demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,309
- 15,288
- Thread starter
- #121
Unaongea ili siku ziende ujifungue mtoto wetu tuliyemuweka tumboni mwezi machi. Ni kawaida ya mwanamke mwenye mimba kuongea utumbo kama huo hatushangai.
Huko benki nilikwenda na wewe wakati namsajili Danny wewe ulikuwa hoi kwa ujauzito wa mimba ya zile bao mbili za mtani jembe.
👅👅👅 Kumbe hata hili nalo hunijui....?
Wewe ni shabiki wa Simba sc au ndo wale wa Simba Ukawa....?
Hahahaha! Hamna kitu nyinyi.