post election events

After the 2020 United States presidential election, the campaign for incumbent President Donald Trump and others filed 62 lawsuits contesting election processes, vote counting, and the vote certification process in 9 states (including Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, Pennsylvania, and Wisconsin) and the District of Columbia.
Nearly all the suits were dismissed or dropped for lack of evidence or lack of standing, including 30 lawsuits that were dismissed by the judge after a hearing on the merits. Among the judges who dismissed the lawsuits were some appointed by Trump himself. Judges, lawyers, and other observers described the suits as "frivolous" and "without merit". In one instance, the Trump campaign and other groups seeking his reelection collectively lost multiple cases in six states on a single day. Only one ruling was initially in Trump's favor: the timing within which first-time Pennsylvania voters must provide proper identification if they wanted to "cure" their ballots. This ruling affected very few votes, and it was later overturned by the Pennsylvania Supreme Court.
Trump, his attorneys, and his supporters falsely asserted widespread election fraud in public statements, but few such assertions were made in court. Every state except Wisconsin met the December 8 statutory "safe harbor" deadline to resolve disputes and certify voting results. The Trump legal team had said it would not consider this election certification deadline as the expiration date for its litigation of the election results. Three days after it was filed by Texas attorney general Ken Paxton, the U.S. Supreme Court on December 11 declined to hear a case supported by Trump and his Republican allies asking for electoral votes in four states to be rejected.
One suit, Michigan Welfare Rights Org. et al. v. Donald J. Trump et al., was brought by black voter groups in Michigan against Trump and his 2020 presidential campaign. Dominion Voting Systems brought defamation lawsuits against former Trump campaign lawyers Sidney Powell and Rudy Giuliani, each for $1.3 billion. Smartmatic brought a defamation lawsuit against Fox Corporation and its anchors Lou Dobbs, Maria Bartiromo, and Jeanine Pirro as well as Giuliani and Powell for $2.7 billion. In the aftermath of the January 6, 2021, attack on the Capitol, several civil suits were filed against Trump, sometimes in combination with other defendants. The plaintiffs include members of Congress, United States Capitol Police officers, and District of Columbia Metropolitan Police officers.
Two criminal cases have also been filed, The State of Georgia v. Donald J. Trump, et al., a racketeering case against Trump and 18 other defendants, and United States v. Donald J. Trump, an election obstruction case in the District of Columbia.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    JamiiForums Tanzania Ukimuona kwa mbali utafikiri hana akili, ukimsogelea ndio utajua kuwa ni mweupe amejaa funza, hakuna utafanya cha kumsaidia!

    Wallah tena nawaambia, ukiwa kwa mbali unaweza kudhani macho na masikio vinakudanganya maana muonekano wake unakufanya udhani ni mtu mwenye busara na maarifa, kichwani kuna nondo za kutosha, na moyoni amejaza utu na upendo! Msogelee sasa, ndio utajua kumbe fala falasi, mbinguni hayupo, akhera...
  2. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hii ni stage ya ngapi ya kuwaangushia CHADEMA lawama za Oktoba 29? Mmesahau kama mliwapiga ban? Safari hii hamchomoki!

    Wakuu, Haki nacheka kama mazuri:BearLaugh::BearLaugh::KEKWlaugh:, mara hii mmeshasahau yote yaliyotokea? Aaah bana mbona mnataka kutupa mpira mapema hivi? Sasa hivi mtakuwa mnalia na kusaga meno huko mliko, yaani wote ambao mngewaangushia lawama mliwapiga ban, sasa hakuna mtu wa kumtupia...
  3. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Wanatapatapa mpaka wanaiombea Tume ya Chande Dua! Watanganyika hatutakubali hiyo ripoti ya mchongo!

    Wakuu, Baada ya kiki kubuma na watu mbalimbali ikiwemo viongozi kuanza kusifia matokeo ya tume ya Chande kabla haijatoka sasa wamekuja na kuiombea dua tume hiyo!😂😂 Aloo, watu wanatapatapa kama wamekatwa vichwa, yaani kwa udhalimu na mauji waliyofanya wanadhani Watanganyika tutakubali kitu...
  4. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Rais Samia ana njia moja tu ya kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi...

