TFF na Bodi ya Ligi mipango yenu ya kuipangia Yanga ratiba ngumu ili idondoshe point imezikwa rasmi, Mungu sio Athumani

Majok majok

JF-Expert Member
Aug 3, 2023
618
1,570
Kwakweli Hawa watu ni makatili sijawai Kuona, walikuwa wametega mtego mbaya sana dhidi ya yanga lakini wameferi na wameshindwa vibaya sana.

Hii ratiba aikupangwa kwa bahati mbaya bali walikuwa wamedhamilia na walikuwa na Nia mbaya kabisa, yanga kacheza na Azam baada ya siku tatu kacheza na singida, baada ya siku 5 kacheza na Simba baada ya siku 3 akasafiri kwenda tanga kucheza na coast union, mechi 4 ngumu ndani ya siku 13.

Wanayejitahidi kumbeba abebeki ni Kama gunia la misumali mgongoni, kacheza jumapili lakini yeye anacheza siku inayofata na Yuko dar lakini anayesafiri ndiye kacheza kabla ni mambo ya kishamba sana haya!

Walikuwa wanajua yanga lazima adondoshe point kwa Azam wakaferi, wakajua waipange mechi ya singida karibu ili kusudi wasipodondosha kwa Azam basi wadondoshe kwa singida kwakuwa watakuwa na uchovu mwingi napo wakapigwa za uso, imekuja mechi ya Simba wakaaibishwa.

Wakapanga yanga ikutane coast union ndani ya siku 3 ili kusudi wakishindwa kudondosha kwenye derby wasafiri kwenda tanga na wakutane na UGUMU wakiwa wametoka kutumia nguvu kubwa kwenye mechi ya derby ili waache point ata sare napo wamelambishwa mchanga🤣🤣🤣

Siku zote Giza aijawai kuishinda Nuru mtaendelea kushindwa Kila mtapokuwa mnapanga mipango miovu na Yanga ni mpango wa mungu, ingekuwa ndio iyo timu yenu imekutana na hii ratiba Sasa hivi mngekuwa mnaomboleza parapanda kolowahed.
 
Hivi nawezaje kukusanya ushahidi na kuupeleka #Fifa hawa #Tff wamezidi sana kuionea Yanga sio mara ya kwanza hii yani haiji akilini kabisa huu udhalilishaji mkubwa sana kwenye mpira wetu.
 
Huu ni upangaji wa matokeo...Tokea ligi imeanza...Lazima kwanza sisi tutangulie kucheza ndio afuate simba...Yaani ajiandae kisaikolojia kwa influence ya matokeo ya yanga.

Kwanini hata moja asitangulie simba..?

Yaani tunaenda mapumziko ya kimataifa na mechi za ligi ya mabingwa kwenye msimamo timu moja ina kiporo...Kulikuwa na sababu gani za msingi kuziahirisha mechi za mashujaa na azam dhidi ya simba...

Yaani tumecheza wote jumapili...Alafu anayecheza dar atacheza alhamisi alafu anayecheza mkoani atacheza kabla yake yaani jumatano...

This is not fair...Ni ratiba ya kimkakati yanga msimu huu asibebe ubingwa.

Na kesho hamtaamini mbeleko atakayobebewa simba.
 
HUU NI UPANGAJI WA MATOKEO...TOKEA LIGI IMEANZA...LAZIMA KWANZA SISI TUTANGULIE KUCHEZA NDIO AFUATE SIMBA...YAANI AJIANDAE KISAIKOLOJIA KWA INFLUENCE YA MATOKEO YA YANGA...

NA KESHO HAMTAAMINI MBELEKO ATAKAYOBEBEWA SIMBA.
Nakwambia hivi wamepigwa pigo ambalo watakuwa wanasimuliana, point 12 ngumu zimechukuliwa awajaamini macho yao nafikiri wanabaki wanasonya tu, hii ilikuwa ni ratiba ya kishenzi sana sijawai Kuona lakini waswahili usema ukimpiga teke chura ndio unamwongezea mwendo, wao ndio wanaitengenezea yanga njia ya kubeba ndoo bila wao kujua wakijua wanaizuia!!!
 
Nakwambia hivi wamepigwa pigo ambalo watakuwa wanasimuliana, point 12 ngumu zimechukuliwa awajaamini macho yao nafikiri wanabaki wanasonya tu, hii ilikuwa ni ratiba ya kishenzi sana sijawai Kuona lakini waswahili usema ukimpiga teke chura ndio unamwongezea mwendo, wao ndio wanaitengenezea yanga njia ya kubeba ndoo bila wao kujua wakijua wanaizuia!!!
Chief hiki Si kitu cha kujisifia, wachezaji wamejitoa hadi nguvu yao ya mwisho na haitakiwi kuwa hivi.

Kinachonikera ni ukimya wa Engineer, hawa mbwa TFF kuendelea kuwakalia kimya kunasabisha wazidi kuongeza vizingiti kwenye mechi zetu. Mf, mdogo msimu wa mwaka juzi Magoli mengi halali ya Mayele yalikataliwa ili tu asiwe mfungaji bora na kweli wakafanikiwa.

Kuna kitu kinaitwa makosa ya kibinadamu ya waamuzi, kama kweli ni makosa ya kibinadamu kwanini Msimu huu karibu kila mechi lazima waamuzi watunyonge hata leo imekuwa hivyo wakati Simba Sc wao wananufaika na maamuzi ya hovyo ya waamuzi?

Engineer Hersi toka usingizini hawa wachezaji wana damu, wanachoka kimwili na kisaikolojia hasa wanapoona mpinzani anabebwa wazi wazi.

Engneeer ita press wachane hao TFF na bodi ya ligi. Usiposema ukweli unakaribisha matatizo zaidi sababu hawa wachezaji kwa huu mwendo ni lazima watadondosha points.
 
Kwakweli Hawa watu ni makatili sijawai Kuona, walikuwa wametega mtego mbaya sana dhidi ya yanga lakini wameferi na wameshindwa vibaya sana...
Na vijana walikuwa na uchovu kweli kweli mipira haikutulia kabisa miguuni na hasa muda , Yao , aucho , Pacome , aziz kii walikuwa 50% ya uwezo wao na max 60%
 
Huu ni upangaji wa matokeo...Tokea ligi imeanza...Lazima kwanza sisi tutangulie kucheza ndio afuate simba...Yaani ajiandae kisaikolojia kwa influence ya matokeo ya yanga.

Kwanini hata moja asitangulie simba..?

Yaani tunaenda mapumziko ya kimataifa na mechi za ligi ya mabingwa kwenye msimamo timu moja ina kiporo...Kulikuwa na sababu gani za msingi kuziahirisha mechi za mashujaa na azam dhidi ya simba...

Yaani tumecheza wote jumapili...Alafu anayecheza dar atacheza alhamisi alafu anayecheza mkoani atacheza kabla yake yaani jumatano...

This is not fair...Ni ratiba ya kimkakati yanga msimu huu asibebe ubingwa.

Na kesho hamtaamini mbeleko atakayobebewa simba.
Bodi ya ligi ni kichaka cha wahuni
 
Back
Top Bottom