The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

Naona kanisa zima limeamua kuja JF....Ukweli tumeujua PERIOD

Asante TEDO. Tunakupenda! Karibu siku yoyote Kanisani. Ukija siku moja tu, utajua tofauti ya "Watumishi wa Mungu, wa kweli", na "watumishi feki". PERIOD! HAVE A NICE BLESSED DAY!
 
Kimsingi anayedanganywa ni wewe maana hata hujui unachosema, poor you. Mungu akusamehe tu

Pole zenu. Kina Kibwetere wakawakaanga wenzao wakisema Tazama Yuaja hapa duniani na mwisho umetimia! Wako wapi? Mifano ipo mingi sana tu mbona ya huu utapeli ulioletwa kwa meli na wakoloni mkaaminishwa eti ni neno la Mungu! Matokeo yake mnazidi kutawaliwa kimawazo kwamba toeni fungu la kumi kwa watu wanaosimama makanisani Jumapili na kupiga porojo za wazee wa kiyahudi waliokufa zamani. Matokeo yake? Kina Lwakatare wanavaa dhahabu na almasi, Vatican wanazidi kuneemeka, ilhali nyie mwaumia na maisha yenu ya dhiki!. Nyie na wale wenzenu wanaoutumia kitabu cha wazee wa kiarabu mkiamnishishwa eti ndio Mungu anaongea humo mmeliwa!
 
'askofu' Kakobe ni bonge la tapeli. Kawafanya waumini wake kuwa mazuzu.. Nikiona mbwembwe zake kwa tv nilikuwa naizima!
 
Mkuu unaamini Kakobe amepoteza mvuto? Yaani amechuja wenzie walio kuwa chini wamempiga bao akina Lusokelo

Eti Kakobe amepoteza mvuto? No research, no right to speak! JIBU HILI HAPA: Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa: Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490; Jakaya Kikwete - 61,703; ITV Tanzania - 56, 413; Mwananchi Communications Ltd - 33,100; Habari Star TV Tanzania - 30,746; John Pombe Magufuli - 1,411; Edward Ngoyai Lowassa - 792. Huyo uliyemtaja hapa, zitafute LIKES zake, halafu ujipe jibu wewe mwenyewe!
 
Pole zenu. Kina Kibwetere wakawakaanga wenzao wakisema Tazama Yuaja hapa duniani na mwisho umetimia! Wako wapi? Mifano ipo mingi sana tu mbona ya huu utapeli ulioletwa kwa meli na wakoloni mkaaminishwa eti ni neno la Mungu! Matokeo yake mnazidi kutawaliwa kimawazo kwamba toeni fungu la kumi kwa watu wanaosimama makanisani Jumapili na kupiga porojo za wazee wa kiyahudi waliokufa zamani. Matokeo yake? Kina Lwakatare wanavaa dhahabu na almasi, Vatican wanazidi kuneemeka, ilhali nyie mwaumia na maisha yenu ya dhiki!. Nyie na wale wenzenu wanaoutumia kitabu cha wazee wa kiarabu mkiamnishishwa eti ndio Mungu anaongea humo mmeliwa!

Nonsensical and foolish sentiments from a hard-core Pagan!
 
Kakobe muda si mrefu anafariki kwa shinikizo la damu sadaka zimepungua mpaka siku hizi Star TV hatumuoni

Kutamani mtu mwingine afe, ni matamanio ya mchawi kama wewe! Star TV ni "local TV", hapo palikuwa pa kuanzia tu. Sasa hivi Kakobe anasomwa na kuonekana katika International Networks. Ameachana na waswahili kama wewe!
 
Jamani, mbona tumetoka kwenye mada ya uzi huu? Issue ni kwamba Kakobe yupo Kanisani kwake hapa Dar, au ametorokea Marekani, kama CITIZEN walivyoandika? Tusiandikie mate, wakati wino upo! Kesho Jumapili 14.4.2013, ndiyo tutajua mbivu na mbichi!
 
Kakobe muda si mrefu anafariki kwa shinikizo la damu sadaka zimepungua mpaka siku hizi Star TV hatumuoni

oke subiri mkuu Askofu kakobe ni Mtu mwingine ni zaidi ya bishop yupo on the way kwenda kuhubiri Canada is more than greater thinker.
 
