Drifter
JF-Expert Member
- Jan 4, 2010
- 4,436
- 4,151
Ndugu yangu bado hujaifahamu nguvu (clout) ya CHADEMA ilivyokuwa nyuma ya “sauti ya zege”. Leo hii huko bungeni anafanyiwa madharau na kina Tulia kama mtoto aliyeokotwa mitaani. Anaongea point nzito lakini anazimwa na kukumbushwa kumshukuru mwendazake kwa kuwepo kwake bungeni.Katika ile list ya kina Dr Mashinji, Paskali,mwijaku, Kayuni, Yusufu mwenda hakuna anaeuweza moto wa sauti ya zege Halima James Mdee. Hakuna hata wa kusimama nae kwenye podium na kufanya mdahalo. Halima ni mashine na kawe walimkubali japo alikuwa na mapungufu ya ubishoo lakini CCM ya mama inahitaji team ya Ushindi na Halima ndio mpiga ngoma mwenyewe sasa.
Ajaribu kuvaa kijani halafu apite mitaa ya Kawe utauona huo mrejesho. Ataangaliwa kama msukule wa mtukufu Rashid. Itabidi dola itumike na kura za viroba ziletwe kumpa angalau uhai fake wa kisiasa.