    Wakuu, Njia iliyobaki kwa Rais Samia kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi kutokana na mauaji ya Oktoba 29, ni kuangusha lawama zote kwa vyombo vya ulinzi, kisha apishe kiti kuruhusu uchaguzi mwingine kufanyika. Aseme vyombo vya ulinzi vilitenda mauaji yale kwa order zao, either kwa...
  5. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vyama 16 "Kuomba mkutano na Rais Samia", njia ya mkato kuelekea Maridhiano?

    Wakuu, Ikulu wawekea post kuwa Rais Samia ameitikia wito wa wagombea nafasi ya Urais kwa vyama 16. Kwa maneno mengine ni kwamba hawa wagombea ndio wameomba mkutano na Rais Samia ili wajadili pamoja kuhusu hali ya kisiasa na masuala ya maendeleo ya Taifa kwa ujumla. Watu sio wajinga...
  6. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Polisi wenye mitutu wameongezeka jijini Dar, ni maandalizi ya kukabiliana na raia kutokana na matokeo ya Kesi ya Lissu?

    Wakuu, Polisi wameongezeka jijini (Dar es Salaam) kuliko kawaida, maeneo karibu na Mahakama Kuu na sehemu walikokinukisha idadi ya polisi wenye silaha imeongezeka kwa wingi, mpaka wananchi mnabaki kujiuliza kuna nini. Polisi kuwa wengi mtaani huwa haitokei tuu, mara nyingi ni inakuwa ni sababu...
  7. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa mara nyingine Polisi wakanusha matukio ya TFF, wasema hawajafanya uhalifu

    Wakuu, Naona Jeshi la Polisi linatumia nguvu sana kukanusha uwepo wa kundi hili la Tanzania Freedom Fighters badala ya kutuoneyesha wamefanya nini kuwakamata/kuwadhibiti na kurejesha 'amani' nchini. Ni kama vile wanajaribu kuficha kuliko kudili na tatizo! Baada ya ile clip ya kwanza kusema...
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29, 2025 yaongezewa muda mpaka Aprili 3, 2026

    Wakuu, Mambo magumu huko😂🤣🤣, hesabu naona kama zile ya Yanga, hata na kalkuleta bado ngoma mbichiiiii! Hivi kesi ya Lissu inaenda mpaka tarehe ngapi tena?🌚 Jamaa bado anagoma kuingia kwenye Maridhiano ya mchongo? Maana za ndaaaaaaaaani zinasema Lissu ameshafuatwa gerezani zaidi ya mara moja...
  9. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwanini mpaka sasa Salum Mwalimu hajarudisha gari na mlinzi alivyopewa wakati wa 'Uchaguzi'?

    Wakuu, Wagombea wote wa Urais isipokuwa ACT Wazelendo waliokataa, walipewa magari ya kutumia wakati wa kampeni, pamoja na walinzi wa kuwa nao muda wote wa kampeni. Kampeni zikiisha wanatakiwa kurudisha magari hayo pamoja na walinzi waliopewa, ambapo wote wamefanya isipokuwa mmoja, Salum...
  10. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Nimeona video kiongozi wa kikundi Cha uasi Cha kutetea raia akitoa tamko dhidi ya serikali haramu ya tanzania hususani kwawataja sana polisi aisee kumeanza kuchangamka ni moto hii ni screenshot video ipo kwenye hiyo page Instagram ni moto kiongozi ameomba wananchi wakipokee Kwa mikono miwili na...
  11. Msanii

    JamiiForums Tanzania Thadei Kweka aachiwa huru

    Taarifa ya hivi punde... Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo. KWA KINA: Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia...
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Anna Tibaijuka: Tusimpe Shetani nafasi ya kutugawa kupitia propaganda za Udini kwa kuwatuma vijana kushambulia viongozi wa dini

    Mbunge wa zamani wa Muleba Kusini na waziri wa Ardhi katika serikali ya awamu nne Prof. Anna Tibaijuka kupitia ukurasa wake wa Twitter (X) Anaandika; "Wakati tunasubiri Tume ya Uchunguzi kutupa taarifa na majibu ya kina kuhusu mauaji ya 29 Oktoba, uwajibikaji stahiki na mbinu za kuliponya taifa...
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi: Rais Idi Amin alipoanzisha Tume kuchunguza watu kupotea na kutekwa, ripoti haikuwahi kuwekwa hadharani!

