Thamani ya Saimon Msuva ni Mil 700/=.

Thamani ya Saimon Msuva ni Mil 700/=.

ww ndio bogaz kabisa! egypt, drc nk zinapeleka timu mbili kwenye klab bingwa afrika kutokana na ubora wa ligi zao acha mawazo ya kijima ww! kwani huoni ulaya mfano uingereza wanapeleka timu nne???? bado unaendelea kuyaita mashindano ya kimataifa?????? mbona mgumu sana kuelewa?????
 
Simba haiwezi kununua tutusa kama Msuva kwa bei hiyo.
Hilo lina hadhi ya kuchezea vilabu kama Ndanda vinavyofungwa nyumbani na ugenini kama yanga mbele ya Mnyama Mkali.

nina wasiwasi na akili yako ndio maana sijaandika nilichotaka kukiandika....
 
ww ndio bogaz kabisa! egypt, drc nk zinapeleka timu mbili kwenye klab bingwa afrika kutokana na ubora wa ligi zao acha mawazo ya kijima ww! kwani huoni ulaya mfano uingereza wanapeleka timu nne???? bado unaendelea kuyaita mashindano ya kimataifa?????? mbona mgumu sana kuelewa?????
Yanga inaiwakilisha Tanzania na etoile du sahel inaiwakilisha Tunisia katika mashindano ya kombe la shirikisho barani afrika kwa ngazi ya vilabu. je, hapo zinakutana timu za mataifa mangapi!!!
Haya mashindano yanashirikisha vilabu vya mataifa mbalimbali ya Afrika na ndio maana yanga wanajiita wakimataifa.
Wewe hupendi kuwaita hivyo acha!
 
nimegundua ww ni mgumu kuelewa, nilipoangalia na picha yako nikaishiwa nguvu.
 
ndugu hamna klabu inayoshiriki mashindano ya kimataifa, nakupa somo na waandishi wenu wa kibongo uchwara.

Kwa hivyo Yanga Fc imeenda Tunisia kushiriki michuano ya Mikoani....?
 
mashindano ya kimataifa yanachezwa na timu za taifa. haruna niyonzima hawez kucheza mechi ya kimataifa na timu ya tz na ndio maana unaimbwa wimbo wa taifa.

Niyonzima anachezea Club ambayo inawakilisha Tanzania huko nj'e....!

Au unataka kusema Yanga Fc inawakilisha tarafa ya Mbagala....?
 
yaani ww ni funiko! yaan umeota ndoto na bei ukaseti kabisa! ngoja tuone msimu ujao atakuwa na kiwango gani kama siyo moto wa kifuu

Pia tumngoje Sserenkuma atakuwa na kiwango gani katika msimu unaokuja......!
 
nimegundua ww ni mgumu kuelewa, nilipoangalia na picha yako nikaishiwa nguvu.

Lazima uishiwe na nguvu mwaka huu.. maana timu yenu jinsi ilivyo... hali ni mbaya sana.

Watumie fedha kupitia m pesa ili waongezee kununua Msuva....!
 
nina wasiwasi na akili yako ndio maana sijaandika nilichotaka kukiandika....

Wewe mwenye akili timamu uliniona nikikufuatilia? Huna hadhi ya kujibiwa na mimi japo unajaribu kukata mauno mbele yangu mimi huo mchezo siku hizi sifanyii watu wachafu wachafu maana nikitoka hapo kuondoa ile harufu inachukua muda.
Ile harufu uliyoniachia tarehe 8 march, 2015 nilitumia dettol wiki nzima kusafisha mshedede wangu.
 
Kwa hivyo Yanga Fc imeenda Tunisia kushiriki michuano ya Mikoani....?

Kule imeenda kwa mashemeji zake maana lile bao la Okwi la mwezi march linakaribia kutoa mazao.

