SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,328
- 2,217
Nilion mada ya mwanajamii juzjuz alikuwa anajitahidi kumjibu kila mtu anaechangia nahisi hiyo pia inakufanya ujisikie kupost na kupost, sasa wengine wakipost naona hadi page ya pili mwenye thread haonekani, waiii ya nn sasa
Hiyo ina ukweli kabisa ndani yake!
Mfano kuna thread inaendelea ya kaBEBII kutukanwa na mwana MMU mwenzake, watu wamechangia karibia sasa ni post 106 lakini kenyewe hakajibu hata tone moja unategemea nini?? Watu wamejaribu kumbembeleza kwa kila namna asiondoke JF ''kenyewe'' kamekaaa kimya tu, ya nini sasa kuendelea kukabembeleza ......mburaaaaa!!