smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,408
- 2,844
Asante japokua nilishasoma kwenye group lako ambalo watu wanalipia kiingilio Tsh 5000 na unaweka story tatu kwa mwezi mzima na buku tano inaishia hapo na bado vipolo kibao. Ukiambiwa unakua mkali na unakimbilia ku remove watu wanaokweleza ukweli. Plz Jirekebishe.
Cc: Habibu B. Anga.

