Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Asante sana mkuu
Wana wivu mpaka wanakera.Hawataki kumpa jamaa heshima anayostahili,mara anatafsiri mara plajializimu.Wivu mtupu!
Wakati wa kuanza wengi watakupa moyo.Ila ukifanikiwa wanakugeuka na maneno juu.Waswahili ni viumbe wa kutowaamini kabisaShida ilianzia baada ya bwana huyu na ontario kupiga pesa kwenye forex wakaonekana ni vijana matapeli halafu wanataka kuwapiga watu na kumbe kuna pesa za kimya kimya.waswahili wivu.
Niwaonee wivu kwa lipi hasa? Kati yao sijaona aiseee. Anayefikili yupo vizuri kati yao hao jamaa anitafute PM kesho tuone ATM zinasomaje kati yangu na wao. Wala siyo wivu ni ushauri tu.Wapo watakao kuamini na wapo watakao sema unamuonea wivu.....
Anyways........
Uzoefu unaonyesha kwamba hawa wenye ma-group huwa hawapendi kukosolewa na hata kuna mmoja yule wa Milion Team pia alikua akituhumiwa humu kwa kuwa remove wale wote waliokua wakimkosoa.
Lakini kwa upande mmoja ama mwingine inawezekana ikawa ni wivu wa hasa vijana wasio penda kuona wenye rika Lao wakiwapita kwa mafanikio.
Anyway.......
Huu ni mtazamo wangu binafsi, na hasa umetokana na malalamiko kadhaa ambayo yamekuwa yakiwekwa humu jf kuwahusisha wahusika, wateja na wahanga.
Hata Data za mshana JR zinaweza kaa humo maana mambo yake ya uchawi yanaweza kaa kwenye saver kweli![]()

Wapo watakao kuamini na wapo watakao sema unamuonea wivu.....
Anyways........
Uzoefu unaonyesha kwamba hawa wenye ma-group huwa hawapendi kukosolewa na hata kuna mmoja yule wa Milion Team pia alikua akituhumiwa humu kwa kuwa remove wale wote waliokua wakimkosoa.
Lakini kwa upande mmoja ama mwingine inawezekana ikawa ni wivu wa hasa vijana wasio penda kuona wenye rika Lao wakiwapita kwa mafanikio.
Anyway.......
Huu ni mtazamo wangu binafsi, na hasa umetokana na malalamiko kadhaa ambayo yamekuwa yakiwekwa humu jf kuwahusisha wahusika, wateja na wahanga.
Sawa mkuu....Dogo wa millions team sio wivu mbona ushahidi wote uliletwa hapa
Mkuu, watu wenye IQ ndogo km hawa Ungekuwa unawapotezea tu, kujibizana nao ni km kuwapa kichwa, endelea kutupa elimu adhimu mkuu!Unatakiwa kuwa na imani na Mungu wako pekee. Sihitaji uwe na imani na mimi...
Nahitaji usome nilichoandika basi!! Na mpaka umecomment hapa maana yake umesoma na roho yangu imeridhika...
Karibu.
Duuh!!........Watu mnalipia kuwa member wa group za wasap?
kwani the bold huyo jamaa kakosea wapi, najua hujatoa kichwani broo kunasehemu umetoa ili nasisi tunufaike! mimi nimmoja wapo kati ya watu wanaopenda story zako bt najua you get it from somewhere! najua wewe ni mtu wa mitandao na unaipata vizuri Qura.com mbona wenzetu hadi picha watasema ni kwa hisani ya Google na hawajapungukiwa kitu kaka! peace.Na kila thread ya bold yupo hahahaha
Hapa chini ya jua... mwanadamu dhaifu zaidi na mwenye kutia huruma ni yule aliyejawa chuki na wivu.
Unawaangalia and you just feel sorry for them.
Wakati wa kuanza wengi watakupa moyo.Ila ukifanikiwa wanakugeuka na maneno juu.Waswahili ni viumbe wa kutowaamini kabisa
Wana wivu mpaka wanakera.Hawataki kumpa jamaa heshima anayostahili,mara anatafsiri mara plajializimu.Wivu mtupu!
Vipi mkuu unavizia Usekretari wa pale Jangid Plaza kama Binti Cheupe ?.…....Maana sio kwa kuhangaika huko kujikomba kwa mwanaume mwenzakoKuna watu wana wivu humu ndani....