Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
3,726
6,256
Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.

Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.

Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.

Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.

HII INATHIBITISHWA HAPA:

"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.

Definition: What are stocks?

Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.

When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."

Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.

Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.

Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.

Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.

Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.

Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.

Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.

Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.

Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell

Kazi na iendelee!
 
Kumbuka Fatma Dewj ana hisa Yanga kama mwanachana..
So familia ya Dewj inamiliki zaidi ya 50% ya hisa za Simba. Pia thamani yaSimba ni zaidi ya Bil 20 alizoweka Mo kwa sababu wakati Mo alitaka kuweka hizo hela Simba hukufika hata robo final ya club bingwa
 
Ukweli Mchungu kwa Wanasimba: Televisheni ya Yanga kuwa na Thamani kubwa kuliko Klabu ya Simba ni upumbavu
Mkuu, tulia halafu usome hii, ikikupendeza urudi kufafanua.

Hapo umezungumzia mdhamini wa Yanga na thamani ya Simba. Lakini hujaweka bado kinyume chake ili ulinganishe vitu vinavyofanana. Naomba uweke pia mdhamini wa Simba na thamani ya Yanga.

Baada ya kuweka uvitenganishe vinavyofanana, yaani thamani ya Simba na thamani ya Yanga, halafu wadhamini wa Simba na wadhamini wa Yanga; hapo utakuwa umelinganisha makundi yanayofanana
 
Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao...
Kwa hili ndugu umeongea facts. Haya ndi masuala yanayoitwa short term and long term measures.
 
Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.

Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.

Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.

Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.

HII INATHIBITISHWA HAPA:

"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.

Definition: What are stocks?

Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.

When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."

Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.

Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.

Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.

Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.

Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.

Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.

Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.

Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.

Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell

Kazi na iendelee!
Unateseka ukiwa wapi mkuu kumbuka leo tajir wetu ametuaidi ubingwa wa Afrika wa kwenu ameaidi wa ndondo na umemshinda.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.

Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.

Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.

Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.

HII INATHIBITISHWA HAPA:

"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.

Definition: What are stocks?

Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.

When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."

Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.

Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.

Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.

Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.

Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.

Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.

Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.

Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.

Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell

Kazi na iendelee!
Tatizo mna makelele sana mkiambiwa mtoe hata buku mnakimbia pumbavu zenu
 
Naam kuweka uelewa sawa ni vyema nikafupisha mada. Lakini sitakuwa sawa kama sitowapongeza wanamsimbazi kwa ubingwa na hatua kubwa waliyopiga kwenye soka kwa miaka hii minne. Lakin pia niwapongeze kwa wapenzi wa timu ya Simba kwa support yao isiyokatika kwa timu yao.

Tumekuwa tukifuatilia mijadala mingi inayohusu mkataba wa mabadiliko ya Klabu hizi mbili kongwe Tanzania bi maana Simba na Yanga. Mijadala ilianza muda mpaka tumefika pahali mabapo tunaenda pazuri. Hongera kwa Simba kwani wameenda haraka sana. Lakini pia niwapongeze wanayanga kwa kulifanya jambo hili polepole na kwa Umakini sana.

Wakati huu ambao wanasimba ni kama wako hatua za mwisho za kuhitimisha jambo lao kuna maswali kadahaa yameanza kutrend mitandaoni na mabarazani hasa baada ya watani zao wa jadi kuingia mkataba na kampuni ya Azam. Kiuhalisia mjadala mkubwa ni thamani halisi ya klabu ya Simba , lakini pia inaibuka hoja nyingine hapo kwa ndani ya thamani halisi ya Klabu ya Yanga in relatin to the Simba-Mo Deal . Ugumu wa hili suala ni kama vile Siasa zetu za vyama vingi hapa nchini kwamba kila mmoja anaona upande wake uko sawa lakini hakuna anayetaka kubase kwenye fACTS HALISI.

Bila kusema valuation ya Simba SC imefanyikaje, wapi na ni taasisi gani zimefanya hiyo Valuation nakwenda moja kwa moja kwenye thamani iliyopatikana ambapo imegawanywa kwenye vipande 100 kama shares (100%). Mohammed Dewji "Mo" yeye amewekeza hapo na kuchukua 49% yote ambayo mwekezaji anatakiwa kuichukua kwa Shilingi Bilioni 20 za kitanzania. Kiuhalisia wengine wanapinga kuwa sehemu ya Simba haijanunuliwa lakini ukweli nikwamba takribani nusu ya klabu ya Simba imenunuliwa na "Mohammed Dewji" na wanachama wamebaki na nusu iliyobaki.

HII INATHIBITISHWA HAPA:

"A stock is an investment. When you purchase a company's stock, you're purchasing a small piece of that company, called a share.
Investors purchase stocks in companies they think will go up in value. If that happens, the company's stock increases in value as well. The stock can then be sold for a profit.

Definition: What are stocks?

Stocks are securities that represent an ownership share in a company. For companies, issuing stock is a way to raise money to grow and invest in their business. For investors, stocks are a way to grow their money and outpace inflation over time.

When you own stock in a company, you are called a shareholder because you share in the company's profits."

Kwa hiyo tukubaliane kuwa takribani nusu ya Klabu ya Simba imeuzwa. Swali vipi thamani ya Simba: Hii ni Hesabu nyepesi ya 51% iliyobaki ukijumlisha na ile ile ya 49% utapata Bilioni 40.8 kwa Brand, Assets na klabu yote kwa ujumla.

