Tumshukuru M/Mungu kwa kutupa uhai na nguvu - ili kuendeleya kuishi tukiwa wazima na wenye afya. Na tumshukuru M/Mungu pia kwakutubainishiya Mazuri na Mabaya.
M/Mungu anapotauambiya "Sisi tupange yetu, na wao wanapanga yao; ila mwisho wake la M/Mungu ni bora"
Kwahiyo kuwepo kwa JK pale alipo ni M/Mungu - ila tu, anayomengi moyoni mwake (ambayo sisi hatuyajui) - ila M/Mungu kwa kipindi hichi anatuleteya yale waTanzania tunotaka kuyaona na kuyasikia!
Ila kwakutumia dhana kwa kujaribu kubashiri yaliyokuwemo ndani ya Moyo wa Raisi wetu - ndo hayo hayo ambayo wananchi tunataka kuyaona na kuyasikia.
Tumwombe apate nguvu kuyafikiria na kuyajua M/Mungu na Watanzania wanayo yataka ili ayatende.
Mungu Ibariki Tanzania!
M/Mungu anapotauambiya "Sisi tupange yetu, na wao wanapanga yao; ila mwisho wake la M/Mungu ni bora"
Kwahiyo kuwepo kwa JK pale alipo ni M/Mungu - ila tu, anayomengi moyoni mwake (ambayo sisi hatuyajui) - ila M/Mungu kwa kipindi hichi anatuleteya yale waTanzania tunotaka kuyaona na kuyasikia!
Ila kwakutumia dhana kwa kujaribu kubashiri yaliyokuwemo ndani ya Moyo wa Raisi wetu - ndo hayo hayo ambayo wananchi tunataka kuyaona na kuyasikia.
Tumwombe apate nguvu kuyafikiria na kuyajua M/Mungu na Watanzania wanayo yataka ili ayatende.
Mungu Ibariki Tanzania!