Hongera sana The Boss!
Mbu, Mbu pole sana lakini mimi ninakukubali jaribu next time,
Hongera mkuu The Boss
Nyinyi wadada ingependeza zaidi kama mngempa hongera king ze boss through PM. au hamjui maana ya king?
Mimi ningepata hiki cheo leo jeuri yangu ningechagua PM za kujibu, halaf PM yako ukikosea spelling tu naichunia. Kulalekihe he he, kloro umejuaje?
Pm inakuwa bize kama grid ya taifa
Mimi ningepata hiki cheo leo jeuri yangu ningechagua PM za kujibu, halaf PM yako ukikosea spelling tu naichunia. Kulaleki
Hehehe, kisa elfu 50 au? Mie niliemchagua kakosa ndio namalizia kulia hapa!Nyinyi wadada ingependeza zaidi kama mngempa hongera king ze boss through PM. au hamjui maana ya king?
Hahaha! Lawyer huishiwi vituko?.. Mwakani gombea, ntakusaidia kufanya kampeni!Mimi ningepata hiki cheo leo jeuri yangu ningechagua PM za kujibu, halaf PM yako ukikosea spelling tu naichunia. Kulaleki
Halaf mbona nitonye haonekani? au yule jirani yake anaemuazima laptop kuingilia JF kahama kitaa?Hahaha! Lawyer huishiwi vituko?.. Mwakani gombea, ntakusaidia kufanya kampeni!
Inahuuu?Halaf mbona nitonye haonekani? au yule jirani yake anaemuazima laptop kuingilia JF kahama kitaa?
Hahaha! Lawyer huishiwi vituko?.. Mwakani gombea, ntakusaidia kufanya kampeni!
Hongera kwa mfalme Boss. Kiukweli hapa nlitatizika kupiga kura. Japo umeshinda ila kiukweli Mbu ni mashine nyingine hatari. Tafazali umpe kagawio kiduchu lol