Oh baby...you are the needle in a haystack that I've been looking for my entire life
Mimi mwenzenu domo langu zito, kwa hiyo sina hata hizo ''best pick up lines''...........!!!
including a lot of benefits
Mkuu hawa wa siku hizi wala mambo ya line hakuna tena...mbona kwa macho tu kimeeleweka?
Nani anapenda shida bana? Na mwaliko wa ''a cup of coffee'' ni lazima utakuwa kwenye sehemu za baridi, sio za joto kama Dar! Na unajua tena sehemu zenye baridi jinsi ngono zembe inavyonoga!
Mkuu hawa wa siku hizi wala mambo ya line hakuna tena...mbona kwa macho tu kimeeleweka?
Au kule usukumani zipo zile za ''dada limoyo langu limekudodokea''.....
That's true mkuu!!Mkuu hawa wa siku hizi wala mambo ya line hakuna tena...mbona kwa macho tu kimeeleweka?
That's true mkuu!!
aaaah mbona tena chombo kinaenda mrama...!!!
Ooops! Nilipitiwa, kumbe tuko kwenye kipindi cha kweresima! Sore binamu, kiibodi hapo iliteleza!!!
hivi wa siku hiz ni wa kina nani hasa wewe B???
ha ha ha hasira z nn bibie si hawa hawa waliopo katika miaka hii!!na wewe msaidie kujibu swali langu maana nina hasira na binamu yangu ujue!!!
serengi boys au..........mbona unagugumia sema wazi wazi banaha ha ha hasira z nn bibie si hawa hawa waliopo katika miaka hii!!
kwenye chagulaga mayu ndo mnawadanganya vibinti vya wenyewe........
hivi wa siku hiz ni wa kina nani hasa wewe B???
That's true mkuu!!
actually natafuta nipate nafasi kushuhudia hiyo ngoma nasikia moto wa kuotea mbali!
B si unaona am not alone kwenye hili....na Masaki nimemwelewa sana tu B..huamini B wa ukweli? wapo sema kwa wewe huwezi kuwajua!
Kizazi cha dot.com, not all of them but mostly....even here where I am!!serengi boys au..........mbona unagugumia sema wazi wazi bana
actually natafuta nipate nafasi kushuhudia hiyo ngoma nasikia moto wa kuotea mbali!
Tafuta likizo mkuu nikupeleke kwenye chakulaga!!