    Wakuu, Mwaka 1974, Rais Idi Amin kupitia Tangazo la Kisheria Na. 2 la mwaka 1974 alianzisha Tume ya Uchunguzi kuhusu Watu Waliopotea nchini Uganda, ikiwa ni jitihada ya kuchunguza matukio ya watu kutoweka yaliyoripotiwa tangu alipochukua madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi mwaka 1971. Tume...
  14. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Thadei Kweka achukuliwa na watu wanaodaiwa kuwa Polisi baada ya kuvamiwa nyumbani kwake Moshi

    Wakuu, Kutoka Kisiwa cha Amani mpaka Kisiwa cha Utekaji! Mpaka lini Watanzania tutaacha kuishi wa hofu?! ==== Ameandika Liberatus mtandaoni; "Diaspora mwenzetu mkazi wa USA— Thadei Kweka ametekwa na vikosi vya Samia usiku huu. Polis na watu wasiojulikana wamevamia nyumbani kwake Moshi...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Nini kimempata Nicodemus Julius Loyore baada ya kukamatwa na watu waliojitambulisha kuwa Polisi? Yupo wapi?

    Salam Wakuu, Taarifa zilizombaa ni kuwa toka Nicodemus Julius Loyore akamatwe Disemba 19 akiwa ofisini na watu waliojitambulisha kuwa Polisi, mpaka leo hajulikani yupo kituo gani! Toka siku hiyo ndugu zake wanamtafuta katika vituo vya polisi bila mafanikio yoyote! Kama alikuwa na kosa...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Askofu Rweyongeza: Kuna watu na makundi yanayotumia nguvu, risasi na mabomu ya machozi kwa sababu ya kushindwa hoja

    Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga mkoani Kagera, Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, amesema kuna watu na makundi katika jamii ya leo yanayotumia nguvu, risasi na mabomu ya machozi kwa sababu ya kushindwa hoja, akifananisha tabia hiyo na akina Herode waliokataa kumpokea Yesu Kristo, Mfalme...
  17. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Chande umeonya wanaokwamisha utoaji wa ushahidi; umesahau Polisi walituambia tufute picha na video zote kwenye simu zetu?

    Wakuu, Jaji Chande na Tume yake wanapata wapi hii nguvu ya kuonya wakati polisi walituambia tufute video na picha zote tulizokuwanazo kwenye simu? Tulikuwa tunashushwa kwenye magari wanafanya ukaguzi kwenye simu za watu na kufuta video/picha walizokutana nazo, sasa hili onyo linatoka wapi...
  18. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Imekuwa kawaida Jaji Mkuu na Spika kuhudhuria vikao vya Rais. Ni kama utaratibu wa kidikteta kuwaona wanakuwa washauri wa Rais

    Wakuu, Jaji Warioba ameendelea kuonyesha busara zake. Kama mpaka Spika na Bunge lake wanatoa tuzo kwa Rais, kusifia utendaji wake bora, chombo hicho kitakuwa na uhuru? Jaji Mkuu na Spika kutwa wapo kwenye vikao vya Rais, utasema mihimili hii inajitegemea? Anasema walitoa mapendekezo mazuri...
  19. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Sasa hivi kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli

    Jaji Joseph Warioba amezungumza kupitia Jamhuri TV ambapo amesema sasa hivi kuna uoga mkubwa sana wa kusema ukweli.
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Vyombo vya Usalama vilijiandaa kwa bunduki na risasi? Kwasababu ndiyo wametumia zaidi!

    Akizungumza kuhusu suala hilo, Warioba amesema tathmini ya matumizi ya nguvu inapaswa kuangaliwa kwa uhalisia, hususan kwa kuzingatia idadi ya vifo vilivyotokea. Ameeleza kuwa maandamano yamesababisha vifo vingi, jambo linalozua maswali kuhusu aina ya maandalizi yaliyofanywa na vyombo vya ulinzi...
Back
Top Bottom