The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

The Citizen You Can't Be Serious!! Nyie ni Gazeti Makini!!

Duuh.. Hivi masihi maana yake ci mpakwa mafuta wa Bwana..? so kakobe.. mwingira na mzee wa upako ni wapakwa mafuta wa Bwana..? Wanaishi maisha ya fahari hawa wapakwa mafuta.. wanamiliki magari na majumba ya fahari.. Mh..
Anyway back kwa topic.. kama hicho unachosema ni ukweli unaweza/mnaweza kupeleka malalimiko yenu kwa baraza la habari mkiwa na ushahidi uliojitosheleza.. Najua magazeti wakati mwingine wana tabia ya ku-pre empt habari ili mtokeze na kupinga.. njia ambayo sio nzuri..

Mkuu, kumbe maana ya masihi ndiyo hiy? Hivi masihi kwa kiingereza ina maana gani nataka nijisomee kidogo. Nadhani ESAM pia anaweza kutusaidia ufafanuzi kidogo. Mi nilidhani masihi ni yesu tu, at least hizo ndizo fikra zangu finyu zinapoishia!
 
Last edited by a moderator:
Naamini mkuu CYBERTEQ una uwezo wa kusoma na una uwezo wa kununua BIBLIA! Kama unaamini kama BIBLIA ni Neno la Mungu basi nakushauri usome BIBLIA kwaajili ya kujifunza na zaidi omba Roho Mtakatifu akufundishe na kukufunulia yale unayoyasoma katika Biblia ili uweze kupata ufahamu wa Neno ambalo ni Mungu mwenyewe. Ukipenda na kutamani sana kuongozwa na Roho Mtakatifu yeye ndiye atakayekuongoza wapi mahali sahihi kwa kwenda ambako hakuna mazingaombwa wala usanii ambako Roho wa Mungu ndiye anayetawala na kuongoza kinachofanyika hapo!

Roho Mtakatifu atakusaidia kupambanua uwongo na ukweli maana peke yako huwezi! Ni ngumu kwako kutofautisha Nabii wa Mungu na Nabii wa Uwongo lakini ukiongozwa na Roho wa Mungu atakusaidia ku-discern spirits!!

Nashukuru sana mkuu!
 
Hawa vijana ni wakusamehe maana hawajui walitendalo wala walisemalo, hawajui kama ulimi uanaumba, unaweza kuharibu pia wasamehe!!! Vijana wanatakiwa kumtafuta Mungu ili kuweka maisha yako kwa Bwn Yesu!!



Endeleeni tu kudanganyika. Wenzenu walioleta hayo mazingaombwe walishaacha kwenda makanisani. Mnazidi kuwachangia wenzenu waishi peponi hapa hapa duniani! Pole zenu!
 
Jamani kweli watanzania ni wavivu haijalishi wamesoma au hawajasoma, maana siku hizi mtu akimtilia wasiwasi mkewe kwa mtoto aliyemzaa anakwenda kutafuta uthibitisho kwenye vipimo vya DNA. sasa hiyo ya Kakobe haihitaji hata DNAtest,gharama yake ni kufika tu pale jumapili mchana wakati wa ibada na kumwangalie anayehubiri kama ndiye au siye. labda kama humfahamu. Mimi namfahamu, na nitafanya hivyo jumapili hii saa nane mchana anayetaka kuungana nami karibu. Nataka kuachana na kauli mbiu ya uvivu wa kufikiri na uvivu wa kutafiti.
 
Jamani kweli watanzania ni wavivu haijalishi wamesoma au hawajasoma, maana siku hizi mtu akimtilia wasiwasi mkewe kwa mtoto aliyemzaa anakwenda kutafuta uthibitisho kwenye vipimo vya DNA. sasa hiyo ya Kakobe haihitaji hata DNAtest,gharama yake ni kufika tu pale jumapili mchana wakati wa ibada na kumwangalie anayehubiri kama ndiye au siye. labda kama humfahamu. Mimi namfahamu, na nitafanya hivyo jumapili hii saa nane mchana anayetaka kuungana nami karibu. Nataka kuachana na kauli mbiu ya uvivu wa kufikiri na uvivu wa kutafiti.

