Thadei Kweka aachiwa huru

Thadei Kweka aachiwa huru

Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe

P
Msicheze kabisa na damu za watu saa hizi mnatoka waziwazi na kukiri nchi inaendeshwa na genge la wauaji na watekaji.


View: https://x.com/i/status/2007400040143409556

Muone hapo mnafiki mwenzio.
20260103_110750.jpg
 
Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe

P
Ukiishi hapa inabidi uwe chawa utumike kisha utupwe. Mfano Balile sasa hivi kawa chawa wa ajabu, lakini juzi anajiliza gazeti linakumbwa na hali mbaya ya kifedha.
 
Samia ndo aliagiza huyu bwana akamatwe,naona kilichotokea Venezuela Leo kimemuogopesha huyu nyang'au kaona amuachie

Samia the Butcher
Kuna vitu vya kiufundi walivyo fanya na zaidi akiwa ni raia wa nchi inayo jielewe

1. Kosa la kwanza kitomfikisha mahakamani kama Sheria unavyo taka
2. Kumshika wakiwa hawana ushahidi wanacho mtuhumu nacho.
3. Kutoa Uamuzi WA kimahaia batili Kesi ya pasi weldi
4. Kumnyima haki ya kusaini fomu ya kuitaka serikali ya us kupitia unalozi wao kuiona hitaji wake wa msaada wao.

Baada ya hapo ilibidi wamuachie Tu , maana sasa makosa ni ya Polisi we na sio mtuhumiwa
 
Kama kuna mahali US amekosea, ni kuacha nchi kujitawala sijui kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake ya ndani, huu upuuzi umesababisha kuwa na viongozi makatili mno kwenye nchi nyingi hasa za kiafrika. US anatakiwa arudi kwenye nafasi yake. Nchi zirudi kwenye mstari wa demokrasia, ukienda kinyume inachukua hatua chap.
 
America wanajali sana raia wao, huyo mjuba angepotezwa kama wale wengine wa kibongo USA angesema mtafuteni haraka sana na tunamtaka hai au mfu msituletee za kuleta, ingekuwa mtiti sana. Wale wanaweza kutuma kombora kutoka kwao pale Seatle na likalenga shabaha pale mtu alikolala. hawahitaji hata kutumia base yao iliyoko nchi jirani
 
Back
Top Bottom