Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,183
- 28,877
Ndio maana tunasema watanzania ni wepesi kuropoka na wavivu wa kutafakari na kutafiti vitu na hii ndio sifa inayotufanya nchi zingine zipige hatua kimaendeleo kila siku wakati sis tupo pale pale kwa sababu sisi tumekaa kueneza majungu tu, mtumishi wa Mungu ambaye unasema amepoteza mvuto anapata mialiko ya kwenda kuhubiri mahali kama Toronto, Canada atakapohubiri June hii na waimbaji maarufu duniani kama Don moen na krystaal, angalia hapa https://bishopzacharykakobe.org/en/events/upcoming-events
Akisafiri kwenda katika mikutano ya injili anapokelewa kama Rais, Bishop Zachary Kakobe Grand Welcome in Zambia - YouTube ,
Revival in Burundi with Bishop Zachary Kakobe Pt 1/6 - YouTube, Bishop Kakobe statesman-like welcome in various nations - YouTube.
na mpaka wa marais wa nchi wanahudhuria mahubiri yake kama ilivyokuwa Burundi ambako Rais Pierre Nkurunziza alihudhuria katika moja ya mahubiri ya Askofu Kakobe alipofanya ziara ya mikutano ya injili, Revival in Burundi with Bishop Zachary Kakobe Pt 2/6 - YouTube ,Bishop Zachary Kakobe meets Former President of Zambia - YouTube, Bp. Kakobe meets DRC Provincial Governor Moise Katumbi - YouTube
Lakini kubwa zaidi maelfu ya watu wanahuduhuria mikutano hii injili wanasikia neno la Mungu la kuwaongoza kuishi maisha ya usafi na utakatifu mbali na dhambi na maelfu wanaokoka na kuwa mbali na dhambi na kuwa na nafasi ya kwenda mbinguni. achilia wale wanaoponywa na mahangaiko ya kila namna, angalia hapa Gentiles obey the Gospel by deed in Bp. Kakobe Crusades - YouTube , Bishop Kakobe's unprecedented Crusade in Lubumbashi-DRC - YouTube. Bishop Zachary Kakobe's unprecedented Crusade in Zambia - YouTube.
Kama ungekuwa umefanya utafiti kidogo tu wa kuangalia hizi video na kutenga hata jumapili moja ukaenda kanisani Mwenge, usingesema amepoteza mvuto.Kama amepoteza mvuto atakuwa amepoteza mvuto kwako wewe mwenye roho ya mpinga Kristo na wengine kama wewe wasiopenda Jina kuu kuliko majina yote la YESU KRISTO lihubiriwe na Askofu Kakobe na wote wanaopenda kudakia maneno ya mitaani bila kufanya utafiti wowote na kujua ukweli ni upi na uongo ni upi. No research no right to speak.kama una roho wa Mungu, muhubiri yeyote anayehubiri habari njema za injili ili watu waache dhambi ungemuunga mkono badala ya kueneza majungu juu yake.
Mbona povu limekutoka hivi..Naona waumini wake mmechachamaa...