NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,783
TFF na Bodi ya ligi mkishakusanya pesa zenu za mapato mkatia kibindoni Basi hamuangalii/hamfikilii ni namna gani wachezaji wamevuja jasho katika mchezo mgumu wa Derby ya kariakoo.
Kabla ya mchezo wa Derby TFF na Bodi ya ligi huwa mnatoa muda mwingi wachezaji wakusanye nguvu lakini Derby ikiisha mnaendelea na ratiba yenu ya siku 3.
Huu NI upuuzi/ujuha Kama mmeamua ratiba ifuatwe Basi msiwape muda wa kupumnzika/kujiandaa kabla ya mechi Kama mnavyofanya baada ya mechi.
Nawasilisha hoja.
Kabla ya mchezo wa Derby TFF na Bodi ya ligi huwa mnatoa muda mwingi wachezaji wakusanye nguvu lakini Derby ikiisha mnaendelea na ratiba yenu ya siku 3.
Huu NI upuuzi/ujuha Kama mmeamua ratiba ifuatwe Basi msiwape muda wa kupumnzika/kujiandaa kabla ya mechi Kama mnavyofanya baada ya mechi.
Nawasilisha hoja.