Karibu sana mkuu na Mungu wetu mwema na akuongoze
 
Mkuu, kumbe maana ya masihi ndiyo hiy? Hivi masihi kwa kiingereza ina maana gani nataka nijisomee kidogo. Nadhani ESAM pia anaweza kutusaidia ufafanuzi kidogo. Mi nilidhani masihi ni yesu tu, at least hizo ndizo fikra zangu finyu zinapoishia!

Mkuu CYBERTEQ mpakwa mafuta ni mtu yeyote ambaye Mungu amemtenga maalumu na kumtuma ili aifanye kazi yake kama ilivyokuwa kwa Yesu soma Luka sura ya 4
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kumbe maana ya masihi ndiyo hiy? Hivi masihi kwa kiingereza ina maana gani nataka nijisomee kidogo. Nadhani ESAM pia anaweza kutusaidia ufafanuzi kidogo. Mi nilidhani masihi ni yesu tu, at least hizo ndizo fikra zangu finyu zinapoishia!

Mkuu hebu fuatilia link hii.. hapo chini nimedokoa kidogo.. Messiah - Holman Bible Dictionary - Dictionaries - StudyLight.org

(meh ssi' uh) Transliteration of Hebrew word meaning, "anointed one" that was translated into Greek as Christos . See Christ, Christology . Since apostolic times the name Christ has become the proper name of Jesus, the Person whom Christians recognize as the God-given Redeemer of Israel and the church's Lord. "Christ" or Messiah is therefore a name admirably suited to express both the church's link with Israel through the Old Testament and the faith that sees in Jesus Christ the worldwide scope of the salvation in Him.The Old Testament and Early Jewish Background "Anointed" carries several senses in the Old Testament. All have to do with installing a person in an office in a way that the person will be regarded as accredited by Yahweh, Israel's God. Even a pagan king such as Cyrus was qualified as the Lord's anointed (Isaiah 45:1 ) to execute a divinely appointed task. The usual application of the term anointed was to God's representatives within the covenant people. Prophets such as Elisha were set apart in this way (1 Kings 19:16 ). Israel probably saw a close link between the anointed persons and God's spirit though the link is specifically mentioned only occasionally (2 Kings 2:9 ). Israelite kings were particularly hailed as Yahweh's anointed compare ( Judges 9:8 ), beginning with Saul (1 Samuel 9-10 NIV) and especially referring to David (1Samuel 16:6, 1 Samuel 16:13 ; see 2 Samuel 2:4 ; 2 Samuel 5:3 ) and Solomon (1 Kings 1:39 ). The royal family of David as being the line of Israelite kings are mentioned by the title of the "anointed ones" (2 Samuel 22:51 ; compare 2 Kings 11:12 ; 2 Kings 23:30 ; Psalm 2:2 ;Psalm 20:6 ; Psalm 28:8 ; Psalm 84:9 ). The king in Israel thus became a sacred person to whom loyalty and respect were to be accorded (1Samuel 24:6,1 Samuel 24:10 ; 1Samuel 26:9,1Samuel 26:11,1Samuel 26:16,1 Samuel 26:23 ; 2Samuel 1:14,2 Samuel 1:16 ). The oracle spoken by Nathan (2 Samuel 7:12-16 ) is important since it centers the hope of Israel on the dynasty of David for succeeding generations.
 
Haya ndiyo matokeo ya kuajiri waandishi na wahariri design ya makanjanja!! No credibility at all. Sue them.
 
Haya ndiyo matokeo ya kuajiri waandishi na wahariri design ya makanjanja!! No credibility at all. Sue them.

Lakini wapo wengine makini jamaa aliyeandika hiyo habari sijui alikuwa anakimbilia wapi?
 
