harufumbaya
Member
- Feb 9, 2015
- 34
- 3
Msuva hata timu yangu ya Kawe Veterani ataanzia benchi. Huku hakuna kununua mechi.
Wa kuua albino
Msuva hata timu yangu ya Kawe Veterani ataanzia benchi. Huku hakuna kununua mechi.
Msuva hata timu yangu ya Kawe Veterani ataanzia benchi. Huku hakuna kununua mechi.
delako kama kweli ni mshabiki wa mpira unashangaa nini msuva kuuzwa bei hyo Leo. Je unakumbuka okwi aliuzwa bei gani na alitokea wapi au sammata unajua ni bei gani na ni mbongo tu.
Makapi yalio chukua UBINGWA.....!
Makapi yanayowakilisha utaifa wako......!
Sserenkuma Danny ni KAPI ambalo halijawahi kutokea Tanzania.
Ukilinganisha Kipre Tchetche na msuva FIFA wakisikia wanaweza kukufungia maisha kutokujishughulisha na soka. Huko ni kudhalilisha Professionalism.Kweli kabisa.. Kipre Tchetche ni bora kwa sasa kuliko saimon Msuva......!
Napata mashaka, ni Hans Pop au ni Msuva anataka kutimiza ndoto zake??? Hans Pop ni chambo tuu!Wakati Unasema hivyo muhindi wenu Zakaria Hans POPO anajiuliza atampataje......!
Akaambiwa anauzwa milioni 700/= akasema atatafuta wafadhili ili waisaidie kulipa hicho kiasi cha fedha....!
Ukilinganisha Kipre Tchetche na msuva FIFA wakisikia wanaweza kukufungia maisha kutokujishughulisha na soka. Huko ni kudhalilisha Professionalism.
Wapo katika hali duni ya kufilisika alafu wanakwambia wanamtaka Msuva....!
Wakati Yanga Fc ikiwa mtaani kutafuta wachezaji... kwa ajili ya michuano ya kimataifa.
Haya sasa na watoe hiyo fedha ili tujue kama wako serious.
Is this a joke?
Wa kuua albino
Nilikuwa nikijaribu kulisha UBONGO wa mbumbumbu mwenzako ambaye alikuwa anasema eti Azam FC awawezi kununua Saimon Msuva kwa kuwa wana wachezaji kama hao wengi.....!
Ndio nikamjibu kwa jinsi hiyo.....1li kwa mtu aliye mbumbumbu aweze kuelewa...!
Ila Unaoneka kama Inarudi katika akili zako.... Hongera kwa kuelewa ile post yangu...!
Yanga walimchukua Okwi baada ya kuongoza mauaji ya halaiki ya 5 kwa sufuria na kuongoza ubebaji wa ndoo huku mashabiki wa yeboyebo wakizimia kama kuku wa mdondo. Na bado Okwi akionekana anapita mitaa ya Jangwani watu wanajifungia kwanza mpaka apite kwa kumuogopa maana anaweza kufanya lolote wakati wowote.
Tumchukue galasa msuva kwa kipi cha maana alichokifanya mbele ya wanaume Simba?
Napata mashaka, ni Hans Pop au ni Msuva anataka kutimiza ndoto zake??? Hans Pop ni chambo tuu!
Hapa tunaongelea soka la dimbani wewe unaleta jinai zako. Peleka huko.
Kumbe hujapona utaahira wako, kweli Msuva ni wa kumlinganisha na Kipre Tchetche wakati juzi tu tulipowachapa nalo mlikaa getini na bakora mkisema hamumtaki. Kisa kaifunga polisi morogoro mmesahau kweli utaahira mbaya.
Unaonekana mpira umeanza kuufuatilia mwaka huu, hukumbuki kuwa msimu wa mwaka jana mzunguko wa pili alimtoboa mapunda tena dakika za lala kwa buriani!!!Hivi kwa nini Msuva na kukurukakara zote, hajawahi kuifunga simba na kiwango chake yanga ikicheza na simba huwa cha chini sana????? hata assist nusu hajawahi.
Huwezi kujisifia na takataka kama hiyo ambayo haijafikisha ata magoli manne 4 kwenye ligi....!
Wakati Unasema hivyo muhindi wenu Zakaria Hans POPO anajiuliza atampataje......!
Akaambiwa anauzwa milioni 700/= akasema atatafuta wafadhili ili waisaidie kulipa hicho kiasi cha fedha....!