Thadei Kweka aachiwa huru

Thadei Kweka aachiwa huru

Taarifa ya hivi punde...

Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.

Taarifa zaidi zitawajia kuhusu details za kuachiwa kwake huru

View attachment 3524678
Unafikiri kuwa Maduro mwingine ni rahisi.

Hizi task force za kwetu ujinga mtupu. Unamkamata mtu ndiyo unamtafutia kosa ?! Ujinga wa lami
 
Wameona kilichomtokea Maduro wameanza kujamba 😂.
Hii ya Maduro ilinikumbusha "who are you" ya Samia.Ila Samia bwana kichwa maji sana. Wenzake wana hadi Nudes na ma meli ya kutuma ma scud, ma military bases hapo Kenya na Djibouti na kwingine kibao.Hivyo wanaweza mbeba Samia wakitokea tu hapo Manda Kenya wakampeleka mpaka New York bila viza.
 
Kuna jambo haliko sawa hapa.

Nimesoma michango yote hapa zaidi ya ishirini, yote ikisifu na kushangilia Marekani kuwa na nguvu za kuwatia jambajamba hawa waovu.
Sikuona hata mchango mmoja tu ukisema nguvu waliyonayo waTanzania ya kuwatia adabu mashetani hawa!

Inamaana waTanzania kwa ujumla wetu wote ni wanyonge sana!

Hivi kweli tutasubiri wamarekani na wa aina hiyo ndio waje hapa kutuondoa kwenye utumwa huu?

Tuwape nini hao wamarekani waweze kuona kuwa tuna umuhimu wa wao kuja kutuokoa?

Au tuseme hivi: kwa nini tusitumie fursa hii ya kumwokoa Kweka kwa sisi wenyewe kuwaonyesha hao wakubwa kwamba tunahitaji kuungwa mkono tu katika juhudi zetu wenyewe za kujiokoa?

Ni fikra tu zinavuruga kichwa.
 
Daah nchi zao zina viongozi wazalendo wenye akili na kujitambua.
Andiko lako hili limeprove hoja yangu

BTW
Hata mtumie lugha kali au matusi havitamuokoa sponsor wenu na mikono ya HAKI.

Kila mwisho hutokea baada ya mwanzo wake.

Lakini tunamshukuru Mungu kwa kukupatia akili yenye kikomo cha kuvukia barabara
 
Back
Top Bottom