The best pick up line?

Masaki (Today), unapenda mambo kama hayo!

Nani anapenda shida bana? Na mwaliko wa ''a cup of coffee'' ni lazima utakuwa kwenye sehemu za baridi, sio za joto kama Dar! Na unajua tena sehemu zenye baridi jinsi ngono zembe inavyonoga! :)
 
Nani anapenda shida bana? Na mwaliko wa ''a cup of coffee'' ni lazima utakuwa kwenye sehemu za baridi, sio za joto kama Dar! Na unajua tena sehemu zenye baridi jinsi ngono zembe inavyonoga! :)

aaaah mbona tena chombo kinaenda mrama...!!!



Mkuu hawa wa siku hizi wala mambo ya line hakuna tena...mbona kwa macho tu kimeeleweka?

hivi wa siku hiz ni wa kina nani hasa wewe B???
 
kwa daresalaaam. msichana mwambie nimewahi kukuona benki....
sijui kwa nini but huwa hii tricky inafanikiwa siku zote...
 
B si unaona am not alone kwenye hili....na Masaki nimemwelewa sana tu B..huamini B wa ukweli? wapo sema kwa wewe huwezi kuwajua!

ndo unifahamishe ati!!!! au unataka nimtafute B wa ukweli mwingine basi anifafanulie zaidi.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom