The House of Kikwete: What went wrong?

The House of Kikwete: What went wrong?

Tujitegemee, hakuna uchochezi wowote! . Ili jambo liwe ni uchochezi lazima liwe na lengo la ku incite violence, hata ukiunganisha hizo dots, kuna uchochezi gani hapo? !.
Pasco
Yawezekana umemwaga dots bila kujua. dots zenyewew hizi hapa ...OIC, mahakama ya kadhi, majina (yaliyokuwa yamepangwa kabla ya vetting), Jina (kubwa tu) kutumika kufanikisha mpango wa kundi (maalumu)...nk.
 
halafu ukute mzinifu,mlevi,mshirikina,tapeli n.k hiyo dini yake aliyojifunzia chuki haitampeleka kokote
Hakuna dini yoyote inayofundisha chuki, tena kwa dini yangu tunafundishwa hata adui mpende! . Mtu akikupiga kofi la shavu upande mmoja, mgeuzie na upande mwingine! .

Ulevi, uzinifu, unapelusi na ushirikina ni tabia binafsi za mtu, have nothing to do with dini!.
Pasco
 
1. Tangu Mkapa ameondoka it is now 10 years, na tangu Kikwete ameondoka its only 10 months! .
2. Waliomleta Magufuli ni wazee fulani wa maeneo fulani ambao ndio waliomleta
Mkapa na ndio waliomleta Mwalimu Nyerere! na sio wale jamaa wa DSTV! .
3. Lineup yao ilimjulisha Pinda, Membe, Tibaijuka, Nchimbi, Makongoro na wengine wengi ila ni kweli JK alimtaka Membe vetting yao ikamuengua na kuwapatia Magufuli.
4. Kikwetes bado wapo, kijana ni Mbunge, mabadiliko yajayo atakuwa NW, 2020 full minister, 2025 could be a candidate! .
5. Tanzania kuingia OIC na Mahakama ya Kadhi iliwahi kuwa turufu ya kuvunia kura za Waislam, kwa Magufuli hili suala halizungumziki.

Pasco
Wacha kubahatisha kijana!! Membe hakuwa nominated na huko unakosema!! Membe tangu aitwe kufokewa kuhusu msimamo wake juu ya OIC alikuwa kichefu chefu kule...

Hata Magu si wote walimkubali.... kuligawanyika makundi na hata leo hana ushawishi kule ndio maana anawakumbatia kwa bakshishi waswahili.
 
Pasco,
una mindset za kidini sana we jamaa.
Sijui kama unajua madhara ya baadae kwa kile unachokihubiri humu JF kuhusiana na ubaguzi wako wa kidini, yaani unaonyesha chuki za waziwazi kwa waislamu. Sijui tunajenga taifa la namna gani kwa watu wenye mentality kama zako. Very stupid mindset..!!

Ndugu zanguni tunajenga taifa moja, tumeishi vizazi na vizazi kwa upendo, mshikamano na amani kati yetu nchi mwetu. Vitendo na maneno ya wapuuzi kama Pasco yafaa kukemewa na kulaaniwa.
ha ha ha,si kasoma kipaimara yule?,lazima awe na chuki za kidini,japo huu uzi sijaupitia vizuri nadhani umeanzishwa pia na graduate wa kipaimara
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Pasco,
una mindset za kidini sana we jamaa.
Sijui kama unajua madhara ya baadae kwa kile unachokihubiri humu JF kuhusiana na ubaguzi wako wa kidini, yaani unaonyesha chuki za waziwazi kwa waislamu. Sijui tunajenga taifa la namna gani kwa watu wenye mentality kama zako. Very stupid mindset..!!

Ndugu zanguni tunajenga taifa moja, tumeishi vizazi na vizazi kwa upendo, mshikamano na amani kati yetu nchi mwetu. Vitendo na maneno ya wapuuzi kama Pasco yafaa kukemewa na kulaaniwa.
Mkuu TYC, hakuna mindset yoyote ya udini, nilichosema ni facts tuu! .

Wenye mindset ya udini kwao kila kitu wanakiangalia kwa miwani ya udini! .
Pasco
 
Nashangaa sana hili suala, utakuta mtu anawasifia marais wote waliowahi kuongoza hili taifa ila inapofika kwa Mwinyi na Jk inakuwa shida kidogo... Inanifanya nianze kuamini kwenye hii nchi ni kweli jamii fulani inabaguliwa na inawezekana kuna mkono wa taasisi fulani kwenye kutawala taifa hili..
sasa hata wakibaguwa haitawasaidia,sanasana labda kina pengo wataendelea kunenepesha vitambi tu,
lakini hawa wengine hawana hela hata ya kuchukua kandarasi kubwa zaidi ya zile za kutengeza makaravati na madawati,huku kina manji wakichukua makandarasi ya kuleta mijitambo na kujenga maskyscraper.
Kwani wao hawana uzoefu wa biashara(business management),sanasana wataajiriwa maofisini kwenda kubonyeza bonyeza keyboard za serekali tuu,wakilog jf kuanzisha nyuzi za kichimvi.
 
Pasco,
una mindset za kidini sana we jamaa.
Sijui kama unajua madhara ya baadae kwa kile unachokihubiri humu JF kuhusiana na ubaguzi wako wa kidini, yaani unaonyesha chuki za waziwazi kwa waislamu. Sijui tunajenga taifa la namna gani kwa watu wenye mentality kama zako. Very stupid mindset..!!

Ndugu zanguni tunajenga taifa moja, tumeishi vizazi na vizazi kwa upendo, mshikamano na amani kati yetu nchi mwetu. Vitendo na maneno ya wapuuzi kama Pasco yafaa kukemewa na kulaaniwa.

Jamaa anaonyesha ana Chuki mno na waislam
 
Kwani nani kasema haisikii? Unaelewa concept lskini?

With all powers, business channels, personnel na uchafu wote wa kufadhili wakwepa kodi leo ameshindwa kuwa na strong family in the country?

Family ya kutumwa tumwa? Nimepita msoga kunatia huruma!! Cheki Chato kunajengwa airport!!
ila butiama maendeleo yako juu eeh?,vipi masasi nako walijenga international airport?.
What do you mean by strong family?.
Au unamaanisha family madhubuti kama ya nyerere,au mkapa,,

ha ha ha ha..
 
mohamed-gharib.jpg
Kama ni kweli, nani ana tumika hapo?
 
mimi nadhani kikwete amerithi hilo kutoka kwa muasisi wa taifa hili hayati babu wa taifa, nadhani mpaka anafariki {alale mahala pema peponi} hadi leo si mwanae wala mjuu wake ambaye yupo kwenye top 10 ya uongozi wa juu wa nchi hii. mzee nyerere alikuwa na uwezo kupita kikwete wa kuiamrisha serikali imuweke yeyote kati ya ndugu zake kwenye madaraka ya juu sana lakini alishindwa, mkapa japo kafauru kwa magu lakini si ndugu yake wa damu, kikwete kashindwa na magufuri nae atashindwa.
 
Mkuu TROTSKY, inaelekea unapajua vizuri jf lakini umeamua tu kuja na id mpya kwa malengo unayoyajua.
Nimejaribu kukusoma na kuona jinsi maneno yako yalivyo straight forward na ninachojifunza ni kuwa vyote ni muhimu lakini kumbe huenda mtaji wa akili ni bora na mkubwa zaidi kuliko mtaji wa pesa! Asante.
 
Wanaolalamika kuwa Magu katokea wapi wameshindwa kuelewa kuwa we are paying the price of Kikwete being shortsighted

Kiongozi umekaa madarakani for 10 years halafu huna hata succession planning na legacy?

Tazama kwao Pwani kulivyo let alone huko Bagamoyo...
One of my friends toka Kenya on 2005 aliniambia,kosa kubwa mlilofanya as a country ni kumpa huyo bwana ukuu, kwanza angalia behaviour ya jamii yake inayomzunguka ( kabila,asili,utamaduni na malezi) ,alinammbia hakuna legacy atakayo acha zaidi ya kutengeneza sifa anapotokea,hataweza kutengeneza a strong think tank institution badala yake atataka watu tawire. Sikumuelewa at that time,lakini kidogo napata picha baada ya hili bandiko lako..
 
One of my friends toka Kenya on 2005 aliniambia,kosa kubwa mlilofanya as a country ni kumpa huyo bwana ukuu, kwanza angalia behaviour ya jamii yake inayomzunguka ( kabila,asili,utamaduni na malezi) ,alinammbia hakuna legacy atakayo acha zaidi ya kutengeneza sifa anapotokea,hataweza kutengeneza a strong think tank institution badala yake atataka watu tawire. Sikumuelewa at that time,lakini kidogo napata picha baada ya hili bandiko lako..
Huyo bwana awali alitembelea nyota ya mr monduli... siku bwana monduli alipoondoka ndipo completely alipoteza dira!!

Kama ulivyosema jamii, kabila, malezi na asili yao ni very hopeless!!
 
Mkuu TROTSKY, inaelekea unapajua vizuri jf lakini umeamua tu kuja na id mpya kwa malengo unayoyajua.
Nimejaribu kukusoma na kuona jinsi maneno yako yalivyo straight forward na ninachojifunza ni kuwa vyote ni muhimu lakini kumbe huenda mtaji wa akili ni bora na mkubwa zaidi kuliko mtaji wa pesa! Asante.
Exactly!
 
ila butiama maendeleo yako juu eeh?,vipi masasi nako walijenga international airport?.
What do you mean by strong family?.
Au unamaanisha family madhubuti kama ya nyerere,au mkapa,,

ha ha ha ha..
Ktk mambo ya family mkapa unamuonea, Nyerere alikuwa mjamaa so umaskini.kwake ilikua joho ya heshima....

Back to JK harakati zote zile zake na mwanamfalme kaishia kuvuna mabua?
 
Muwage mna aibu kipindi yupo rais mmeisema sana familia yake na kumpa utajiri wa kutisha Rizone kwamba sheli zote zake mala kakamatwa China mmepiga sana kelele kuhusu familia yake sasa hivi familia hamuisikii mnaanza kumuona failure nyie watu wa hovyo sana aseee.

Huu uzi uko very sophisticated. Si rahisi average brain kuelewa. Sorry mate.
 
Aisee Msoga inasikitisha!! Hata maji shida...

Angalia chato!!! 9 months Airport 5 years?

To hell!!

Umesahau bomba la gesi ya Mtwara
Vipi bandari ya bagamoyo
Vipi hospital kubwa zaidi ya mama na mtoto
Huko bagamoyo?
Umeona ya ngosha tu?
 
Daaah.. kuna ukweli hv..!! Legacy ya JK katika future family siioni...!! Mtoto aliesoma vema and who will be atleast next JK hakuna..!!

So, JK future Legacy imefutika...!!

Akina Miraji kama mission town tu kwa kweli...!!

But kwa akili za kiswahili swahili, hawajali, watasema wameshachuma sanaaaaaa...
And that is what BLACK MIND is all about...!!

Maisha leo kwako, kesho kwangu....

Today, Lowassa ndio yuko on front pages za kila gazeti...!! Ana make Headlines... news... daily...!!

Maisha ni safari... ukianguka, simamaa, twendeee... twendeee... Hakuna kulia..!!

 
Back
Top Bottom