Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 3,720
- 6,774
Tetemeko LA ardhi limeutikisa mji wa Mpanda,katavi muda huu.
Tupate taarifa zaidi please.
=====
Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 4.6 katika vipimo vya Ritcher, limeyakumba maeneo ya Katavi na Mpanda.
Bado madhara ya Tetemeko hilo hayajafahamiaka.
Tupate taarifa zaidi please.
=====
Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 4.6 katika vipimo vya Ritcher, limeyakumba maeneo ya Katavi na Mpanda.
Bado madhara ya Tetemeko hilo hayajafahamiaka.