Ama kweli wahenga walisema: Wajinga ndio waliwao. Huyu GeniusBrain ameleta hii mada kama tetesi alafu hapo hapo anasema imechapishwa euronet ambako mpaka sasa hakuna ambae ameiona. Dah!
Sasa mjinga ni nani? Huyu anaitwa GeniusBrain, sawa. Jaribu kufikiri kidogo tu, a GeniusBrain who is brain washed uko mpaka hapo, katumwa ajaribu kutingisha kiberiti, kweli kuna wajinga ndio wali wao hapo? ushauri wangu ni kumsaidia kufanya kazi yake iliaweze pata taarifa ya uhakika na kweli.