Eti Kakobe amepoteza mvuto? No research, no right to speak! JIBU HILI HAPA: Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa: Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490; Jakaya Kikwete - 61,703; ITV Tanzania - 56, 413; Mwananchi Communications Ltd - 33,100; Habari Star TV Tanzania - 30,746; John Pombe Magufuli - 1,411; Edward Ngoyai Lowassa - 792. Huyo uliyemtaja hapa, zitafute LIKES zake, halafu ujipe jibu wewe mwenyewe!

Tembelea hapa ona like http://www.youtube.com/watch?v=K-_wtGc0PXE
 
Eti Kakobe amepoteza mvuto? No research, no right to speak! JIBU HILI HAPA: Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa: Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490; Jakaya Kikwete - 61,703; ITV Tanzania - 56, 413; Mwananchi Communications Ltd - 33,100; Habari Star TV Tanzania - 30,746; John Pombe Magufuli - 1,411; Edward Ngoyai Lowassa - 792. Huyo uliyemtaja hapa, zitafute LIKES zake, halafu ujipe jibu wewe mwenyewe!

Page yake ya facebook
http://www.facebook.com/bishopkakobeministries
 
Jamani inabidi tuambiane ukweli sasa maana siku ziko karibu ambapo kila mtu ataulizwa neema za Mungu kazitumiaje. Pia kuna neno la Mungu linasema; "Mungu Muumba hatawaadhibu watu mpaka alete Mjumbe wa kuwaonya". Sasa kimsingi Mungu alileta wajumbe wengi kulingana na wakati kwa mpangilio maalumu. Na wajumbe wote aliwatuma yeye kuanzia Adam, Nuh(Noa), Daudi (David), Suleiman(Solomon), Ibrahim(Abraham), Issa (Yesu/Jesus) Musa(Moses) na Mwisho Muhammad (Mohamed) na wengi zaidi ya laki kwa nyakati na maeneo tofautitofauti. Kwa mjumbe wa mwisho yaani Muhammad alitumwa kwa ajili ya walimwengu wote kama alivyosema Muumba, "Hatukumtuma Muhammad ila iwe rehema kwa walimwengu wote". Sasa jamani hebu tuachane na elimu mgando, tutafakari ikiwa tunahitaji kusalimika kutokana na hasira za Muumba wetu. Kama tunahitaji njia ya shetani kuelekea katika maangamizo basi sawa tufurahi kwa muda mfupi tu kisha cha moto tutakiona. Lakini kama kuna anayehitaji kupata radhi za Muumba basi wote tujisalimishe kwa kumfuata mjumbe wa mwisho ambaye anathibitisha vitabu vilivyotangulia yaani Taurati, Zaburi na Injili kupitia Qur'ani. Qur'ani imekamilisha neno la Mungu Muumba. HAPA MSIJE KUSEMA KUWA HAMKUAMBIWA AU KUONYWA. MUNGU NI SHAHIDI.
 
Mlioenda church vipi kakobe yupo?

Mkuu mm npo kanisani nasubiria kwa hamu na wewe njoo ujionee mwenyewe ujachelewa
Karibu sana mkuu na wote twachane na habari za kusikia jamani.
 
Wow' at last siku ya jumapili imefika leo tunakwenda kuthibitisha kuwa waandishi wa Tanzania asilimia
kubwa sasa ni makanjanja na leo tunathibitisha kuwa The citizen sawa na Kiu na yale ya Eric,tunasubiria
muda ufike tuone kama Kakobe leo yupo hapa kanisani au la.Stay tuned'
 
Eti Kakobe amepoteza mvuto? No research, no right to speak! JIBU HILI HAPA: Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa: Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490; Jakaya Kikwete - 61,703; ITV Tanzania - 56, 413; Mwananchi Communications Ltd - 33,100; Habari Star TV Tanzania - 30,746; John Pombe Magufuli - 1,411; Edward Ngoyai Lowassa - 792. Huyo uliyemtaja hapa, zitafute LIKES zake, halafu ujipe jibu wewe mwenyewe!

Yani kweli wewe ndo bumbuwazi..
 
Back
Top Bottom