Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,102
Iwapo Diego Katika Michezo 10 anafunga Magoli 7 na assists 5 na Mwenziwe Moratta Kwenye Michezo 20 anafunga goli 7 na Assist 1 Je Hapo Red Card ya Dieogo inashida Gani?
Iwapo Diego Katika Michezo 10 anafunga Magoli 7 na assists 5 na Mwenziwe Moratta Kwenye Michezo 20 anafunga goli 7 na Assist 1 Je Hapo Red Card ya Dieogo inashida Gani?
Sanchez keshakuacha wewe.. Huna mvuto
Hakucheza rafu ww.....,unajua alipewa red card kwa kosa gani ww???Diego Costa 3 appearance in ATM
2 goals
1 assist
1 red card
Rafu na nidhamu mbaya ndio shida ya Diego na ndicho kilichomshinda darajani
Stats zako haziko sawa
20 appearance 6 redcards
Ikitokea golini =goal
Pia one player less
Shida ya Morata sio ya kwake peke yake
Center forward kama Fab wa 2014 hayuko Chelsea kwa sasa
Wakati costa yeye alifaidi good form ya Fab 2014
Si anawaleteeni Andy Carroll auHivi antonio conte hajui kama tunahitaji striker kwenye huu usajili?
Ye anahangaika na mabeki tu
Si anawaleteeni Andy Carroll au
Kweli mkuu ujue hata mimi najiuliza sipati majibu unajua timu yetu kwa sasa ipo vizuri hapa kati na nyuma lakini ukiangalia pale mbele kwakweli tunafeli sana maana hata ukiangalia kwenye msimamo ktk zile timu 4 za juu timu yetu imeruhusu magoli machache sana na hii inadhihirisha devence yetu ipo vizuri na pia tumeshinda magoli machache tofauti na wenzetu na hii inaonyesha ubovu ktk safu yetu ya ushambuliaji nadhani kocha kama kocha akae na menejment waangalie namna ya kusajili walau hata washambuliaji wawili ili kuleta changamoto pale mbele na nadhani ata huyu andy carrol angeweza kutusaidia kwa sasa huku tukifanya mipango kwa ajili ya dirisha kubwa..Hivi antonio conte hajui kama tunahitaji striker kwenye huu usajili?
Ye anahangaika na mabeki tu
Sitaki kulisikia hilo jina maana huku ni kuishiwa ni bora amchukue aubameyang lakini sio karolSi anawaleteeni Andy Carroll au
yaan kuna kituko cha karne kinataka kutokea ....naona kama kuna ujinga unataka kufanywa yaani wauze Batshway aka batman kwenda Dortmund baada ya Dortmund kama itamuuza Pierre Emerick-Aubameyang kwenda Arsenal endapo Sanchez atamalizana na man u alafu chelsea imchukue Andy Carroll....Na Ndiyo Kwanza Wanamtaka Andy Carroll
Hizi taarifa mkuu lyon mi naomba ziendelee kuwa tetesi na sio halisiyaan kuna kituko cha karne kinataka kutokea ....naona kama kuna ujinga unataka kufanywa yaani wauze Batshway aka batman kwenda Dortmund baada ya Dortmund kama itamuuza Pierre Emerick-Aubameyang kwenda Arsenal endapo Sanchez atamalizana na man u alafu chelsea imchukue Andy Carroll....
View attachment 677743
Kipigo kama kawa....
Hiyo 5-1 na liva ni matokeo yako hayo..
Mkuu kwani Conte anahusika na usajiri?Hizi taarifa mkuu lyon mi naomba ziendelee kuwa tetesi na sio halisi
Karol sio daraja la chelsea
Nenda kwenye team yoyote chukua mshambuliaji lakini sio karol
Najiuliza hii ni akili ya conte au ni vipi
Watumie pesa yupo belote wa torino
6-0 utakuja kulipa lini.?Hiyo 5-1 na liva ni matokeo yako hayo..
Na 8-2 bado alikuwa man u...
Hivyo tulia na domo lako ww....