Tetesi za Polepole kupewa uongozi wa Juu Nchini

Tetesi za Polepole kupewa uongozi wa Juu Nchini

Dead within 12hrs!!!!!!! For just airing his opinions!!!!!!!. Are you declaring that there is NO rules of law in your country???? This is Ridiculous.
Never underestimate internal power struggle.
Tanzanians are lucky we are not under civil war untill now.
I believe what we are witnessing is not government's doing but few outlaws under rogue faction of insane politicians.
 
What law was broken by Fr. Kitime?
He simply concurred with "No Reforms No Election". May be that could be the main reason.

Why don't you act like Kenyan to deal with hooligans.
 
Salaam Wakuu,

Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.

Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.

Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.

Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.

Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.

Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.

Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu sababu Tanzania ni yetu sote.
Namwona Lisu akipita katikati Yao kama wamesimama
 
Aiseeh machawa huko wameanza KUENDESHA baada ya hii nyuzi kusambaa chini kwa chini...
Sasa
Salaam Wakuu,

Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.

Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.

Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.

Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.

Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.

Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.

Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu sababu Tanzania ni yetu sote.
Sasa wahuni akina chiembe, Lucas mwashambwa wataendaje chooni
 
Hata hao wengine hakuna lolote la maana miaka 60 sasa nchi inanuka umaskini, ni aibu nusu ya watanzania kuwa maskini wa kutupwa
Miaka 4 hii ya Samia amejatibu Kwa sehemu kubwa kuwekeza Rasilimali na maboresho kubadili Hali za maisha za hayo makundi.

1.Hakuishia tuu kutoa ruzuku za pambejeo Kwa wakulima Bali ameenda mbali zaidi Kwa kuwajengea maelfu ya ekari za Umwagiliaji,kuwachimbia visima na kuwatagutia masoko.Kilimo.kwa Sasa ni biashara sio adhabu.

2.Ameletaaboresho makubwa sana kwenye biashara kiasi kwamba hakuna mtu aliyedhukumiwa Kwa Kodi Wala hawakubanwa sana.
Ni katika awamu hii ndipo Kila rekodi imewekwa na kuvunjwa ya watu kufanya maendeymakubwa sana.

3.Kwa Watumishi Kila mtu anajua maelfu ya ajira,kurekebisha vikokotoo vya kina Slowslow na kundi lake,kuongezea mishahara,kupandisha madaraja,kufuta wizi wa bidi ya mikopo nk

4.Chadomo wanapata nafasi ya kupayuka ni Kwa vile Samia sio muhafidhina pamoja na Changamoto zote ila wanajua waliokuwa na pengine yatakahowapata in case Samia hagombei tena.

Niko palee nitakuwa nawakumbusha hatua Kwa hatua
 
Salaam Wakuu,

Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.

Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.

Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.

Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.

Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.

Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.

Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu sababu Tanzania ni yetu sote.
Pale unapofikiria unaua upinzani kumbe unazalisha upinzani wenye nguvu zaidi na wa kukutetea anakuwa hayupo.

Somo zuri sana hili.....
 
Never underestimate internal power struggle.
Tanzanians are lucky we are not under civil war untill now.
I believe what we are witnessing is not government's doing but few outlaws under rogue faction of insane politicians.
Why the Citizen can't mobilize themselves to out smart the hooligan Leaders. Seems the Citizens are sick, if not suffering from mental health.
 
Miaka 4 hii ya Samia amejatibu Kwa sehemu kubwa kuwekeza Rasilimali na maboresho kubadili Hali za maisha za hayo makundi.

1.Hakuishia tuu kutoa ruzuku za pambejeo Kwa wakulima Bali ameenda mbali zaidi Kwa kuwajengea maelfu ya ekari za Umwagiliaji,kuwachimbia visima na kuwatagutia masoko.Kilimo.kwa Sasa ni biashara sio adhabu.

2.Ameletaaboresho makubwa sana kwenye biashara kiasi kwamba hakuna mtu aliyedhukumiwa Kwa Kodi Wala hawakubanwa sana.
Ni katika awamu hii ndipo Kila rekodi imewekwa na kuvunjwa ya watu kufanya maendeymakubwa sana.

3.Kwa Watumishi Kila mtu anajua maelfu ya ajira,kurekebisha vikokotoo vya kina Slowslow na kundi lake,kuongezea mishahara,kupandisha madaraja,kufuta wizi wa bidi ya mikopo nk

4.Chadomo wanapata nafasi ya kupayuka ni Kwa vile Samia sio muhafidhina pamoja na Changamoto zote ila wanajua waliokuwa na pengine yatakahowapata in case Samia hagombei tena.

Niko palee nitakuwa nawakumbusha hatua Kwa hatua
Umeniandikia mambo ya uongo uongo, alafu namba 4 ukaweka uongo zaidi. Chadema ipi hiyo imepata nafasi wakati wa Samia? Unajua kuwa chadema kwa Mara ya kwanza imezuiwa kabisa kufanya siasa kwa muda usiojulikana.
Bila aibu kabisa chama kizima kinazuiliwa kufanya siasa kwa muda usiojulikana, alafu unakuja kuandika story za uwongo
 
Umeniandikia mambo ya uongo uongo, alafu namba 4 ukaweka uongo zaidi. Chadema ipi hiyo imepata nafasi wakati wa Samia? Unajua kuwa chadema kwa Mara ya kwanza imezuiwa kabisa kufanya siasa kwa muda usiojulikana.
Bila aibu kabisa chama kizima kinazuiliwa kufanya siasa kwa muda usiojulikana, alafu unakuja kuandika story za uwongo
Kuna kesi mahakamani,unajisahaulisha? Kwamba Chadomo mnataka kurudi Kwa kina Mwendazake au muendelee na Samia?

Pili hayo mengine ya uongo yataje twende Kwa mifano na takwimu nikutoe knockout maana haya ndio mambo Huwa nataka tujadili.

SSH mtamshinda Kwa fitina na sio kwenye ground
 
Kuna kesi mahakamani,unajisahaulisha? Kwamba Chadomo mnataka kurudi Kwa kina Mwendazake au muendelee na Samia?

Pili hayo mengine ya uongo yataje twende Kwa mifano na takwimu nikutoe knockout maana haya ndio mambo Huwa nataka tujadili.

SSH mtamshinda Kwa fitina na sio kwenye ground
Hiyo kesi mahamakamani inahusianaje na chadema kuzuiwa kufanya siasa?

Hayo mambo mengine ya takwimu yanayohusu nini?
Umeamini wa Tanzania umeongezeka
Weka takwimu za umaskini Tanzania kutoka 2010 hadi sasa 2025, uone kamma umaskini umepungua au unazidi kuongezeka
 
Back
Top Bottom