mithili ya Clinton Foundation. Career wise mama angeweza kuwa Mbunge wa huko kwao kusini kwani anakubalika na resources zilikuwepo kumsaidia kupata kiti. Huyu mama ni jembe na naamini kuwa she has interests za kuendeleza elimu Tanzania na in particular kuendeleza watoto wakike. In the end hajawa Mbunge wa kuchaguliwa wala wa kuteuliwa. Sina hakika kama naye alitengeneza future women/girl leaders lakini naamini kuwa huyu mama itakuwa alifanyiwa mtimanyongo na wakwere asifike mbali zaidi.

The few times huyu Mama nimemsikia kaonekana intelligible, perhaps more so than he husband. But that may be due to the fact that I haven't heard much of her.

Kukataa ubunge kunaonesha ukomavu wake. Mama kashakuwa First Lady aende kujichanganya na kina Lema na Sugu bungeni kutukanana kwa nini wakati ana platform yake yenye unique gravitas?


3. Rizwani Kikwete. Need I say more? wanasema ukitaka kumjua Mfalme tazama waliomzunguka na washauri wake. Riz alikuwa one of the most powerful feared young politician nchi hii kutakana na nafasi ya baba yake na yeye mwenyewe kuwa mwanasiasa. Lakini ukitazama watu ambao watu wake ambao aliwasaidia ni mbunge wa Mkuranga (Ulega) ndani ya Chama sasa hivi hana influence kivyo,serikalini hana influence na kwenye biashara wanasema kuwa ile taskforce ya Magu is on his case kutokana na tuhuma mbali mbali rushwa. Gazeti lake limenunuliwa na Manji, Sielewi kama January Makamba aliweza kupata $10 million (http://www.economist.com/node/17369767) toka kwa philanthropists wa Wall Street kusaidia jimbo la Bumbuli sasa Riz kashindwa vipi kupata pesa za kuendeleza jimbo lake? Sasa what went wrong? watu wake wa karibu wanasema kuwa circle yake imezungwa na watu wenye njaa, wanaomfia kila mara,anasikiliza majungu, na hana think tanks za kumsadia kuwa Uhuru Kenyatta ajae. The only success he has ni the one and only PAUL MAKONDA ambaye sasa hivi amemgeuka kuwa foot soldier wa Magu (kanda ya Ziwa mwenzie) bade ya kugundua kuwa he doesn't need Riz anymore. Huyu najiuliza alishindwa vipi kujizungusha na watu wenye kuona mbali na kumshauri vizuri? Riz alifika mahala kila kukicha anajibizana na tabloid media na kuwatisha atawashitaki. Yes this is what our dear precious Princeling Riz was reduced to.

Huyo guluguja ambaye hata herufi za Kiswahili hajui sioni hata umuhimu wa kumzungumzia. Sababu pekee tumemjua ni kuwa mtoto wa rais. Kama Kikwete ni dhaifu, basi Ridhiwani ni dhaifu wa dhaifu.

4. Miraji, etc...hawa sasa hivi wanatumwa na waarabu wa Home Shopping Centre kupitia foundation yao ya GSM. Cha kujiuliza inawezekana vipi mzee wao awe the most powerful man in this country for 10 years na immediately after leaving the office wanatumwa na kutumiwa na hawa wa Mahra? Ukweli ni kuwa the rest of the family ni sawa na familia zingine za kiswahili. Shule zao ndogo, na kama wamesoma wengi wao hawajaelimika, wanaendekeza majungu, wanaishi kama makamisheni na misheni town, na the only option waliyonayo ni hii ya kutumwa tumwa tuu na watu wenye pesa zao kama wahindi na waarabu. This should have been the most powerful and influential family in this country kwenye kila sekta (media, politics, business etc) kwa sababu ya impunity ya wakati wa baba yao (kwenye hili naomba niweke wazi kuwa exception ni kwa wale wasomi waliopo kwenye hii family ambao waliamua ku keep low profile na kuishi maisha ya kawaida). Hivi walishindwa kuset up Jakaya Kikweye Foundation? Why GSM aka Home Shopping Centre Foundation? Is this the best this family could come up with?

Tunarudi kule kule. Kikwete si leader. Kashindwa kuiandaa familia yake tu kufanya mambo makubwa, ulitegemea awe na succession plan ya maana?

In this case Jakaya Kikwete amefail na taratibu naangalia the House of Magufuli in the making...

Magufuli angalia rafiki zake zaidi kuliko familia. Mke wake amesema kwamba jamaa ana kichaa na hakufaa kuwa hata Waziri licha ya rais. Ndiyo maana mama alikuwa hataki kushiriki kampeni siku za kwanzan.

Ukitaka kujua Magufuli chizi angalia jinsi anavyo compromise uhusiano wetu na Kenya kwa kuweka mbele urafiki wake binafsi na Raila Odinga na kuleta beef za kitoto na Uhuru Kenyatta.
 
Nyie ongeeni tu soon mtayaona maajabu kina kitu kinaitwa the comeback though the kikwetes still prominent cause their father had already drawn his mark upon our nation .

Just wait and see hah!
 
Wacha kubahatisha kijana!! Membe hakuwa nominated na huko unakosema!! Membe tangu aitwe kufokewa kuhusu msimamo wake juu ya OIC alikuwa kichefu chefu kule...

Hata Magu si wote walimkubali.... kuligawanyika makundi na hata leo hana ushawishi kule ndio maana anawakumbatia kwa bakshishi waswahili.

