Maria Florida ameeleza furaha yake baada ya kujifungua salama mtoto wake wa nne kwa njia ya upasuaji wakati tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 likitikisa eneo la Nusa Tenggara Mashariki mwa Indonesia.
Tetemeko hilo lilitokea Agosti 15, 2026 na kuleta madhara makubwa mashariki mwa Indonesia...
Tetemeko kubwa la ardhi lenye nguvu ya 7.4 limeikumba sehemu ya magharibi mwa Colombia, likisababisha uharibifu mkubwa wa majengo na vifo vya zaidi ya watu 100.
Tetemeko hilo lilitokea Jumatatu, Agosti 10, 2026, huku kitovu chake kikielezwa kuwa karibu na San José del Palmar, katika eneo la...
Watu Wengi Wahofiwa Kukwama Baada ya Jumba la Biashara Kuporomoka Kufuatia Tetemeko la Ardhi Nchini Japani, Maafisa Wasema
Waokoaji walikuwa katika mbio dhidi ya wakati kuwatafuta watu na kuzima moto baada ya tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.8 kwenye kipimo cha Richter kupiga mkoa wa...
Katika matukio ya kutisha yaliyotokea wakati wa tetemeko la ardhi nchini Venezuela, mtoto mdogo anayejulikana kama Mateo anaripotiwa kunaswa chini ya vifusi baada ya majengo kuporomoka.
Katika giza nene na hali ya hofu, rafiki yake wa karibu, mbwa aina ya Golden Retriever aitwaye Max...
Watu wasiopungua 188 wamefariki na zaidi ya 1,500 wamejeruhiwa kufuatia matetemeko makubwa ya ardhi yaliyofuatana nchini Venezuela, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde.
Waokoaji wanatafuta kwenye vifusi huko Caracas na katika jimbo la La Guaira, ambapo Umoja wa Mataifa (UN) unasema zaidi ya...
Muda huu tetemeko limepita na inaonesha ni la kiwango kikubwa kiasi kulingana na mtetemo niliousikia. Sijafuatilia maeneo mengine ila kupitia uzi huu tunaweza kuhabarishana zaidi.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotelewa na vyombo vya habari Al Jazeera na Reuters kumetokea tetemeko la ardhi Afghanistan usiku wa kuamkia September 1, 2025 lenye ukubwa wa Ritcher 6.0 na kusababisha idadi ya vifo takribani 800 na majeruhi zaidi ya 2,800. Idadi hiyo imekuwa ikiongezeka zaidi ya...
Tetemeko la ardhi lime tokea Iran siku ya leo majira ya saa tatu asubuhi lenye ukubwa wa magnitude 5.5 kwenye jimbo la Qom ambalo lipo karibu na Fordow nucleur site.
Hakuna ripoti ya majanga japo inahisiwa kuna kitu kilikuwa kinajaribishwa
Mnamo mwaka 2017 korea kazkazini walijaribisha Atomic...
Mungu ameweza kuwaepusha wataruki na maafa baada ya mtetemeko mkubwa kuikumba Leo jiji Lao kubwa la Istanbul.
Cha kumshukuru Mungu hakuna kifo Bali majeruhi hasa watu waliokuwa wakijirusha kutoka ghorofani kuofia kuangukiwa Na majengo.
Syria kaska
Licha ya kutokuwepo na maafa pia serikali ya...
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.7 limetikisa Myanmar leo na Thailand na kusababisha hali ya dharura kutangazwa katika nchi zote mbili.
Hadi sasa watu elfu Moja wamefariki huko Mynmar na wengine wengi Bado wamenasa kwenye vifusi.
Jijini Bangkok, jengo la ghorofa lililokuwa likijengwa...
Kwa kweli nalilaani tetemeko la ardhi lililotokea Bukoba na kusababisha vifo vya baba, mama, bibi, anko, shangazi na wadogo zangu. Pia ninalaani vikali wale waliotumia rambi rambi zilizochangwa na ndugu na jamaa wema kwa wahanga wa tetemeko kutumika kuboresha magereza mkoani Kagera.
"Hivi...
Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 4.6 lililohisiwa katika sehemu mbalimbali za Iran linaibua wasiwasi kuwa huenda lilikuwa jaribio la silaha za nyuklia. Kituo cha kugundua mitetemeko cha Armenia kiliripoti kutokuwepo kwa mitetemeko midogo ya baadae, na tukio hilo la kitetemeko, ambalo lilitokea...
Nipo mapumziko mkoani Tabora wakuu, tetemeko ndio kwanza limemalizika kupita hapa mkoani Tabora.
Vipi huko kwenu hali ipoje, na hakuna madhara..?
Pia soma:
Tetemeko kali la Ardhi latikisa Mkoa wa Songwe
Tetemeko kali la Ardhi latikisa Mkoa wa Songwe
Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani...
Majiria ya saa saba na dakika ishirini na moja hivi (7:21) leo tarehe 5 June 2024 limepita tetemeko dogo la ardhi hapa Moshi vijijijji maeneo ya Kilema (haijajulikana maeneo mengine).
Mtikiso huo uliodumu kwa sekunde moja hivi haukuwa na madhara yoyote na hata hivyo kuna uwezekano kuwa watu...
Ndugu zangu Watanzania,
Nikiri wazi kuwa Tangia nimepata fahamu vyema mpaka hapa nilipofika sijawahi kushuhudia Tetemeko kali la Ardhi kama nililoshuhudia usiku huu wa manane. Ni Tetemeko kali,,kubwa na la ajabu sanaa kuwahi kushuhudia.limetetemesha na kuitikisa nyumba mpaka nikaona mlango...
Hali ikoje huko uliko?
Hapa Moro limepita tetemeko la ardhi na dakika kadhaa kabla yake wamesikika kuku, mbwa wakitoa milio iliyoashiria kuwepo kitu kisicho cha kawaida.
Tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa 6.2 Richa limesababisha vifo vya Watu 105 katika Jimbo la Gansu, vifo 11 katika Jimbo la Qinghai na kujeruhi wengine 250.
Imeeleza kuwa Nyumba 4,782 zimeathirika na zoezi la uokoaji linaendelea.
Mamlaka za Serikali zimetoa angalizo kuwa mitetemeko zaidi...
Tetemeko jipya la ardhi limekumba magharibi mwa Afghanistan - siku kadhaa baada ya mitetemeko miwili mikubwa katika eneo hilo kuua zaidi ya watu 1,000.
Shirika la Utafiti wa Jiolojia la Marekani (USGS) linasema kuwa tetemeko hilo la ukubwa wa 6.3 lilipiga karibu na mji wa Herat. Ilikuwa katika...
Nipo mitaa ya 88 mji kasoro bahari mida hii 12:31 - 12:32 Pm limepita tetemeko la ardhi japo kipimo chake hakijajulikana, labda mamlaka husika zitasema.
Enjoy your day guys
Pia soma:
Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani Tabora
Tetemeko dogo la ardhi limepita Moshi majira ya saa 7:21...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.