Thamani ya Saimon Msuva ni Mil 700/=.

Thamani ya Saimon Msuva ni Mil 700/=.

P

Unajaribu kutoka nje ya uzi baada ya kushindwa hoja Haya nitajie nyumba za wachezaji wa yeboyebo zilizopo Dsm.

Hahahaha! Ninatokaje nje ya mada wakati sasa nazungumzia utajili wa Klabu ya Yanga Fc ambapo kila mchezaji anandoto za kuichezea hapa nchini....!

Wanakula maisha huko Duniani saa hizi.....! Maana nasikia Utamu kawa Mcharo tangu mda mrefu....!

Hata wewe sasa hivi unandoto za kuwa SHABIKI WA DAR YOUNG AFRICA FC...! 👅👅👅👅👅👅👅.
 
Kumpeleka mke wangu akasikilizie kitumbo chake Tunisia kuna ubaya gani. Wewe mwenye roho ya kwanini ndiyo tatizo.

We jaribu kutoka nje ya mada tu!
Mimi nakurudisha kwenye mstari alafu niendelea kukutia sindano za maumivu ya mwili.....!

Wakati Okwi wako yuko Dar hapa mitaani anatokwa na majasho ya makwapa akizurura.. Wanaume wa nchi yako wako Kimataifa zaid wakiwakilisha.....!
 
Bora watunisia watunyamazishie hawa ndala badae.
Wakishinda watasema eti msuva anamzidi messi
 
Bora watunisia watunyamazishie hawa ndala badae.
Wakishinda watasema eti msuva anamzidi messi

Mganga gani aliye kutabirilia kwamba baada ya Yanga Fc kufungwa Leo hii, basi Mashabiki wa Yanga Fc watakaa kimya......?

Rudi tena Zanzibar kwa huyo Mganga wa Simba sc aliye kutabirilia hayo na UMWAMBIE kwamba matokeo yeyote ambayo Yanga watapata hayata simamisha Kelele na Shamra shamra za UBINGWA wa ligi Kuu.

-Umbumbumbu katika kiwango chake.
 
yaani mkuu nimeelimisha hadi nimechoka, huyu lazma atakuwa ni division v tu. kuna nchi 12 za afrika huwa zinapeleka timu mbili mbili ambazo ni misri, algeria, sudan, drc, south, mali, nigeria, cameroon, tunisia, morocco, congo brazavile. ebu nisaidie kumuelimisha huyu yeboyebo
 
kama yanga anacheza mashindano ya kimataifa basi hamna haja ya kuwa na timu ya taifa na kina coutinho wapewe pass za tz. na ikitokea vita club na tp mazembe wakakutana kwn mashindano ya vilabu barani afrika basi itakuwa ni friendly match
 
Hivi Msuva si yule kijana Ambaye alikuwa mcheza dansi (mnenguaji) wa THT?? Labda kwenye hiyo bei kuna gharama ya burudani ya viuno na viduku toka kwa mnenguaji Msuva
 
kama yanga anacheza mashindano ya kimataifa basi hamna haja ya kuwa na timu ya taifa na kina coutinho wapewe pass za tz. na ikitokea vita club na tp mazembe wakakutana kwn mashindano ya vilabu barani afrika basi itakuwa ni friendly match

Unaonekana kama ulianza kushabikia Soka miaka ya tisini hivi.....!
 
Hivi Msuva si yule kijana Ambaye alikuwa mcheza dansi (mnenguaji) wa THT?? Labda kwenye hiyo bei kuna gharama ya burudani ya viuno na viduku toka kwa mnenguaji Msuva

Umesahau IBRAMOVIC wa psg naye alikuwa Mr Kung Fu.....!
teh teh teh teh!
 
kwa milioni 700 anafunga magoli wireless au:confused2:??
 
kama yanga anacheza mashindano ya kimataifa basi hamna haja ya kuwa na timu ya taifa na kina coutinho wapewe pass za tz. na ikitokea vita club na tp mazembe wakakutana kwn mashindano ya vilabu barani afrika basi itakuwa ni friendly match

acha uviti maalum musonye cup wewe.yale ni mashindano ya kimataifa ngazi ya vilabu.hili hata mtoto wang wa drs2 anaweza kutofautisha,kuwa kuna mashindano ya mataifa{nchi}na kuna mashindano ya kimataifa kwa vilabu.na yanga leo inapambana kufa na kupona wachukue ubingwa wa shirikisho,ili na tz tuwe tunawakilishwa na timu mbili.ili na vibonde sc wapate nafasi ya kupanda ndege.
 
kwa milioni 700 anafunga magoli wireless au:confused2:??

Magoli ya wireless yanafungwa na Danny Sserenkuma(MPOTO) tu katika ligi Kuu Tanzania...!

Hakuna mchezaji mwingine anayeweza hilo.....!
 
We jaribu kutoka nje ya mada tu!
Mimi nakurudisha kwenye mstari alafu niendelea kukutia sindano za maumivu ya mwili.....!

Wakati Okwi wako yuko Dar hapa mitaani anatokwa na majasho ya makwapa akizurura.. Wanaume wa nchi yako wako Kimataifa zaid wakiwakilisha.....!

Nimekwambia mke wa Okwi amekwenda kusikilizia kitumbo chake kwa mashemeji zake Etoile Du Sahel au hujaelewa nirudie. Na lazima itakuwa mapacha maana mke wetu anasumbua sana kila siku alikuwa anapiga majirani.
 
Umesahau IBRAMOVIC wa psg naye alikuwa Mr Kung Fu.....!
teh teh teh teh!

Heri huyo mpiganaji ni mojawapo ya kujilinda sasa mkata viuno jukwaani anajindaa na nini? Hahahaaaaaaaa
 
Hivi Msuva si yule kijana Ambaye alikuwa mcheza dansi (mnenguaji) wa THT?? Labda kwenye hiyo bei kuna gharama ya burudani ya viuno na viduku toka kwa mnenguaji Msuva

Huyo huyo mkata nyonga alianzia vilabuni Mitaa ya Kibaha na Ruvu.
 
Acha kuzunguka kote huko... Unapindisha Mada ya mezani.
Mlipeni :-

1.Kessy fedha zake Dola 3500/=

2.Chanongo fedha zake Dola 5600/=

3.Tambwe fedha zake Dola 7000/=

4.Malizieni mishahara ya mwezi uliopita kwa wachezaji ambao hawajapata.

5. Uzeni Klabu yenu kwa BAKHRESAH ili mpate fedha za kununua Msuva.

Usihofu tukimuuza mke wetu tuliyempiga kitu mwezi machi tutawalipa wote. Tunasubiri tu ajifungue huko alipokwenda kwa mashemeji zake Etoile du sahel.
 
Thamani ya kitu chochote ipo kwa mwenye nacho na mwenye kukihitaji. Kwa Yanga ana thamani hiyo kiasi kwamba kumpoteza kwa pesa chini ya hapo ni hasara. Pia na watanzania tuna thamani ati kuna wachezaji wa nje thamani yao ni kubwa au ilikua kubwa lakini hawakuwahi au hawafanyikazi ya msuva.
 
Back
Top Bottom