Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni hakuna namna, ili mtu upite katika mchakato kama huo, ni lazima ufanye mambo!.
Hivyo naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kuomba tena tiketi ya kusimamishwa na chama changu CCM, kuwania kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu, ila kwa vile mwaka 2022 ni mwaka wa uchaguzi wa ndani wa CCM, nitawania nafasi ambazo wajumbe sio determinant.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source, zinaweza kuwa ni za kweli, au sometimes ni uongo, uzushi, fitna na majungu tuu!. Mimi kama mwandishi wa habari, ukipata tetesi kama hii, nilipaswa kuitreat as a news tip, nilitakiwa kuifanyia kazi kwa kui verifies kwa kui check na cross check from reliable sources, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye the world of information age, na sisi mtandao huu wa jf, kwa miaka mingi umejitengea reputation ya be the first to know, nimeileta hii humu jf, kukupa wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know. Na kwa msio nifahamu, hii sio mara yangu ya kwanza kuleta tetesi humu jf, halafu tetesi hiyo ikaja kuwa kweli. Wakati Watanzania wakisubiria kumjua mgombea urais wa CCM wa uchaguzi Mkuu wa 2015, wana jf walikuwa wa kwanza kumjua, wao walimjua toka mwaka 2014!.

Chanzo cha Tetesi
Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Japo mimi ni naunga mkono chanjo na siungi mkono viongozi wa umma kugomea chanjo waziwazi na hadharani



Kama tetesi hii ni kweli, kwa vile chanjo ni hiyari, jee kwenye hili la chanjo, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?!.

Kama ni msimamo wake ni kupinga chanjo ya Corona, waziwazi kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.
Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga chanjo with facts na wasikilizwe na sio watishiwe kupokwa ubunge!.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu, nilidhani JPM alimaliza yale mambo ya Chama changu CCM, kugubikwa na mambo ya majungu, fitna, zengwe, na zile sayansi jamii!. Namuomba Mwenyekiti wangu atumie kiti, asiruhusu hili litokee, japo with CCM, anything is possible!, maana nikiikumbuka ile list ya watu 176, na kulikuwa na watu wazuri ajabu, very credible, unashangaa aliyepitishwa alipita pitaje, hivyo pia sitashangaa kama utatumika mlango ule ule alioingilia, kutokea!.

Lets wait and see.

Nawatakia maandalizi mema ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya.

Paskali
Kabla ya kufanya maamuzi, mkumbuke vijana wengi wa Kawe wameshachukuwa passport wanasubiri safari ya Marekani, na kundi lingine kubwa wanasubili boti za uvuvi ili wajiunge kwenye ujasiriliamali wa uvuvi.

Kama hamjatowa mtekeleze hizi ahadi kwanza za bwana Rashid.
 
kwa upepo unavyokwenda sioni gwajima akisalimu.

katika kipindi hiki cha karibuni amekuwa kama mtu mwenye kusubiri aguswe aseme kitu.
anyway mwili wake sio mali ya ccm.
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni hakuna namna, ili mtu upite katika mchakato kama huo, ni lazima ufanye mambo!.
Hivyo naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kuomba tena tiketi ya kusimamishwa na chama changu CCM, kuwania kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu, ila kwa vile mwaka 2022 ni mwaka wa uchaguzi wa ndani wa CCM, nitawania nafasi ambazo wajumbe sio determinant.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source, zinaweza kuwa ni za kweli, au sometimes ni uongo, uzushi, fitna na majungu tuu!. Mimi kama mwandishi wa habari, ukipata tetesi kama hii, nilipaswa kuitreat as a news tip, nilitakiwa kuifanyia kazi kwa kui verifies kwa kui check na cross check from reliable sources, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye the world of information age, na sisi mtandao huu wa jf, kwa miaka mingi umejitengea reputation ya be the first to know, nimeileta hii humu jf, kukupa wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know. Na kwa msio nifahamu, hii sio mara yangu ya kwanza kuleta tetesi humu jf, halafu tetesi hiyo ikaja kuwa kweli. Wakati Watanzania wakisubiria kumjua mgombea urais wa CCM wa uchaguzi Mkuu wa 2015, wana jf walikuwa wa kwanza kumjua, wao walimjua toka mwaka 2014!.

Chanzo cha Tetesi
Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Japo mimi ni naunga mkono chanjo na siungi mkono viongozi wa umma kugomea chanjo waziwazi na hadharani



Kama tetesi hii ni kweli, kwa vile chanjo ni hiyari, jee kwenye hili la chanjo, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?!.