Lakini wapo wengine makini jamaa aliyeandika hiyo habari sijui alikuwa anakimbilia wapi?

Kweli nakubali wako wengi (investigative journalist and editors) ila wengi wao wako kibiashara kuuza heading za magazeti. Hii ni kutokana na kuwa hakuna sheria imara ya kubana habari potofu kama hivi. Ingekuea nchi za wenzetu makampuni wanalipa billions/millions kwa issues kama hivi. Kwetu bora liende.
 
Endeleeni tu kudanganyika. Wenzenu walioleta hayo mazingaombwe walishaacha kwenda makanisani. Mnazidi kuwachangia wenzenu waishi peponi hapa hapa duniani! Pole zenu!

Kimsingi anayedanganywa ni wewe maana hata hujui unachosema, poor you. Mungu akusamehe tu
 
Jamani kweli watanzania ni wavivu haijalishi wamesoma au hawajasoma, maana siku hizi mtu akimtilia wasiwasi mkewe kwa mtoto aliyemzaa anakwenda kutafuta uthibitisho kwenye vipimo vya DNA. sasa hiyo ya Kakobe haihitaji hata DNAtest,gharama yake ni kufika tu pale jumapili mchana wakati wa ibada na kumwangalie anayehubiri kama ndiye au siye. labda kama humfahamu. Mimi namfahamu, na nitafanya hivyo jumapili hii saa nane mchana anayetaka kuungana nami karibu. Nataka kuachana na kauli mbiu ya uvivu wa kufikiri na uvivu wa kutafiti.


You've made my day!!!!!
 
Mimi nadhani wakati mwingine siyo vizuri kuwa too emmotional for nothing. Kama gazeti, hakuna kosa kuuliza mahali alipo any public figure, Kakobe akiwa mmoja wapo. Si sahihi pia kuleta emotions zitokanazo na imani binafasi kwa mtu badala ya kuwa na ile imani ya ukweli kwa Mungu. Napata picha kuwa ndugu mleta uzi unamuamini sana Kakobe kuliko hata Mungu wako na ndio maana umejitahidi kuhakikisha kuwa unamponda Bwana Mkinga na huku ukituonyesha waJF kuwa unafahamu The Citizen ni gazeti makini sana likiwa na uongozi thabiti wa Managing Editor Bakari Machumu aliye chini ya Managing Director wa Mwananchi Communications Limited, Tido Mhando. Sidhani kama emotions zako zinaweza kuondoa umakini wa gazeti mbele za wanaJF haswa wale wenye msimamo wa kumwamini Mungu aliyehai kuliko kumwamini mtu.

Mleta uzi unapaswa kukumbuka kuwa Kakobe ni binadamu kama wewe na kuwa naye yuko kama wengine wote so kumuamini kama yeye ni mtu asiye wakaida kunaweza kuathiri uwezo wako wakufikiri kwa kiasi kikubwa. Wote tunatambua kuwa Kakobe huyu huyu anakesi mahakamani akidaiwa na wale ambao katika kanisa lake mumewapa majina ya 'Wabaya wake' eti kwasababu wamehoji matumizi ya Kanisa mahakamani. Wote twajua kuwa kule mahakamani wale 'Wabaya Wake' wameambiwa kesi hiyo itawasumbuwa kwasababu eti kanisa limesajiriwa kama mali yake huyu Baba Yenu Askofu Kakobe (Kumbuka Yesu alikataa watumishi wake kuitwa Baba - Mathayo 23:1 mpaka mwisho) na hivyo kama ni kweli ametumia vibaya zile TSH14bilini basi ametumia pesa zitokanazo na his own investment. Je, huu ndio utukufu unataka kutuonyesha kuwa yeye hana dhambi? Na hata hiyo habari ya umeme wa Tanesco, ikumbukwe kuwa aliwahi kutuambia Watanzania kuwa ule umeme usingewaka baada ya Tanesco kulazimisha upite mbele ya kanisa lake. Mbona unawaka? Ni ule unabii wa kuwa Mrema angekua Rais wa Tanzania mwaka 1995, mbona haikuwa na sisi tunabaki kujifanya hatutaki kuona, kusikia wala kuambiwa kuwa mwaminini Mungu na siyo binadamu.

Kama unachosema wewe ni kweli, basi mpeleke Bwana Mkinga, Bakari Machumu au Tido Mhando kwa Kakobe. Kama kweli yupo nchini, basi aje kwenye ofisi za Mwananchi ili approve the newspaper wrong. Tuache propaganda ndugu zangu. Kama hayupo ni kweli hayupo. Binafsi nawapa hongera sana The Citizen kwani wangekuwa unprofessional, wangeweza hata kuandika mengine mengi ya mitaani yamhusuyo Kakobe. Wewe mwenyewe jiulize tu: Je, idadi ya wale tuliokuwa tukisali pale bado iko pale pale au wengine wameweza kupata kuokolewa na Mungu sasa amezifungua akili zao mpaka wamepata kuanza kufikri vizuri tena? Angalia idadi na utuletee uzi mwingine kwani ni dhahiri idadi imepungua sana na mumebaki wachache mnaod=subiri Mungu aje awaokoe kutokana na kifungo cha kutokusikia, kuona wala kutaka kuambiwa.


Ndugu wanaJF,

Nimesikitishwa na kushangazwa na habari iliyochapishwa na kupewa uzito mkubwa sana (lead story) na gazeti la The Citizen toleo la jumapili tarehe 07-04-2013 iliyo na kichwa kifuatacho:
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]"Where on earth is Kakobe? Local church anxious as ‘healer’ bishop skips town".
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Katika habari hiyo mwandishi wake Bwana Mkinga Mkinga alidai kwamba Askofu Kakobe hajaonekana katika miezi sita iliyopita na kwamba kwa mara ya mwisho kuonekana kanisani Mwenge ilikuwa mwezi Januari mwaka huu. Na kwamba sasa hivi yuko Marekani ndiko alikohamia. Pamoja na madai mengine ya kuzushi mwandishi huyo ambaye kwa kweli ninao ujasiri wa naweza kumwita 'uchwara' anadai kuhudhuria ibada ya Pasaka tar 31-03-2013 na kukuta ikiongozwa na aliyemtaja kama Mchungaji Hezron (jina ambalo sijawahi hata kulisikia). Kwa FGBF Dar es Salaam tunaye mchungaji mmoja tu ambaye ni Mchungaji Zakaria Kabobe.

WanaJF kwa ufupi na watu wengine wapenda ukweli habari hizi ni za uzushi na uongo mtupu, na mimi kama mshirika wa kanisa la FGBF Dar es Salaam nasema hivi tangu Jumapili ya Agosti 15, mwaka 2010 alipokuwa Zambia kwa ajili kazi ya Mungu hatujawahi kumkosa kwenye ibada yoyote ya Jumapili. Kwa mfano, jumapili ya Pasaka tulikuwa na baba yetu Askofu Kakobe kama ilivyokuwa jumapili zote zilizotangulia.

Nilikuwa naliheshimu sana gazeti la The Citizen lakini kwa habari hii naanza kutilia shaka umakini wao. Natoa wito kwa Mtendaji Mkuu wa MCL Mzee Tido Mhando, Mhariri wake Mkuu Bwana Machumu na hata mwandishi wa habari hiyo ya kizushi Bwana Mkinga wawe makini vinginevyo wataliharibu gazeti. Nawasilisha

Kwa habari hiyo ya kizushi fuata link hii: http://Where on earth is Kakobe? Local church anxious as ‘healer’ bishop skips town
 
Mimi nimebaki kimya tu.
Lakini kukata mzizi wa Fitna, ingepasa kwa Kakobe kujitokeza hadharani mbele ya waandishi wa habari siku ile ile habari hii ilipotoka(Hata sasa anaweza kujitokeza hadharani) na kukanusha habari hizi kama kweli ni uzushi.

