bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Bila kificho timu inayoongozwa kuchukiwa na kutafutwa na TFF hii ya sasa ni Yanga nakumbuka speech moja ya Rais alidiriki kusema Rais wa TFF ni Simba lia lia bila shaka jamaa anaenda kuprove kwamba yeye ni Simba lialia haswa na hapendezwi na Yanga kufanya vizuri hasa kile kichapo cha goli 5.
Baada ya TFF kuipangia Yanga ratiba ngumu na Yanga kuibuka na point tisa kibabe mbaya zaidi kuipiga timu ya baba kichapo cha mbwa mwizi Tff wamekuja na hili la kumfungia Aucho mechi 3 Mungu alivyomwema Yanga wanaenda kuibuka na pointi Tisa tena.
Tff wanaishi kwa kisasi sana na Yanga ukienda mbali zaidi Tff wanaogopa kivuli cha Eng Hersi wanataka kumwaribia ili Sifa zake nzuri zififie ila hawawezi wameshashindwa hakuna Mwanayanga hajui value ya Eng Hersi. Rais wa Tff yupo nyuma ya haya yote yanayoendelea hujma dhidi ya Yanga.
Wanayanga muwe Imara Tff wakishindwa la aucho watakuja na Plan F ili mradi kuipa unafuu Simba ila chini ya Gamondi yanga wataenda kukwepa mitego yote ya Tff.
Roma ikisema imesema
Baada ya TFF kuipangia Yanga ratiba ngumu na Yanga kuibuka na point tisa kibabe mbaya zaidi kuipiga timu ya baba kichapo cha mbwa mwizi Tff wamekuja na hili la kumfungia Aucho mechi 3 Mungu alivyomwema Yanga wanaenda kuibuka na pointi Tisa tena.
Tff wanaishi kwa kisasi sana na Yanga ukienda mbali zaidi Tff wanaogopa kivuli cha Eng Hersi wanataka kumwaribia ili Sifa zake nzuri zififie ila hawawezi wameshashindwa hakuna Mwanayanga hajui value ya Eng Hersi. Rais wa Tff yupo nyuma ya haya yote yanayoendelea hujma dhidi ya Yanga.
Wanayanga muwe Imara Tff wakishindwa la aucho watakuja na Plan F ili mradi kuipa unafuu Simba ila chini ya Gamondi yanga wataenda kukwepa mitego yote ya Tff.
Roma ikisema imesema