Thadei Kweka aachiwa huru

AMERICA means PROTECTION of God-given RIGHTS that everybody possess by virtue of being a HUMAN BEING made by God, and no other country articulates that princple as forcefully.

Tucker Carlson
 
Comment #16
 
Hii kitu wahuni watakupinga
AMERICA means PROTECTION of God-given RIGHTS that everybody possess by virtue of being a HUMAN BEING made by God, and no other country articulates that princple as forcefully.

Tucker Carlson
 
Unajichanganya, hapa watu wanaonyesha ni kwa kiwango gani mahakama zetu zinapewa maagizo. Inaonekana ww umeumia kwanini huyu imepigwa simu akaachiwa. Hii ni proof ya alichosema Rostam.
Hapana mkuu, quinine cmnt#16 amesema "imepigwa simu moja tu...." Sasa ndio nikauliza je kama alivyosema rostam? Ingawa ya rostam ni kashfa na hii ya usa ni sahihi?
Double standard
 
Kama ameachiwa basi tanzania raia wake wanaonewa kweli. Yaani tunaonewa na vionvozi wetu wanaotutawala. Mtanzania anakamatwa kwa twitter tu aliyoposti watu wanakaa kuamua afe au aishi. Huyo kweka wamemwacha kwa sababu anapassport ya marekani. Aisee watanzania lazima hili jambo litufikirishe sana. Vijana wengi wanateswa nakupotezwa kwa msg za kwenye mitandao tu. ingekuwa hizo msg zina madhara nadhani usalama wa marekani ungekuwa hatarani kuliko nchi yoyote duniani maana raia wake wanaongoza kwa kumpiga madongo rais wao. Wakina chaula wanakufa tu hivihivi kisa kuchoma karatasi alilochora mwenyewe. Nchi yetu watu wa usalama ndo wanaamua mtu aishi au afe. Hii kitu inaumiza sana.
 
She is everything, utasikia pesa ya mama, barabara ya mama kwanini akwepe hii ishu, mama ndiye alitoa order ya kukamatwa.
Ukamataji, mauaji, utesaji na ufiraji ni AMRI YA MAMA pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…