The best pick up line?

Kwa jinsi ulivyokolea naweza kumpiku mhudumiaji?

lazima utoke mijicho kama mjusi aliyebanwa na mlango.:confused:

hahaaaaa wa kunyumba kimya kingi kina mshindo huh!!!!

sasa kama muhudumiaji is your ownself hapo inakuwaje??
 
my bestlady kitchen party kwangu sio applicable am sorry to say so.....mi najifunza kila siku, ile ya siku moja pale mbele ya wamama it wont do me any good!!! afu pia sitaki zile sahani za chinaware wanazoletaga bana aaaah!!!

asante sana bestlady swali la nyongeza utalikuta kwenye PM yako vere soon
nimechoka hata kutype sasa ...nimechoka
 
asante sana bestlady swali la nyongeza utalikuta kwenye PM yako vere soon
nimechoka hata kutype sasa ...nimechoka

anagalau nimekuondolea mzigo wa kitchen party..........
si unaona am so cnsiderate etiii!!!
tutawasiliana later tonite, no worries we kapumzike!!!
 
mwenye mada akitoka usingizini sasa atakuta sredi imepinda..sijui kama alimaanisha ndivyo sivyo au sivyo ndivyo
 
Nimekuta sredi imeshachangiwa nawachangiaji wengi hivyo nimeshindwa kusoma michango yote.Nimesoma,pg ya kwanza,ya pili na ya mwisho lakini bado siajelewa hata kidogo sredi inahusu nini naomba kufafnuliwa tafadhali.nimetoka kappa.
 
90% of the girls they mustabate when they take shower, and the rest 10% they sing..do you know what they sing about?? Ahmmmm nope. hahahaha.... so it means you are among those 90%..? Nooooooo...you are soo funny. Am mundele by the way, am Jane...Should i join you? Sure...

Thats my best opening line.
 
toba yarabi; yaani hamuachiwi ufunguo!!! Samahani kwa wale ambao kidogo tulipishana lugha, blame the Americans for messing up with our lingo! Lakini mada imeenda hatimaye kule ilikotakiwa.

Pick up lines ni maneno ya kwanza ya kutongozea; yaani unachomwambia mtu mara ya kwanza na kupata attention yake. mifano mbalimbali imetolewa n.k Siyo maneno mnayoambiana wapenzi chumbani au kuonesha hisia zenu bali ni maneno unayotamka au uliyotamkiwa mara ya kwanza na jamaa mkachukuana (pick up)..

Kwa mfano:

- Dada samahani unaweza kunielekeza njia?
- Ya kwenda wapi?
- Moyoni mwako! - binti anaweza kupatwa kigugumizi cha sekunde! halafu maneno mengine yanafuataia.

au,

Excuse me (hii inapendeza kwenye kadamnasi ya watu)
How can I help you? she asks
Are you from Tennesee (tenasii)
No, why?
Because you are the only TEN I SEE (playing with words)

au,

za kikristu, (ziko collection nyingi tu za pick up lines nilikochukua hizi)

zipo kila aina ya pick up lines.. zipo za kuchekesha, zipo zenye mrengo wa matusi, zipo ze kuudhi na nyingine purely comical.. some of them:

Now I know why Solomon had 700 wives... Because he never met you.

I know its absurd, but every time I walk towards you, it feels like im being lead to bethlehem.

I believe one of my ribs belongs to you

za kiislamu;

I need to break my fast. Can I have a date?

Allah created everyone in pairs, so what are you doing, single?

za kusababishwa uchapwe kibao!

If I flip a coin, what are my chances of getting head?

I lost my virginity. Can I have yours?

ya kuchekesha:

If I were a stop light, I'd turn red everytime you passed by, just so I could stare at you a bit longer.

You're so beautiful that you made me forget my pickup line. (hii itamfanya atabasamu)

Damn, if being sexy was a crime, you'd be guilty as charged!

There is something wrong with my cell phone. It doesn't have your number in it.

Unajua ni saa ngapi saa hizi (akiangalia saa yake na kukupa) unasema hapana, yaani saa ya kunipa namba yako!

Are you cold? You look like you could use some hot chocolate... Well, here I am! (hii nzuri kwa mweusi kumtongoza binti mweupe)..
 
I love your perfume what is the name again..... - Pick up line

Murder she wrote.....Put off line..

Lack of originality....men-men...
 
gosh ! baby gal r u frm jamaica i like u hair style iz that [dread ]?,u look more than beutiful ,can't say mo ,will u mind if i ask ur name plsssssss!haka kajamaa sijui kalikuwa ka lover boy?
 
Most likely scenario Bar:
after moving to their table

kaka: Mambo mrembo
dada: asante
kaka: mungu anajua kama malaika wake umetoroka peponi kuja kwenye starehe
dada: xzxzxzxzxz asante

kaka toa mkono for a handshake whilst introducing ya self naitwa fulani, wewe je mrembo kicheko jina lake kupata 80%

kazi kwako maana kazi yenyewe ndio inaanza,

Tip: it only works best in the movies though
 
Ukijaribu hii unapigwa chini:

Do i know you from somewhere? Cos I cant recognize you with your clothes on!
 
kwa daresalaaam. msichana mwambie nimewahi kukuona benki....
sijui kwa nini but huwa hii tricky inafanikiwa siku zote...

WE NOMAAAAAA !!

.........................................
Amani yetu inatumiwa vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom