Wananchi wakigundua kuwa gazeti ni la chawa fulani, kama hilo JAMHURI la chawa Balile, kwisha habari yake. Labda auzie machawa wenzieMfano Balile sasa hivi kawa chawa wa ajabu, lakini juzi anajiliza gazeti linakumbwa na hali mbaya ya kifedha.
TOKA MAKTABA :
Prof. Palamagamba Kabudi - Kwa wivu mkubwa wa soveriniti , kamwe hatutapiga magoti !
“NASEMA KAMWE HATUTAPIGA MAGOTI, TUMEONA VIHOJA VYAO”-WAZIRI KABUDI
View: https://m.youtube.com/watch?v=kifc7RT840A
Balile anajiliza wakati anajua kujipendekeza kwake kwa serekali ndio kumemfukisha hapo. Siku hizi chawa wote wanajifanya wazalendo.Wananchi wakigundua kuwa gazeti ni la chawa fulani, kama hilo JAMHURI la Balile, kwisha habari yake. Labda auzie machawa wenzie
Hata kwa Putin?!Na Trump kasema kilichomtokea wa Venezuela kinaweza tokea kwa mwanasiasa au mwanajeshi yeyote ile.Kama ninawaona madictator uchwara wanavyohaha.
Walikuwa machawa halisi wa mfumo dhalimu kipindi cha magufuli hawa kengeEnzi za awamu ya 5 ulikuwa Pro- government, naona kwa sasa umeamua kuasi mfumo kama ndugu zako kina Idugunde Mzee Mwanakijiji
Kwa Sasa kina Stuxnet gallow bird Lusungo wamechukua nafasi zenu.
Kweli Kila masika ina mbu wake.
Ukiishi Marekani tu tayari una 50% chance ya kusurvive mikiki mikiki ya dunia, 50% nyingine ni kudra za Mungu
Hahaha,Ukiishii marekani lazima afya iwe juu...
Jamaa ana afyaa marekani sio ARDHI ya wanyongeeee
😂😂😂😂😂😂😂Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe
P
Nadhani kuna namna CIA inabidi irudi enzi zake. Zamani nilikuwa sielewi mission zao ila nimekuja kugundua Africa ina viongozi washenzi sana.Kama kuna mahali US amekosea, ni kuacha nchi kujitawala sijui kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake ya ndani, huu upuuzi umesababisha kuwa na viongozi makatili mno kwenye nchi nyingi hasa za kiafrika. US anatakiwa arudi kwenye nafasi yake. Nchi zirudi kwenye mstari wa demokrasia, ukienda kinyume inachukua hatua chap.
***** halafu madelu anasema.wanaozitolea mate uranium zetu hawazipati ng'o hawajaamua.tu🤣🤣we jua kaachiwa. Unauliza mambo ya kesi hapa,.kwani hujasikia kilichotokea Venezuela?
na iwe hivyoHilo genge siku zake si nyingi litasambaratishwa na watanganyika wenyewe tu wanaoitakia nchi mema.
Kabisa mkuu ,imagine Tanzania hii ndio ya kupoteza watu elfu kumi kisa kulinda maslahi ya kahaba mmoja mvaa maushungi na hawara yake na vibaraka wao , yaani uhai wa mtu ha u na thamani nchi hii chini ya hawa vibakaKama kuna mahali US amekosea, ni kuacha nchi kujitawala sijui kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake ya ndani, huu upuuzi umesababisha kuwa na viongozi makatili mno kwenye nchi nyingi hasa za kiafrika. US anatakiwa arudi kwenye nafasi yake. Nchi zirudi kwenye mstari wa demokrasia, ukienda kinyume inachukua hatua chap.
Kwamba wangeweza kuja kumchukua mtu wao?Wameona kilichomtokea Maduro wameanza kujamba 😂.
Putin na Maduro si washkaji?Hata kwa Putin?!
Sasa hv yupo njiani anasafirishwa kujibu mashitaka wamemvalisha ma tracción suiteHahahahaha maduro ndo kwisha habari yake
Hii mbaya sn hata mwenye scurf ya bandera ya Tz imemtisha hiiMtu anakamatwa nchini kwake na wanaondoka naye hii itamtisha kila mtu
Sana ,yaani mmarekani na mapungufu yake ila ukiranja wa Ku deal na hawa sokwe watu wanaojiita viongozi Africa aisee mara elfu uendelee tu kuwapo, binadamu mweusi ni katili Sana na mnyama Kabisa ,yaani mpaka Leo siamini ushenzi uliofanywa na hawa mbwa ccm na vijakazi wao wa kuitwa vyombo vya ulinzi na usalama , kuua watu 10000 with impunity na bado mnarudi na kejeli + no shame / remorse what so ever ................Hii ni level ya ukatili ambayo sijawahi shuhudia Kabisa na sikudhani Kama kuna mtanzania anaweza kuwa na roho mbaya ya kishenzi hiviNadhani kuna namna CIA inabidi irudi enzi zake. Zamani nilikuwa sielewi mission zao ila nimekuja kugundua Africa ina viongozi washenzi sana.