Kama ni msimamo wake ni kupinga chanjo ya Corona, waziwazi kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.
Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga chanjo with facts na wasikilizwe na sio watishiwe kupokwa ubunge!.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu, nilidhani JPM alimaliza yale mambo ya Chama changu CCM, kugubikwa na mambo ya majungu, fitna, zengwe, na zile sayansi jamii!. Namuomba Mwenyekiti wangu atumie kiti, asiruhusu hili litokee, japo with CCM, anything is possible!, maana nikiikumbuka ile list ya watu 176, na kulikuwa na watu wazuri ajabu, very credible, unashangaa aliyepitishwa alipita pitaje, hivyo pia sitashangaa kama utatumika mlango ule ule alioingilia, kutokea!.

Lets wait and see.

Nawatakia maandalizi mema ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya.

Paskali
Subiri 2025 Mzee ujaribu tena bahati yako😀
 
Wanabodi,

Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni hakuna namna, ili mtu upite katika mchakato kama huo, ni lazima ufanye mambo!.
Hivyo naomba bandiko hili lisichukuliwe kama fursa ya mimi kumchafua Gwajiboy ili atemwe, nigombee tena!. Naomba ku declare my interest, sina mpango wowote kuomba tena tiketi ya kusimamishwa na chama changu CCM, kuwania kugombea ubunge wa Kawe hata bure, Wajumbe walichonifanya ile 2020, kimenitosha, sitathubutu tena kujaribu, ila kwa vile mwaka 2022 ni mwaka wa uchaguzi wa ndani wa CCM, nitawania nafasi ambazo wajumbe sio determinant.

Kuhusu Tetesi
Ni habari unazozisikia juu juu sio kutoka any reliable source, zinaweza kuwa ni za kweli, au sometimes ni uongo, uzushi, fitna na majungu tuu!. Mimi kama mwandishi wa habari, ukipata tetesi kama hii, nilipaswa kuitreat as a news tip, nilitakiwa kuifanyia kazi kwa kui verifies kwa kui check na cross check from reliable sources, lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye the world of information age, na sisi mtandao huu wa jf, kwa miaka mingi umejitengea reputation ya be the first to know, nimeileta hii humu jf, kukupa wewe mwana jf, ile the jf advantage to be the first to know. Na kwa msio nifahamu, hii sio mara yangu ya kwanza kuleta tetesi humu jf, halafu tetesi hiyo ikaja kuwa kweli. Wakati Watanzania wakisubiria kumjua mgombea urais wa CCM wa uchaguzi Mkuu wa 2015, wana jf walikuwa wa kwanza kumjua, wao walimjua toka mwaka 2014!.

Chanzo cha Tetesi
Kwa msio fahamu, mimi na kampuni yangu ya PPR ni wahanga wa mdororo wa uchumi uliosababishwa na Covid 19. Hivyo nililazimika kuuza magari yote, na sasa usafiri wangu ni TZ 11, Boda Boda, Dala Dala na mara moja moja Uber na Bolti.

Leo nikaita Bolt fulani, kumbe ni bolt ya kada. Kada akaona jina langu, hivyo nilipoingia tuu ndani ya gari, dereva akanisalimia kwa kunichangamkia, na kuniuliza, vipi haujaribu tena?, jimbo limeisha tangazwa kichini chini liko wazi!. Askofu Gwajima amemwagwa rasmi, ila haijatangazwa rasmi!.

Mtoaji habari wangu akasema Salama pekee ya Askofu Gwajima kuendelea na ubunge wake wa Kawe ni kujitokeza kuchanjwa hadharani, vinginevyo, it's a gone case!.

"Hivyo kama bado uko interested na Kawe jimbo liko wazi wewe tuu!.

Nilimweleza ukweli wangu, I'm not interested!.

My Take.
Japo mimi ni naunga mkono chanjo na siungi mkono viongozi wa umma kugomea chanjo waziwazi na hadharani



Kama tetesi hii ni kweli, kwa vile chanjo ni hiyari, jee kwenye hili la chanjo, Askofu Gwajima kosa lake ni lipi?!.

Kama ni msimamo wake ni kupinga chanjo ya Corona, waziwazi kwa vile chanjo ni hiyari, wanao support Chanjo waeleze umuhimu wa chanjo.
Ila pia wapinga chanjo with facts, waruhusiwe kuipinga chanjo with facts na wasikilizwe na sio watishiwe kupokwa ubunge!.

