The Bold Bulletins

The Bold Bulletins

Mkuu tangu ile kashfa ya wewe kuhongwa pesa na ONTARIO ili uipaishe forex nimekuwa sina imani na wewe.
Unatakiwa kuwa na imani na Mungu wako pekee. Sihitaji uwe na imani na mimi...
Nahitaji usome nilichoandika basi!! Na mpaka umecomment hapa maana yake umesoma na roho yangu imeridhika...

Karibu.
 
Asante japokua nilishasoma kwenye group lako ambalo watu wanalipia kiingilio Tsh 5000 na unaweka story tatu kwa mwezi mzima na buku tano inaishia hapo na bado vipolo kibao. Ukiambiwa unakua mkali na unakimbilia ku remove watu wanaokweleza ukweli. Plz Jirekebishe.
Cc: Habibu B. Anga.
hahaaa Vyuma vimekaza naona mvuvi karudi tena kuwavua samaki wake ..na kwa mtego wa hizi nyavu ..lazima tuwavue dadeq
 
Asante japokua nilishasoma kwenye group lako ambalo watu wanalipia kiingilio Tsh 5000 na unaweka story tatu kwa mwezi mzima na buku tano inaishia hapo na bado vipolo kibao. Ukiambiwa unakua mkali na unakimbilia ku remove watu wanaokweleza ukweli. Plz Jirekebishe.
Cc: Habibu B. Anga.
Ze Buroka Na Opochuniti!!!
 
Asante japokua nilishasoma kwenye group lako ambalo watu wanalipia kiingilio Tsh 5000 na unaweka story tatu kwa mwezi mzima na buku tano inaishia hapo na bado vipolo kibao. Ukiambiwa unakua mkali na unakimbilia ku remove watu wanaokweleza ukweli. Plz Jirekebishe.
Cc: Habibu B. Anga.

Hizi ungeenda kulalamika huko wasap sio hapa na huko grup hukulazimishwa kuingia ulitoa ela mwenyewe ukalipa kwahyo angalia maisha yako.
 
Back
Top Bottom