BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Wa kulaumiwa ni jiwe na hii Serikali haramu ambayo haitoi muongozo wowote wa kupambana na hii corona. Angalia nchi za wenzetu viongozi wao walivyo mstari wa mbele wa mapambano dhidi ya corona hapa kwetu ni mwendo wa kuisambaza tu kwa kasi kwa ziara za kipumbavu zisizo na tija kwa Watanzania,
Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa...