Tetemeko la ardhi la takribani sekunde Moja limepita mkoani Arusha na Manyara

wankuru nyankuru

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
491
763
Takribani saa 6:40 majira ya jioni mkoani Arusha na Manyara limepita tetemeko la ardhi.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika maeneo yao ( majumbani) wameshuhudia ardhi ikitetema kama mayele Kwa takribani sekunde Moja hivi.

Na wengine wakibaki na maswali wakitaka kujua Chanzo Cha tetemeko hilo. Wengine wakisema labda mlima wa volcano wa oldonyo lengai uliopo ngorongoro unafanya majaribio na wengine wakisema labda ndani ya bonde la ufa la ukanda wa kaskazini Kuna mambo yanafanyiwa majarmajaribio.

Na wengine wakilihusisha na ujio wa mvua za elinino zilizotabiriwa kunyesha miezi ijayo.

Je, mamlaka husika Zinasemaje kuhusu tukio hili???
 
Takribani saa 6:40 majira ya jioni mkoani Arusha na Manyara limepita tetemeko la ardhi.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika maeneo yao ( majumbani) wameshuhudia ardhi ikitetema kama mayele Kwa takribani sekunde Moja hivi.

Na wengine wakibaki na maswali wakitaka kujua Chanzo Cha tetemeko hilo. Wengine wakisema labda mlima wa volcano wa oldonyo lengai uliopo ngorongoro unafanya majaribio na wengine wakisema labda ndani ya bonde la ufa la ukanda wa kaskazini Kuna mambo yanafanyiwa majarmajaribio.

Na wengine wakilihusisha na ujio wa mvua za elinino zilizotabiriwa kunyesha miezi ijayo.

Je mamlaka husika Zinasemaje kuhusu tukio hili???
Tetemeko la ardhi ni janga la asili ambalo linatokea naturally. Arusha na Manyara hiyo mikoa imepitiwa na bonde la ufa la mashariki (kama sijakosea). Kuna uwezekano pia waliopo Dodoma wakawa wameexperience kitu kama hicho.

Kama halikuwa na magnitude kubwa au kudumu kwa muda mrefu, pengine lawezekana lisiwe na madhara yoyote
 
Takribani saa 6:40 majira ya jioni mkoani Arusha na Manyara limepita tetemeko la ardhi.

Baadhi ya wananchi wakiwa katika maeneo yao ( majumbani) wameshuhudia ardhi ikitetema kama mayele Kwa takribani sekunde Moja hivi.

Na wengine wakibaki na maswali wakitaka kujua Chanzo Cha tetemeko hilo. Wengine wakisema labda mlima wa volcano wa oldonyo lengai uliopo ngorongoro unafanya majaribio na wengine wakisema labda ndani ya bonde la ufa la ukanda wa kaskazini Kuna mambo yanafanyiwa majarmajaribio.

Na wengine wakilihusisha na ujio wa mvua za elinino zilizotabiriwa kunyesha miezi ijayo.

Je, mamlaka husika Zinasemaje kuhusu tukio hili???
"Kama Mayele"

 
Back
Top Bottom