grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Waache wajazane ujingavwalisema ngassa miloin mia tatu na hamcn kiko wp?????? leo msuva ni kweli yuko kwenye kiwango lkn c cha bei hiyo.
Uwezo wake kufunga mwisho kwenye ligi tena mechi na marefa wa kununuliwa na manji. Amefunga sana timu ya ya diamond platinum.
Mbona kwa Etoile juzikati hakuonekana, hawezi kufikia rekodi ya tommentor Okwi aliyewaduwaza Etoile du sahel tena kwao.