...Alberto,
Unatuangusha ndugu kwa kudandia gari kwa mbele! Unauhakika gani hayo hapo juu ni maoni ya mabalozi? waliyatoa wapi na kwa nani? mtoa mada kakurupuka tu na kulibwaga thread hapa, huko anakusema ni chanzo cha hii habari hakuna chochote cha aina hii!
BWT: Habari za miaka mingi......! nice to see you here man!
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.
Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.
Kaka, inawezekana habari hii imepotoshwa na mimi nikamuamini aliyeileta. Kama si kweli kipengele cha 'mabalozi wako sahihi' nakifuta. Lakini bado hayo mengine jaribu kuyatafakari.
My no. 0785533433 or 0767
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.
Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.
Wao wanavyo sema tuheshimu sheria za kimataifa tulizo ziridhia. Sasa waweza kuacha hizo bilioni 94 , na ukanyimwa misaada ya trillion 1, kipi bora ? mie naona tulipe tu nakubaliana nao
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.
Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.
Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.
Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini wakiwamo wa Jumuiya ya Ulaya (EU) wametoa maoni yao na kuafiki kuwa DOWANS walipwe, kwani hukumu hiyo imetolewa na mahakama ambayo wao wanaiheshimu ya ICC.
Kutokana na hivyo basi, wameitaka Tanzania kuheshimu mikataba ya kimataifa ambayo wameiridhia, ili kuimarisha utiifu wa sheria za kimataifa na kuwajibika nazo. Wametoa madhara ya kutofuata sheria za kimataifa ni pamoja na nchi wahisani kukosa imani na serikali na hivyo kupunguza au kuondoa misaada yao ili kuishinikiza serikali kufuata misingi ya utawala bora ya kimataifa.