Sidhani kama hili linashindikana Kama kweli Kakobe yupo Tanzania, kwa sababu Kakobe ameshawahi kujitokeza mara kadhaa huko nyuma na kuongea na waandishi wa habari.
Vinginevyo kuna kitu bado kinajifichaficha....
 
Caroline kama wewe ni mkristu jitahidi kusoma Biblia na tafuta kutengeneza uhusiano wako wewe na Mungu,kama kuna mtu anafanya mazingaombwe muache analo la kujibu mbele za Mungu siku ya mwisho! Usiwe busy na kuangalia nani anafanya mazingaombwe na nani hafanyi maana huo uwezo hauna bali yeye aliyeumba mbingu na nchi na vitu vyote vilivyomo anajua nani ni Mtumishi wake na nani ni mtumishi wa miungu mingine! Kazi yako wewe Caroline si kuhukumu bali mwenye jukumu hilo ni Mungu mwenyewe!! Utajisikiaje mbele za Mungu ukiona huyo uliyefikiri anafanya mazingaombwe kumbe ndiye aliyekuwa mtumwa wa Bwana na alikuwa anafanya yale aliyotumwa kufanya na Mungu mwenyewe???

Kinyamana, ukweli unao, ninachokiona kwako ni kujipa moyo. Nilikuwa napindisha sentensi sasa wacha ninyooshe. Kakobe si lolote na mbele ya Mungu ana ya kujibu. Mifano hai ninayo kama hii ligi unaitaka niko tayari. Hakuna aliyemuhukumu, magtendo yake yanaonyesha kwamba siyo.
 
Mimi nimebaki kimya tu.
Lakini kukata mzizi wa Fitna, ingepasa kwa Kakobe kujitokeza hadharani mbele ya waandishi wa habari siku ile ile habari hii ilipotoka(Hata sasa anaweza kujitokeza hadharani) na kukanusha uzushi huu.

Sidhani kama hili linashindikana kwa sababu Kakobe ameshawahi kujitokeza mara kadhaa huko nyuma na kuongea na waandishi wa habari.

TANU hakuna uzushi, kakimbia madeni, na kaishaokota sadaka za waumini wake sasa anatanua! God forbide!
 
You've made my day!!!!!

Hahaha hata waumini wake wanapumua maana GOLD zao walau zimetulia vifuani na masikioni mwao, wa kuvaa vilemba kama wadoezi wa ubwabwa nao walau nywele zinaonekana sasa na kushine! shit! mxxxiiiiiii
 
Umeisoma kweli stori yenyewe au na wewe ni wale viuongozi vipofu wanaoongoza vipofu (Mathayo 15:13-14)? Binafsi nimeisona stori na nimeridhika Kakobe hayupo nchini na pale wanaweka mikanda. Kuna shida gani na report kama hiyo? Mtundu kisu, the citizen wameact very professional. Soma stori yao utaona ukweli na kama yupo, hawezi kujitokezea kupitia JF. Nakwambia ukweli kwani hayo unayoyasema yapu ndani ya stori kuwa akina Esam na wengine wanaomuamini hawako tayari kusema ingawa ukweli ndio huo.


i also wondered..the citizen wameact so unprofessional
 
Jamani kweli watanzania ni wavivu haijalishi wamesoma au hawajasoma, maana siku hizi mtu akimtilia wasiwasi mkewe kwa mtoto aliyemzaa anakwenda kutafuta uthibitisho kwenye vipimo vya DNA. sasa hiyo ya Kakobe haihitaji hata DNAtest,gharama yake ni kufika tu pale jumapili mchana wakati wa ibada na kumwangalie anayehubiri kama ndiye au siye. labda kama humfahamu. Mimi namfahamu, na nitafanya hivyo jumapili hii saa nane mchana anayetaka kuungana nami karibu. Nataka kuachana na kauli mbiu ya uvivu wa kufikiri na uvivu wa kutafiti.

Naona waumini wake mmechachamaa kweli...
 
Back
Top Bottom