Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Hongera Boss. . . Mfalme wa MMU.
Lizzy!!!!!!!
Hongera Boss. . . Mfalme wa MMU.
Lizzy!!!!!!!
Mbu. . Nilikua nimepanga kukupongeza na wewe ila nikasahau, sijui ni haraka. . . !!!?
Nwy hongera MBU kwakua na wewe unastahili sana kuwa mfalme wa hili jukwaa. . .sijawahi kukosa la kujifunza kwenye post na thread zako. Ufalme unakufaa. . Na ufalme umeukwaa!!
Hongera sana wewe na Boss wako hapo juu. . .Lolz.
Hivi Michelle yuko wapi jamani!
Wageni watapokelewa na nani, maana hii sherehe ya bila hata kadi kazi kweli kweli.
Na vile vipwa(jakline na neema) sijui viko wapi vimenye hata vitunguu swaumu.
Hongera The Boss!
Angalizo: kalipe zile 20, 000 za ADI, unaaibisha bana.
pilau lishaiva muda mrefu
hiyo elfu hamsini nisipopata hata Yolanda au simla au wax ya Tz, nafwaa!
....missed you!!!! Ulifichwa? ....welcome back!!!!!
It feels good to be missed. . .missed you too.
Hehehehehe nifichwe kwani siwezi kujificha?
Si mwambie tu lawyer alikuficha, kaaibu ka nini bana, nitacancel uchumba ujue?It feels good to be missed. . .missed you too.
Hehehehehe nifichwe kwani siwezi kujificha?
...mnnnnhh, ile gear uliyoondokea...nilijua "ndege mjanja kanaswa!"....he he he...
missed you kweli bana, welcome back 'kundini!'
Si mwambie tu lawyer alikuficha, kaaibu ka nini bana, nitacancel uchumba ujue?
hehehe BTW hongera sana queen wangu (wewe sio queen wa mmu nzima bana), usinisahau kwenye ka mgao ka elfu hamsini angalau na mimi nipate ka hela ka kununua boxer jipya rangi ya udongo.Hahahah. . .Lawyer unataka wale walioniahidi vigari na vinyumba wa-Cancel offer? Embu tulia bana!!
hehehe BTW hongera sana queen wangu (wewe sio queen wa mmu nzima bana), usinisahau kwenye ka mgao ka elfu hamsini angalau na mimi nipate ka hela ka kununua boxer jipya rangi ya udongo.
Halaf unajua nimekumiss sana, kuna taim nilikuwa naquote posts za MJ1 halaf namwita Lizzy kwa kukumiss. Kupenda marazi jamaniThat's more like it. . Sio unaanzisha varangati wakati kodi inakaribia kuisha.Lolz
Hehehehehe sasa weweeeee (Mfalme wangu) unataka ya udongo udongo wakati udongo wa kwetu mweusi? Ntakununulia nyeusi bana.
Halaf unajua nimekumiss sana, kuna taim nilikuwa naquote posts za MJ1 halaf namwita Lizzy kwa kukumiss. Kupenda marazi jamani
Nilihofia dingi asije akaifuma halaf pakalipuka. Halaf kuna sredi nikaona umelilembea maksudi kwa rais wa wabeba maboksi nikajua mimi ndio nimemwagwa tu. Inauma sana aiseeHhhmm huna lolote.
Kwanini sasa hukuniandikia barua wakati S.L.P langu unalo?
Nilihofia dingi asije akaifuma halaf pakalipuka. Halaf kuna sredi nikaona umelilembea maksudi kwa rais wa wabeba maboksi nikajua mimi ndio nimemwagwa tu. Inauma sana aisee