Dunaruma
Screenshot_20180719-163804.jpg
 
Mechi za kirafiki
Mabingwa watetezi wa ligi ya Uingereza Manchester City wataelekea nchini Marekani kwa ziara ya ambayo itashirikisha mechi za kirafiki dhidi ya wapinzani wao wa Uingereza Chelsea na Liverpool.
Klabu hizo tatu zitaungana na klabu za Manchester United, Arsenal na Tottenham katika mchunao huo wa mabingwa wa kombe la kimataifa
Shindano hilo la kila mwaka pia litashirikisha mabingwa wa Uhispania, Itali, Ufaransa na Ujerumani -Bercelona, Juventus, PSG na Bayern Munich - pamoja na Benfica na Atletico Madrid.

Southampton ilikuwa timu ya kwanza ya ligi ya Uingereza kucheza mechi za kirafiki baada ya kutoka sare ya 3-3 dhidi ya klabu ya ligi ya Bundesliga Schalke nchini Ujerumani kabla ya kuelekea nchini China kwa ziara ambayo ilikamilika na ushindi wa 3-2 dhidi ya klabu ya Jiangsu Suning.

Mechi za kirafiki kabla ya msimu wa ligi ya Premier kuanza:

Chelsea

23 Julai: Perth Glory v Chelsea (Optus Stadium, Perth)

28 Julai: Chelsea v Inter Milan (Allianz Riviera Stadium, Nice)

1 Agosti: Arsenal v Chelsea (Aviva Stadium, Dublin)

5 Agosti: Chelsea v Manchester City - FA Community Shield (Wembley)

7 Agosti: Chelsea v Lyon (Stamford Bridge
 
Fabregas on Hazard: “I won’t lie, I speak to him often.

“He is the best player at the club and we need a Chelsea to keep the best players.

“He knows the fans love him and a player we love to play with.

“For sure, we want him to stay.”

[HASHTAG]#CFC[/HASHTAG] (football-London)
 
Cesc Fabregas adds that Sarri’s way of playing football is what he grew up with and is a style he believes in. [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG] (football-london)
 
Fabregas: “I’ve been playing for 15 years and when you have a new manager you need to show that you want to play. It’s an exciting time, we start from zero and want to win things.” [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG] (football-london)
 
Pep on Jorginho: "If he wants to go to Chelsea, it would have been a mistake for him to come here. If he decided to go to Chelsea for the reasons he might explain, all the best for him."
 
World cup imemsaidia atletico madrid wanataka kuunganisha ile kemia ya jirudi (giroud )aende huko ili griezman.azidi kufanya yake je mtamruhusu?
 
Back
Top Bottom