Duuh! Kwa maelezo yenu haya, inaonekana kumbe nchi hii inatawaliwa kiana na wale wa kulee! Au ndio sababu hatuwaoni wa upande mwingine wakipata hata fursa za teuzi za juu serikalini kwa sasa?!! Kumbe ni kampeni maalum, daah! Sasa nimeshafahamu! Lakini chonde jamani, nchi hii ni ya Watanzania wote; kikinuka hapa kila mmoja ataathirika. Hatuna hamu na yaliyotokea Afrika ya Kati na mifano yake!
 
Nyie ongeeni tu soon mtayaona maajabu kina kitu kinaitwa the comeback though the kikwetes still prominent cause their father had already drawn his mark upon our nation .

Just wait and see hah!
Kikwete ndo kwisha habari yake.... hatoinuka tena!#
 
Ikulu sio sehemu ya kutengeza mizizi na kujenga familia imara ili iweze kutawala nchi miaka nenda rudi. Hii sio nchi ya kimalkia au kifalme.
Huo ni upuuzi wa hali ya juu.Tumeshachoshwa kuja kusikia habari za Kikwete Jr rais awamu ya 7.
Acha mwenye uwezo ashike nchi ndo mana ya demokrasia.Wananchi wapige kura kumchagua wamtakaye sio aliyetengenezwa kwa maslahi ya rais aliyepita.
 
Jee nikikueleza kuwa mke wangu wa kwanza (RIP), alikuwa ni Muislamu, na watoto wangu ni Waislamu, utasema nini? . Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, huwa ninafunga mpaka leo!. Zanzibar nina mji, Tanga nina Mji na Lindi nina mji, na kote humo wenye mji ni Waislamu!.

Mtu mwenye chuki na Waislamu angebandika mabandiko kama haya? .
Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo ...
Kete ya Dhana ya 'Zamu za Kupokezana' ina turufu yoyote katika ...
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni ...
Japo hakuna kupokezana: Kiukweli, kihaki, kihalali na ki-Muungano ...
Je, kunahitajika affirmative action ili Mzanzibari aweze tena kuwa ...

Kwenye mabandiko yote haya, nawatetea Waislamu!.

Pasco

Pamoja mkuu
 
JK alimwandaa Membe,ngoma ikabadilika njiani na hari ilivyokuwa ya kisiasa hakuna aliyekuwa anakubalika ndani na nje ya CCM kama JPM, Naweza kusema Pinda haukuweza kumpitisha JPM wakati yeye mwenyewe alikuwa akiutaka urais kwa macho yote,ngoma ilichezwa na Mkapa hapo ndipo alipomaliza kila kitu..Mkapa alianza kumwandaa JPM akiwa bado naibu waziri kama tunaona hivi leo Makonda anavyondaliwa na JPM,Makonda ana sauti kuliko mawaziri wa JPM.
 
1. Tangu Mkapa ameondoka it is now 10 years, na tangu Kikwete ameondoka its only 10 months! .
2. Waliomleta Magufuli ni wazee fulani wa maeneo fulani ambao ndio waliomleta
Mkapa na ndio waliomleta Mwalimu Nyerere! na sio wale jamaa wa DSTV! .
3. Lineup yao ilimjulisha Pinda, Membe, Tibaijuka, Nchimbi, Makongoro na wengine wengi ila ni kweli JK alimtaka Membe vetting yao ikamuengua na kuwapatia Magufuli.
4. Kikwetes bado wapo, kijana ni Mbunge, mabadiliko yajayo atakuwa NW, 2020 full minister, 2025 could be a candidate! .
5. Tanzania kuingia OIC na Mahakama ya Kadhi iliwahi kuwa turufu ya kuvunia kura za Waislam, kwa Magufuli hili suala halizungumziki.

Pasco


Pasco

1. kwanza sikusema ITS 20 years toka Mkapa aondoke, nilisema kuwa ni ALMOST 20 YEARS na time edit hicho kipande na kuweka its ALMOST 15 YEARS toka Mkapa aondoke. I hope kwenye hili tuko pamoja.

2. We dare talk openly na mimi nilikuwa muwazi toka first thread yangu.Hao unaowaita WAZEE FULANI wa MAENEO FULANI ni akina nani? Naomba uwe muwazi na unifafanulie kwenye hili tafadhali

3. Sawa

4. Nimeweka wazi kuwa Jakaya Mrisho Kikwete in my eyes nilikuwa namchukulia kuwa yuko kwenye calibre ya akina The kennedy's, Bushe's, The Kirchners,The Choudhry's,The Khama's,The Kenyatta's,The Compaore's,The Nguema's,The Bongo's, Odinga,s Nyagas, etc. na nimeelezea kuwa he could have done more not only kwa Riz lakini kwa wengine katika familia yake including mkewe na watu wake. Pia nilizungumzia kuwa alishindwa kutengeneza proper succession planning even outside his own family kwa sababu alikuwa ana influence na power kubwa zaidi nchi hii. Na hate kama alikuwa na plan surely kwa mtu wa naffs yake why did he put all his eggs in one basket aka Membe ?? He had 10 years ya kuwa na various candidates, was this blunder by design au vipi?

5. Hujanipa majibu ya kueleweka kuhusu OIC na UISLAM. Haya mambo ya Dini na Udini na OIC yanaingiaje kwenye uzi unaozungumzia The Fall of the Kikwetes???
 
Back
Top Bottom