Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 6,458
- 8,794
Umejiridhisha kuwa ulichoandika ndivyo ilivyo?Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe
P
Umejiridhisha kuwa ulichoandika ndivyo ilivyo?Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe
P
Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini. 😂😂😂😂Taarifa ya hivi punde...
Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.
View attachment 3524678
KWA KINA:
Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia group la "What sup".
Thadei ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania alikamatwa December 28, 2025 usiku na kushikiliwa kituo kikuu cha Polisi (Central) Moshi. December 31, 2025 alipandishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kupewa AMRI ya kutoa password ya simu yake ili polisi waweze kupekua hilo group la "What sup" alikokuwa akifanya uchochezi.
Hata hivyo Thadei alisema hatambui "What sup" ni kitu gani na hana application ya aina hiyo kwenye simu yake. Pia alisema kutokana na unyanyasaji aliofanyiwa na polisi, alipoteza kumbukumbu ya mambo yake mengi ikiwemo password ya simu yake.
Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini.
Jana Mawakili wa Thadei wali-file "Habeas corpus" ili kuwalazimisha Polisi wamfikishe mahakamani. Pia Ubalozi wa Marekani ukataka kujua kwanini Thadei hajasaini "Consular Notification and Access Form" ili waweze kufuatilia kesi yake. Haraka sana Tahdei akapewa fomu ya ubalozi akasaini jana, na leo ameachiwa huru
Asingiziwe nani sasa😂 Maduro?Lakini hii taarifa yako umeongeza chumvi sio kila kitu asingiziwe Rais bwa a
Na usikute aliyeandika hapa ni graduate? Tuna kizazi ambacho hakijui chochote, ila kinajiona kinajua kinajua hatari.Mahakama zinafanya kazi Jumamosi?
Yule mwanasheria aliyesema lazima tamleta Mange sijui hii imekaaje!?Taarifa ya hivi punde...
Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.
View attachment 3524678
KWA KINA:
Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia group la "What sup".
Thadei ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania alikamatwa December 28, 2025 usiku na kushikiliwa kituo kikuu cha Polisi (Central) Moshi. December 31, 2025 alipandishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kupewa AMRI ya kutoa password ya simu yake ili polisi waweze kupekua hilo group la "What sup" alikokuwa akifanya uchochezi.
Hata hivyo Thadei alisema hatambui "What sup" ni kitu gani na hana application ya aina hiyo kwenye simu yake. Pia alisema kutokana na unyanyasaji aliofanyiwa na polisi, alipoteza kumbukumbu ya mambo yake mengi ikiwemo password ya simu yake.
Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini.
Jana Mawakili wa Thadei wali-file "Habeas corpus" ili kuwalazimisha Polisi wamfikishe mahakamani. Pia Ubalozi wa Marekani ukataka kujua kwanini Thadei hajasaini "Consular Notification and Access Form" ili waweze kufuatilia kesi yake. Haraka sana Tahdei akapewa fomu ya ubalozi akasaini jana, na leo ameachiwa huru
Nani kapiga simu? Ubalozi ulimpa support kama raia wake na wakataka asaini zile documents huko mahakamani lakini mkazuia, mkakataa hata mawakili wake wasihudhurie kesi, mkaisikiliza kesi upande mmoja, leo weekend ghafla mmemuachiaKama alivyosema rostam?(inapigwa simu tu)
Lakini kwa kuwa hii mumeipenda mnaihalalisha?
Double standard
Na sisi ni Sovereign kantri?Kaka yangu Paskali.
Je unaichukuliaje taarifa hii?
Kwa nini passport ya Marekani imsaidie Kweka ilihali tuna Katiba bora yenye Bill of Right?
Tutafakari pamoja
Mange aliko huko anachekelea kwa Meno 32, akiona ya Maduro na TrumpYule mwanasheria aliyesema lazima tamleta Mange sijui hii imekaaje!?
Pitia tu comments utamuona aliyesemaNani kapiga simu? Ubalozi ulimpa support kama raia wake na wakataka asaini zile documents huko mahakamani lakini mkazuia, mkakataa hata mawakili wake wasihudhurie kesi, mkaisikiliza kesi upande mmoja, leo weekend ghafla mmemuachia
Ni uoga wenu tu ndio umefanya mmemuachia.
Ameuliza swali zuri. Jkweka alikua na kesi mahakamani, leo kaachiwa kwa dhamana. Unapaswa sasa useme kapataje dhamana Leo jumamosi? Hili utasaidia na wengine kujuaNa usikute aliyeandika hapa ni graduate? Tuna kizazi ambacho hakijui chochote, ila kinajiona kinajua kinajua hatari.
Ila we mzee mnafki balaa 😹😹😹Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe
P
10,000?Sana ,yaani mmarekani na mapungufu yake ila ukiranja wa Ku deal na hawa sokwe watu wanaojiita viongozi Africa aisee mara elfu uendelee tu kuwapo, binadamu mweusi ni katili Sana na mnyama Kabisa ,yaani mpaka Leo siamini ushenzi uliofanywa na hawa mbwa ccm na vijakazi wao wa kuitwa vyombo vya ulinzi na usalama , kuua watu 10000 with impunity na bado mnarudi na kejeli + no shame / remorse what so ever ................Hii ni level ya ukatili ambayo sijawahi shuhudia Kabisa na sikudhani Kama kuna mtanzania anaweza kuwa na roho mbaya ya kishenzi hivi
Mimi nikisema kuwa Trump ndio kkasea aachiwe pia utaamini? Kila mtu anaandika anachojiskia, wewe ishi kwenye uhalisiaPitia tu comments utamuona aliyesema
Ukiishi Marekani tu tayari una 50% chance ya kusurvive mikiki mikiki ya dunia, 50% nyingine ni kudra za Mungu
Chezea unyakuo wewe, wahuni ukiwashika sharubu wanakunyakua usiku usikuWameona kilichomtokea Maduro wameanza kujamba 😂.
Wangefumuliwa mbwa hao mpaka wangeonyesha walizika wapi ndugu zetu 😹Wamepigiwa simu moja tu.
Hakuna cha nywi nywi wala nywi nywi nywi.
Unajichanganya, hapa watu wanaonyesha ni kwa kiwango gani mahakama zetu zinapewa maagizo. Inaonekana ww umeumia kwanini huyu imepigwa simu akaachiwa. Hii ni proof ya alichosema Rostam.Kama alivyosema rostam?(inapigwa simu tu)
Lakini kwa kuwa hii mumeipenda mnaihalalisha?
Double standard