Kinachogonga vichwa sasa ni ukweli huu mchungu kukubalika sasa na isiwe baadae ambapo utaleta mgogoro ikitokea kuna mgongano wa Maslahi kati ya Wanachama na Mwenye 49%.

Yanga wameingia Mkataba wa miaka 10 wa Shilingi Bilioni 41 pamoja na VAT .Kwa ajili ya Televisheni yake tu "Yanga TV" . Yaani huu Mkataba hauhusu Mambo mengine ya Klabu.

Kwa akili za viongozi wetu kufanana, huu mkataba wa Simba na Mo utaakisi mktaba ambao Yanga wanaweza kuingia na Mwekezaji wake atakayekuja. Wanaweza kufanya kuiga wa Simba halafu waweke Value kubwa kidogo ili waseme wamewazidi wenzao lakini pia nao Thamani halisi ya Yanga itakuwa haijatizamwa. Nao wanapaswa kuwa makini sana. Ni heri hii mikataba iwe na ukomo ili kuziba makosa yatakayofanyika.

Upumbavu unapokuja Sasa mkereketwa wa Simba bila kufikiria mwaka 2035 timu itakuwa na hali gani wakati 20B zimeisha na Mo & Family wakiendelea kula matunda ya 49% ya Klabu kwa uwekezaji mdogo sana. Huyuhuyu Mkereketwa atakwambia Simba ina thamani kubwa kuliko Yanga, Nami nakubaliana naye kuwa Simba ina thamani kubwa sana kuliko Klabu yeyote si Tanzania tu balia Afrika Mashariki. Lakini hii thamni Mbona haijaheshimiwa wakati wa kuuza Nusu ya hii klabu. Mbona imeuzwa kwa hela ya Mboga?. Bilioni 40 kumiliki klabu kubwa Tanzania kama Simba , assure you kuwa ni Ndogo sana. Maana wengi sana wangeweza kumiliki hizi timu zenye uwekezaji wa Miaka zaidi ya 60 huko nyuma.

Kutokana na Mkataba wa Yanga Tv na Azam tena ni wa miaka 10 tu kuwa mkubwa zaidi ya Simba, huu ni ukweli mchungu kuwa Thamani ya ya Yanga TV ni kubwa kuliko Simba na inaweza pia kuweka kwenye Rekodi za Kibiashara kuwa Yanga ina thamani kubwa kuliko Simba kwa sasa kwani kama Tv yao tu imewaingizia hicho kiasi, vip kuhusu klabu?, pia vipi kuhusu mkataba wa Tv ukiisha? Maana wanaweza kuongeza tena mwingine wenye thamani zaidi.

Tutakazania kufurahia kwenye Mataji na current form ya klabu. Tukumbuke form siyo Parmanent, Ndo maana Recently Chelsea FC amechukua makombe kadhaa kuliko Man Utd lakini Thamani ya Man utd ni kubwa kuliko Chelsea based on Market value. Tukubali kuwa hii dili ya Simba imekosewa Sana. Ni heri ingepelekwa kwa namna yeyote ile kwnye soko la hisa kwa bei ya juu.

Ni jambo la furaha sana upande Mashabiki lakini vikombe na ushindi havidefine hali ya uchumi ya klabu kwa ukanda wetu huu. Lakin hatujui pia huo upande wa furaha ya vikombe miaka 3 ijayo watani nao watakuwa na Nguvu gani kwenye vikombe. Tusiwabeze kwani wanaonekana wanaboresha kikosi kila uchwao na ndani ya miaka hii mitatu watakuwa na ushindani mgumu sana na SIMBA. Na wanaweza pia kutakeover ufalme wa soka. Furaha ya ushindi itaondoka, itakuja hali ya kiuchumi ya klabu na kibiashara sasa, Hapo ndo failure itaonekana kuwa Thamani halisi ya Simba SC haikuheshimiwa.

Mashabiki na wapenzi wataanza movement zao. This time haitakuwa kumvua mwenyewkiti madaraka bali kuvunja mkataba wa kisheria. Ngumu sana Time will tell

Kazi na iendelee!
Hivi nyie kwa nini mnatumika kuwapigania wanachama wachache wa juu ili wapige pesa? Sisi wanachama tunachokihitaji kwa club ni ushindi na mataji tu,mwekezaji kama amewekeza na amepata zaidi muache avune. Hao wanachama unaotaka wapate nusu wanachangia nini?
 
Tatizo mna makelele sana mkiambiwa mtoe hata buku mnakimbia pumbavu zenu

Na kinachonishangaza ni pale mtu anaposhangilia 38bn inayotoka kidogo kidogo na kidharau 20bn iliyotoka Cash.Hivi huyu mwenye 20bn akiiwekeza baada ya hiyo 10yrs itakuwaje? Hili Utopolo hawalifikirii kabisa.

Asante MO kuwagomea Azam,kama wanataka waweke pesa ya kueleweka.Next ni Sportpesa,naona na wao wakipewa masharti mazito,hakuna cha usawa hapa wa Simba na Yanga.Kila mtu atavuna alichopanda.
 
Back
Top Bottom