Jestkilla
JF-Expert Member
- Apr 23, 2014
- 2,999
- 3,961
Vipi mkuu unavizia Usekretari wa pale Jangid Plaza kama Binti Cheupe ?.…....Maana sio kwa kuhangaika huko kujikomba kwa mwanaume mwenzako
Watu wamwonee wivu wa nini ? Acheni mawazo ya kiboya
Mtu kukosolewa humu Jf Ni kawaida tu
Punguzeni mdomo basi kama wewe kitendo cha kuandika hiv unaonekana umepaniki

