Tetesi: Mabalozi wakubali DOWANS kulipwa

source please otherwise UDAKU

Huu ni udaku. Kama ni kweli basi ni upuuzi kuweka taarifa nzito kama hii bila kuweka source. JF ina matatizo sana siku hizi. Tunawasema akina Michuzi wakati tunaendeleza utumbo huo huo.
 
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.

Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.

Alaa kumbe.......
 
All in all Tanzania ni sovereign state sasa habari ya kuwasikiliza a kina mjomba ndo watusemee Je walikuwa wapi wati wapwa za wanjiingiza mkenge mbona hawakutoa ushauri? FYA!!!
 
habari za kiintelijensia zinaniambia GeniusBrain ni girlfriend wa Zomba.... siwezi shangaa thread hii
 
Hii habari haimek sense, no wonder hata source haina.

Hata kama ndio hawa mabalozi wameazimia hivo, nchi ni yetu na pesa ni yetu, ni aibu kwao kusapoti huu uizi wa mchana kweupe ilhali hata 10% tu ya watz hawana umeme wa uhakika..shame on them..wanajifanya watu wa principle wanataka tuondoe nzi kwene kikombe huku wakishangilia tukimmeza ngamia! (eeh nakumbukia sande skuli)
 
so kumbe tunaongozwa na mabalozi eti?
na utashangaa jk anasema bora tulipe maana tume shauriwa hivo na mabalozi
 
SOURCE HAPA NI MUHIMU MKUU.
Pia nchi yetu haindeshwi na mabalozi wala hatuna haja ya kusikiliza upepo wa mabalozi!!
Mbona china hamnaga huo ujinga!!! We are differ in culture, economic level and everything so wao kama wanaona kuna haja watumie hela zao kulipa.
Hao hao mabalozi ndo wezi na ndo wanaotuingiza mkenge kwenye haya makampuni feki ya nje......ishu ya rada, ndege ya rais, richmond na dowans zote ni kampuni za nje ambazo mabalozi wangetakiwa watupe ushahidi before wa kuwepo kwa hizi kampuni.
 
habari za kiintelijensia zinaniambia GeniusBrain ni girlfriend wa Zomba.... siwezi shangaa thread hii

hahahahaha,hakyanani intelijensia zina fanya kazi katika tanzania na ni wakati wake kuzisikia kwa sasa nakwambia kila sehem yani duh
 
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.

Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.

Naona wewe na mabalozi mngengojea tarehe moja april, mbona mapema mno
 
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.

Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.

Kama wanakubaliana na hiyo hukumu wanaweza kutulipia then watupige panga kwenye misaada wanayotaka kutupatia...
 
Wao wanavyo sema tuheshimu sheria za kimataifa tulizo ziridhia. Sasa waweza kuacha hizo bilioni 94 , na ukanyimwa misaada ya trillion 1, kipi bora ? mie naona tulipe tu nakubaliana nao

Misaada, misaada, misaada... hivi wabongo tumenyimwa genius brains ya kuepukana na misaada na kuweza kujitegemea sisi wenyewe?! Halafu nani atakaye kupa trillioni 1 hapa duniani.. hata kama ni za madafu??
 
Back
Top Bottom