Gwajima avuliwe ubunge kwa kosa lipi?. Hii tetesi itakuwa ni uongo tuu, nilidhani JPM alimaliza yale mambo ya Chama changu CCM, kugubikwa na mambo ya majungu, fitna, zengwe, na zile sayansi jamii!. Namuomba Mwenyekiti wangu atumie kiti, asiruhusu hili litokee, japo with CCM, anything is possible!, maana nikiikumbuka ile list ya watu 176, na kulikuwa na watu wazuri ajabu, very credible, unashangaa aliyepitishwa alipita pitaje, hivyo pia sitashangaa kama utatumika mlango ule ule alioingilia, kutokea!.

Lets wait and see.

Nawatakia maandalizi mema ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya.

Paskali

Pascal ! Naunga mkono Gwajiboy kutimuliwa ubunge wa kawe kwani he has and is doing absolutely nothing for the constituency !! Misimamo yake inatugharimu sisi wana kawe, hafanyi lolote zaidi ya kiburi dhidi ya mamlaka na kuendeleza misimamo ya Hayati Magufuli ! If it were me on the helm this guy should have been kicked out unceremoniously !

But anyways the biggest problem is your bogus party CCM and really wonder why and how wewe mwandishi wa habari mkongwe bado unajinasibu na lichama chafu kama hilo ! Majizi makubwa ! Malaghai ! Matapeli ! Mafisadi ! Pascal dont you feel ashamed of yourself to identify and associate with such a party ?

May be na wewe ni mnufaika wa maovu hayo makubwa ya liCCM ? I really cant understand why a descent individual would still stick to this horrible and dirty organisation ! Anyway ndio demokrasia yenyewe japokua kwenye maelezo yako mwenyewe unaonesha wazi mchakato wa kumpata mgombea wa kawe haukua safi !

Kawe alioicha Halima Mdee imebaki vilevile even kudorora zaidi kwa huyu muhuni Gwajiboy ! Jimbo kubwa kama hili nothing is happening kuleta maendeleo kweli !! Mnatia hasira sana but one definite day mtakuja kujibu nyie madhalimu !
 
Misukule haiwezi kupata corona, waumini wa gwajima wote ni misukule. Kazi yao ni kushangilia maujinga yote yanayozungumzwa na mkona wa baunsa
Wewe ulishawahi kupata korona? kama bado unaingia kwenye kundi la misukule na kama tayari na hukufa jua hiyo korona si kitu ila mnapigwa chanjo ili watu watimize malengo yao na baada ya muda mtakuwa sawa kabisa na kuku wa nyama bila chanjo hakuna maisha.
 
Imeandikwa “Kila silah yeyote itakayotumika haitaweza kufanikiwa “
“Ninayaweza mambo yote kwa yeye anitiaye Nguvu”
“Sitaweka Magonjwa kama nilivyoweka kwa wamisri Mimi ndimi Bwana nikuponyae”
 
Halima akivaa kijani huko Kawe itabidi kura za maboksi zitumike kumpitisha.

Gwajima siasa ndio basi tena. Waliomweka CCM na Kawe (jiwe na bashite) hawapo kwenye ramani tena. Bora aendelee na kipaji chake cha kugawa ufufuo na uzima tu.
Katika ile list ya kina Dr Mashinji, Paskali,mwijaku, Kayuni, Yusufu mwenda hakuna anaeuweza moto wa sauti ya zege Halima James Mdee. Hakuna hata wa kusimama nae kwenye podium na kufanya mdahalo. Halima ni mashine na kawe walimkubali japo alikuwa na mapungufu ya ubishoo lakini CCM ya mama inahitaji team ya Ushindi na Halima ndio mpiga ngoma mwenyewe sasa.
 
Chanjo hazifai! JPM alitangaza mbona hakuitwa kuhojiwa hata na chama?
Hangaya Kikwete anamudanganya Sana,CCM ilikuwa imufie mikononi Sasa wewe ukiamua kwa kudemuka uanze fukuzafukuza itakufia wewe.
Kumbuka wewe huna mizizi yoyote kwenye chama.

Hujiulizi tu wajumbe waliimba mbele yake tunaimani na Lowassa?

Halafu wewe ndo unamuona Kama ndo tumaini lako namuna ya kuiongoza nchi🤣🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom