The Bold Bulletins

The Bold Bulletins

Asante japokua nilishasoma kwenye group lako ambalo watu wanalipia kiingilio Tsh 5000 na unaweka story tatu kwa mwezi mzima na buku tano inaishia hapo na bado vipolo kibao. Ukiambiwa unakua mkali na unakimbilia ku remove watu wanaokweleza ukweli. Plz Jirekebishe.
Cc: Habibu B. Anga.
 
Mzee wa alosto,tangu utuache njiani na hadithi zako nilipoteza imani nawewe mazima
 
Unataka uwe na imani na mimi ili iweje mkuu?? Kuwa na imani ma Mungu wako tu.. hilo ndilo wapaswa kufanya.

Imeandikwa,

"amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.."

Wekeza imani yako kwa Mungu wako.
Mzee wa alosto,tangu utuache njiani na hadithi zako nilipoteza imani nawewe mazima
 
Huku kwetu ndio tunajiandaa na kutengenezewa kiwanda cha nyuklia kwa uzalishaji
 
Back
Top Bottom