Unajua ile nyumba aliyokuwa akiishi Okwi kule Tunisia sasa haina mtu zaidi ya wahudumu tu. Kwa hiyo Okwi ameamua ampeleke mkewe kwa mashemeji zake ili akapumzike japo kwa wiki tu.
Japo sio mbaya kwa mashemeji nao wakaongeza japo mikono, pua miguu ya mtoto.
 
Lazima uishiwe na nguvu mwaka huu.. maana timu yenu jinsi ilivyo... hali ni mbaya sana.

Watumie fedha kupitia m pesa ili waongezee kununua Msuva....!

Pesa ya kununua tutusa msuva haipo ila ya kumpeleka mke wa Okwi mwenye kimimba cha tarehe 8/3/2015 akajisikilizie kwa mashemeji zake Tunisia zipo.
 
Kule imeenda kwa mashemeji zake maana lile bao la Okwi la mwezi march linakaribia kutoa mazao.

Unajua ile nyumba aliyokuwa akiishi Okwi kule Tunisia sasa haina mtu zaidi ya wahudumu tu. Kwa hiyo Okwi ameamua ampeleke mkewe kwa mashemeji zake ili akapumzike japo kwa wiki tu.
Japo sio mbaya kwa mashemeji nao wakaongeza japo mikono, pua miguu ya mtoto.

Naona umepanick! Hahahaha! zungumzia ya timu yenu ya MCHANGANI.... Mtabaki kutega maskio maredioni kusikiliza mechi za yangu na Azam wakiwa majuu huko....!

Tatizo mnaendekeza UCHAWI katika soka la kisasa.... ndio maana unatokwa na mapovu bila hata kujijua.....!
 
Pesa ya kununua tutusa msuva haipo ila ya kumpeleka mke wa Okwi mwenye kimimba cha tarehe 8/3/2015 akajisikilizie kwa mashemeji zake Tunisia zipo.
Acha kuzunguka kote huko... Unapindisha Mada ya mezani.
Mlipeni :-

1.Kessy fedha zake Dola 3500/=

2.Chanongo fedha zake Dola 5600/=

3.Tambwe fedha zake Dola 7000/=

4.Malizieni mishahara ya mwezi uliopita kwa wachezaji ambao hawajapata.

5. Uzeni Klabu yenu kwa BAKHRESAH ili mpate fedha za kununua Msuva.
 
ndugu hamna klabu inayoshiriki mashindano ya kimataifa, nakupa somo na waandishi wenu wa kibongo uchwara. mashindano ya kimataifa yanachezwa na timu za taifa. haruna niyonzima hawez kucheza mechi ya kimataifa na timu ya tz na ndio maana unaimbwa wimbo wa taifa. tatzo mmezoea huku kwenu zinaenda tm mojamoja kwn mashindano ya vilabu, je ikitokea zamaleck na al ahly zikikutana kwn klabu bingwa afrika utaita gemu ya kimataifa? au atletico madrid walipocheza na real madrid juzijuzi kwn klab bingwa ulaya ilikuwa mechi ya kimataifa? yeboyebo kweli hamnazo

Mkuu unaongea na mataahira sawa na yale mataahira mawili yaliyoanza kugombania mgawo kwa pesa za kwenye ndoto. Kuwa mshabiki wa yeboyebo kwa mtu mwenye akili timamu ni kazi kubwa.
Sifa ya kwanza ili uwe shabiki wa yeboyebo,
1. Uwe na akili kama za Steve yanga. Nadhani wengi wanamfahamu.

2. Uwe ni mtu wa kuzimia zimia mbele za watu au mwenye kifafa kabisa ili hata ukifia kiwanjani watu waseme ni kutokana na kufungwa na Simba tu.

