demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,309
- 15,288
- Thread starter
- #101
Msuva anaihitaji Simba lakini Simba haihitaji msuva. Msuva anajua Simba ndiyo njia ya kuwafikia wakina Samatta hapo alipo asubiri yamkute ya wakina Ngassa na Cannavaro kuzeekea Sinza Shekilango kwa machangudoa.
Simba sc inafedha ya kumlipa Saimon Msuva.....?
Kabla hatujajadili suala la mshahara wake... Je simba Sc inafedha ya kumnunua saimon Msuva.....?
KUMBUKENI KWAMBA HIO KLABU YENU YA SIMBA SC NI KAMA KIKOSI CHA MABORESHO YA YANGA FC..!
kwa maana nyingine tunapohitaji kusajili mchezaji wenu yeyote si suala la kushindana... Bali ni pesa zinaletwa mkononi zikiambatana na karatasi ya kusaini...!