Kwa vile huwajui viongozi wa nchi hii..hakuna rais aliyekuwa mlevi kama mkapa..mkapa kwa ulevi amewahi kumliza baba wa taifa..ilikuwa wakati wa uuzwaji wa nbc..mwalimu alipata taarifa ya uuzwaji..akamuomba mkapa afike msasani..siku waliyokubaliana hakwenda..akaenda baada ya siku mbili mda wa jion akiwa amelewa sana mpaka wasaidizi wake wanamshikilia.
Mwalimu alipotokuja seblen akitokea chumban na kumkuta ben amelewa akamwangalia weee huku akiwa amesimama..alisikitika sana..hakutaka kuongea akarudi chumban..mkapa na watu wake nae akaondoka...kesho yake baada ya misa ya asubuhi mwalimu akaenda kwa kadinali pengo...alipofika mwalimu akaomba wakae wazungumze..wakaingia ofisini,mwalimu,pengo,msaidiz wa pengo na msaidizi wa mwalimu...
Ndipo mwalimu akaanza kumwambia pengo kitendo cha mkapa kwenda kwake akiwaamelewa....akamwangalia msaidizi wa pengo na kusema nendeni mkamuulize kwa nn anakuja kwangu akiwa amelewa namna hiyo..nimemkosea nini ..machozi yakamtoka mwalimu..ndipo kadinali pengo akamkatisha jwa kusema nitakwenda mimi binafsi kumuona na kumweleza kisha nitakuja msasani...
Pamojana ukevi wake yajo mazuri amelifanyia taifa hata hyo makongoro angeweza tu...