3. Mshirikina na mwenye kubwabwaja hovyo. Ukifungwa kwa kuzidiwa soka dimbani usingizie mkono wa albino.

4. Umachinga. Kuuza kitu kibovu kwa thamani ya juu kuliko bei halisi kwa kumuangalia mteja aliyekuja kwa kuwa anazo.

5.Mvuvi. Uwe na uwezo wa kuogelea incase mafuriko ya jangwani yamewakuta mpo ndani na vile vile uwe na ujuzi wa kuvua kambale kwenye matope pindi kina cha maji ya mafuriko yakipungua.

6. Mshamba wa kupanda ndege. Inatakiwa ukipanda ndege japo kajamba nani class kwenda Botswana, Zimbabwe ujisifu mbele za watu kuwa wewe unapanda ndege, hata kama kuna watu hawajaenda shule wanaruka kila siku kwenda Ulaya.

7. Uwe na uwezo mkubwa wa kuhimili harufu kali ya maji machafu kutoka muhimbili na kwenye vyoo vya wakazi vinavyotapishwa kuelekea jengo la yeboyebo. Kile kiwanja pale sijui walipewa bure? Naona wanaitafuta Mil. 700 kwa nguvu ili wahame kwenye mafuriko.

Hizo ndio baadhi ya sifa kuu za kuwa mshabiki wa yeboyebo au kandambili za chooni.
 
Kule imeenda kwa mashemeji zake maana lile bao la Okwi la mwezi march linakaribia kutoa mazao.

Unajua ile nyumba aliyokuwa akiishi Okwi kule Tunisia sasa haina mtu zaidi ya wahudumu tu. Kwa hiyo Okwi ameamua ampeleke mkewe kwa mashemeji zake ili akapumzike japo kwa wiki tu.
Japo sio mbaya kwa mashemeji nao wakaongeza japo mikono, pua miguu ya mtoto.

Hahahaha! Inashangaza sana kuona wachezaji wenu wengi hawana nyumba.....hapa mjini.

Wengi wanakaa kwa mama zao..! Dah. Kwa mwendo huo kweli mnaweza kuchukua ubingwa wa ligi Kuu Tanzania bara....?
 
Wee ndo MBULURA kabisa,mashindano ya Club Bingwa Africa hushindaniwa na Club Bingwa za nchi husika kwahiyo mfano wako wa Al Ahly kukutana na Zamalek ambazo ni team za nchi moja hauna mantiki ksbb nchi moja haiwezi kuwa na mabingwa wawili.....
Ingekuwa hivyo Jopo la Kamati ya mashindano la VPL lingeteua Mikia kuwa Bingwa Mwenza msimu huu wa 2014/2015 ili kumaliza ukame wa kutoshiriki mashindano ya Kimataifa,kama walivyobadili kanuni za Card 2 sijui 3 za njano kui'favour team yao.

Hivi UEFA na Klabu bingwa Afrika inatofauti? Mbona tumeshuhudia juzi Real Madrid akicheza na Atletico Madrid, huo mfano una kasoro gani kwani hakuna nchi Afrika hij zinapeleka timu mbili Klabu Bingwa?
 
Naona umepanick! Hahahaha! zungumzia ya timu yenu ya MCHANGANI.... Mtabaki kutega maskio maredioni kusikiliza mechi za yangu na Azam wakiwa majuu huko....!

Tatizo mnaendekeza UCHAWI katika soka la kisasa.... ndio maana unatokwa na mapovu bila hata kujijua.....!

Kumpeleka mke wangu akasikilizie kitumbo chake Tunisia kuna ubaya gani. Wewe mwenye roho ya kwanini ndiyo tatizo.
 
P
Hahahaha! Inashangaza sana kuona wachezaji wenu wengi hawana nyumba.....hapa mjini.

Wengi wanakaa kwa mama zao..! Dah. Kwa mwendo huo kweli mnaweza kuchukua ubingwa wa ligi Kuu Tanzania bara....?

Unajaribu kutoka nje ya uzi baada ya kushindwa hoja Haya nitajie nyumba za wachezaji wa yeboyebo zilizopo Dsm.
 
Back
Top Bottom